Igunga: Helikopta iliyotumika CUF yaanza kukivuruga chama

Zak Malang

JF-Expert Member
Dec 30, 2008
5,404
233
Wadau: Habari za ndani nilizopata sasa hivi ni kwamba mgogoro mkubwa unatokota ndani ya uongozi wa juu wa CUF.


Tatizo ni helikopta iliyoletwa mwanzoni mwa wiki iliyopita kutumika katika kampeni, ambayo imebainika ilitolewa na Rostam Aziz ili kuipa nguvu CUF kuidhoofisha CHADEMA katika uchaguzi, jambo ambalo halikutokea, na badala yake CUF ndiyo imetoka katika kinyang'anyiro hicho na majeraha makubwa.

Habari zinasema Baraza kuu la chama hicho halikushauriwa na wala kutoa baraka kwani ulikuwa ni mpango wa Ismail Jussa, Rostam na Hamad Rashid Mohamed.

Jussa na Hamad ni maswahiba wakubwa wa Rostam katika mambo ya biashara na ni makada wa CUF ambao daima wamekuwa mstari wa mbele kuiponda Chadema.

Habari zaidi zinaeleza kuwa Prof Lipumba hakuarifiwa kuhusu helikopta na inasemekana hakupendezewa, hasa pale ikigundulika kwa umma kwamba ni Rostam ndiye aliyeitoa.

Chanzo changu chongeza kuwa awali CCM ilikuwa itumie helikopta zote hizo mbili kutoka kwa Rostam, lakini dakika za mwisho iliamuliwa kwamba moja wapewe CUF ili itumike kuiumiza Chadema.

Msiniulize chanzo cha habari hii ni namna nilivyoipata kutoka CUF kwa kiongozi mmoja wa chama hicho huku Bara ambaye siwezi kumtaja jina hapa kwa wakati huu.
 


Wadau: Habari za ndani nilizopata sasa hivi ni kwamba mgogoro mkubwa unatokota ndani ya uoingozi wa juu wa CUF.


Tatizo ni helikpta iliyoletwa mwanzoni mwa wiki iliypoita kutumika katika kampeni, ambayo imebainika ilitolewa na Rostam Aziz ili kuipa nguvu CUF kuidhoofisha Chadema katika uchaguzi, jambo ambalo halikutokea, na badala yake CUF ndiyo imetoka katika kinyang'anyiro hicho na majeraha makubwa.

Habari zinasema Baraza kuu la chama hicho halikushauriwa na wala kutoa baraka kwani ulikuwa ni mpango Wa Ismail Jussa, Rostam na Hamad Rashid Mohamed.

Jussa na Hamad ni maswahiba wakubwa wa Rostam katika mambo ya biashara na makada wa CUF ambao daima wamekuwa mstari wa mbele kuiponda Chadema.


Habari zaidi zinaeleza kuwa Prof Lipumba hakuarifiwa kuhusu helikopta na inasemekana hakupendezewa, hasa pale ikigundulika kwa umma kwamba ni Rostam ndiye aliyeitoa.


Chanzi changu cahongeza kuwa awali CCM ilikuwa itumie helikopta zote hizo mbili kutoka kwa Rostam, lakini dakika za mwisho iliamuliwa kwamba moja wapewe CUF ili itumike kuiumiza Chadema.

Msiniulize chanzo cha habari hii ni namna nilivyoipata kutoka CUF kwa kiongozi mmoja wa chama hicho huku Bara ambaye siwezi kumtaja jina hapa kwa wakati huu.


Mwanzo wa mwisho. Kama ni kweli na kutokana na kura walizopata, basi ni freefall kwa chama hicho.
 
JF where we dare to talk openly ndo maana ya kutumia haya majina kama Counterpunch. Mtaje mkuu, anyway back to the topic!! Inawezekana ni kweli kabisa. Prof Ibrahim Lipumba karibu kwa wapambanaji CDM.
 


Wadau: Habari za ndani nilizopata sasa hivi ni kwamba mgogoro mkubwa unatokota ndani ya uoingozi wa juu wa CUF.


