kibogo
JF-Expert Member
- Apr 1, 2012
- 9,739
- 4,732
Matokeo ya Ubunge jimbo la Igunga na Udiwani kata ya Igunga imeshindikana kutangazwa kwani imeonekana idadi ya kura ambazo ziliwapa ushindi Ndg. Kafumu kwa Ubunge na ndg. Charles kwa udiwani wote kutoka CCM kwa hisabu ya kura zote zimezidi idadi ya wapiga kura kwa baadhi ya vituo hivyo zoezi limesimama na kuna vurugu hapa mjini kwani polisi walipiga mabomu Jana na leo wamepiga tena kuwatawanya vijana ambao hawakubaliani na wizi huo wa CCM.