Tatizo ni helikpta iliyoletwa mwanzoni mwa wiki iliypoita kutumika katika kampeni, ambayo imebainika ilitolewa na Rostam Aziz ili kuipa nguvu CUF kuidhoofisha Chadema katika uchaguzi, jambo ambalo halikutokea, na badala yake CUF ndiyo imetoka katika kinyang'anyiro hicho na majeraha makubwa.

Habari zinasema Baraza kuu la chama hicho halikushauriwa na wala kutoa baraka kwani ulikuwa ni mpango Wa Ismail Jussa, Rostam na Hamad Rashid Mohamed.

Jussa na Hamad ni maswahiba wakubwa wa Rostam katika mambo ya biashara na makada wa CUF ambao daima wamekuwa mstari wa mbele kuiponda Chadema.


Habari zaidi zinaeleza kuwa Prof Lipumba hakuarifiwa kuhusu helikopta na inasemekana hakupendezewa, hasa pale ikigundulika kwa umma kwamba ni Rostam ndiye aliyeitoa.


Chanzi changu cahongeza kuwa awali CCM ilikuwa itumie helikopta zote hizo mbili kutoka kwa Rostam, lakini dakika za mwisho iliamuliwa kwamba moja wapewe CUF ili itumike kuiumiza Chadema.

Msiniulize chanzo cha habari hii ni namna nilivyoipata kutoka CUF kwa kiongozi mmoja wa chama hicho huku Bara ambaye siwezi kumtaja jina hapa kwa wakati huu.

Siasa za kicheck bob zimekimaliza chama hichi.
 
Hii habari ililetwa hapa JF wiki iliyopita kama tetesi lakini sasa kadri muda unavysogea ukweli unaanza kudhihirika.

CUF wameaibika sana katika uchaguzi huu kwa kweli, na helikopta hii inathibitisha pasi na shaka kwamba CUF ni CCM-B.

Nilibahatika kuona baadhi ya speech za Jussa, Mtatiro na Hamad Rashid kupitia tv Sibuka. Walikuwa wamejikita kuishambulia chadema na viongozi wake badala ya kueleza sera, sasa watu wa igunga wakaamua kuwashikisha adabu.
 
CUF kwa kweli mnatia aibu kama fisadi papa anawapa helicopter na mnakubali. Mmejidhalilisha sana na mmevuna mlichopanda.
 
Habari zinasema Baraza kuu la chama hicho halikushauriwa na wala kutoa baraka kwani ulikuwa ni mpango Wa Ismail Jussa, Rostam na Hamad Rashid Mohamed.

Jussa na Hamad ni maswahiba wakubwa wa Rostam katika mambo ya biashara na makada wa CUF ambao daima wamekuwa mstari wa mbele kuiponda Chadema.
Hizi zaweza kuwa sababu za Hamad Rshid kumhofia Prof Safari alipotaka kugombea uenyekiti wa CUF.
 
Mie namsikitikia Mtatiro, ambaye kenda kujinasa na siasa za mayakhe, wenye kutanguliza udini mbele. Ni kijana shupavu na angeweza kutoa mchango mkubwa katika kuikomboa nchi hii kutoka kwa mafisadi kama angekuwa ndani ya CDM.

Mfano mwaka jana angeachana na CUF na kujiunga CDM, angeweza kumn'goa fisadi Iddi Azzan jimbo la Kinondoni bila ya wasiwasi wowote. Hata hivyo bado naweza kufanya maamuzi mazito. Unakaribishwa kwa watu serious.
 
Sasa mgogoro unafukuta kwa nini, helikopta imekausha akaunti za chama au ndio sababu ya kushindwa au helikopta imeanguka au ni nini ime wa cost mpaka wamaindiane?
 
Hahahaha faida ya usaliti hio ndio mwisho wenu sasa unakwenda! Mlijua siri mmeumbuka kwisha kabisa! Na mtaji wenu aliosema lipumba ndio kusema mmwkula mtaji?
 
Sasa mgogoro unafukuta kwa nini, helikopta imekausha akaunti za chama au ndio sababu ya kushindwa au helikopta imeanguka au ni nini ime wa cost mpaka wamaindiane?

Nadhani katika CUF wapo viongozi makini ambao hawapendi mambo haya ya kukiachia chama kutumika na fisadi mmoja ili kukiharibia chama kingine cha upinzani.
 
Bila shaka viongozi wa cuf wamekubali kuvurugwa na helikopta baada ya kushindwa vibaya uchaguzi. Kama ingetokea wameshinda ama wakavuna kura ilizovuna chadema wangekuwa na la kusema.

Sasa kinachowauma zaidi ni kwamba wamekula mtaji wa kura 11,000 kwa helikopta ya gamba kuu rostam. Inawezekana kinachowavuruga ni kulipa deni la kukodisha hiyo helikopta, siamini kama gamba kuu anaweza kuwapa chopa bure lazima kutakuwa na kamkataba fulani hivi ka kimagumashi na wao huenda hawakukasoma kwa sababu ya kiwewe cha kupata chopa.. Sasa baada ya uchaguzi wamekasoma wakaona kipengele cha malipo kinawabana, pesa watatoa wapi?
 
Mie namsikitikia Mtatiro, ambaye kenda kujinasa na siasa za mayakhe, wenye kutanguliza udini mbele. Ni kijana shupavu na angeweza kutoa mchango mkubwa katika kuikomboa nchi hii kutoka kwa mafisadi kama angekuwa ndani ya CDM.

Mfano mwaka jana angeachana na CUF na kujiunga CDM, angeweza kumn'goa fisadi Iddi Azzan jimbo la Kinondoni bila ya wasiwasi wowote. Hata hivyo bado naweza kufanya maamuzi mazito. Unakaribishwa kwa watu serious.
Hivi na mtaji wote CDM iliokwishajikusanyia, bado mna imani na watu aina ya Mtatiro? Mbona tunakuwa wagumu sana kujifunza! Unahitaji zaidi ya ushupavu kuikomboa nchi hii.
 
wadau: Habari za ndani nilizopata sasa hivi ni kwamba mgogoro mkubwa unatokota ndani ya uongozi wa juu wa cuf.


tatizo ni helikopta iliyoletwa mwanzoni mwa wiki iliyopita kutumika katika kampeni, ambayo imebainika ilitolewa na rostam aziz ili kuipa nguvu cuf kuidhoofisha chadema katika uchaguzi, jambo ambalo halikutokea, na badala yake cuf ndiyo imetoka katika kinyang'anyiro hicho na majeraha makubwa.

habari zinasema baraza kuu la chama hicho halikushauriwa na wala kutoa baraka kwani ulikuwa ni mpango wa ismail jussa, rostam na hamad rashid mohamed.

jussa na hamad ni maswahiba wakubwa wa rostam katika mambo ya biashara na ni makada wa cuf ambao daima wamekuwa mstari wa mbele kuiponda chadema.

habari zaidi zinaeleza kuwa prof lipumba hakuarifiwa kuhusu helikopta na inasemekana hakupendezewa, hasa pale ikigundulika kwa umma kwamba ni rostam ndiye aliyeitoa.

chanzo changu chongeza kuwa awali ccm ilikuwa itumie helikopta zote hizo mbili kutoka kwa rostam, lakini dakika za mwisho iliamuliwa kwamba moja wapewe cuf ili itumike kuiumiza chadema.

msiniulize chanzo cha habari hii ni namna nilivyoipata kutoka cuf kwa kiongozi mmoja wa chama hicho huku bara ambaye siwezi kumtaja jina hapa kwa wakati huu.

kuna asilimia kadhaa za ukweli, na kama ni kweli wamekwisha. Ukiiga kunya kwa twmbao utapasuka nini wajameni?

.......................................................jibu lako kwenye dots
 
Hivi na mtaji wote CDM iliokwishajikusanyia, bado mna imani na watu aina ya Mtatiro? Mbona tunakuwa wagumu sana kujifunza! Unahitaji zaidi ya ushupavu kuikomboa nchi hii.

KAMA ASINGEKUWA NI MTU WA MASLAHI, MTATIRO ALIKUWA ANAFAA KUUNGANA NA HARAKATI ZA CDM. ILA BWANA KUTAKA VIJISENT, NDIKO KUNAKOMPOTEZA. TULIMSHUHUDIA WAKATI TUKIWA UDSM, HE WAS GOOD
 
Back
Top Bottom