Nyambala
JF-Expert Member
- Oct 10, 2007
- 4,465
- 1,170
Wakuu nilimwahidi Nape kama nnavyosomeka hapa chini kumpa USD 100 kama ataenda Igunga na akahutubia mkutano wa kampeni. Hii ni kutokana na maneno yake mwenyewe kama anavyosomeka hapa chini. Sasa zimebaki siku mbili lakini kimya.
Kwa hiyo basi kama nilivyoahidi na kumthibitisha kwamba nilikuwa na nipo serious na ahadi yangu namtumia invisible hela hiyo in few hours tyme. Ikiwa Nape hatakwenda basi tutaipeleka hiyo hela kwenye charity yeyote of our choosing!!!!!!!!!!!
...Mkuu kama kweli utaenda Igunga na kuhutubia mikutano ya kampeni ukaonekana kwenye Luninga naahidi $100 kupitia kwa invisible.
Dogo inaonyesha umeshaanza kupoteza focus, maana ule moto wenu wa kujivua gamba nadhani ndiyo umeenda huo. Maana sijamsikia Kiongozi wa CCM yeyote huko Igunga akielezea ni namna gani CCM kilivyo chama bora na kwamba sasa kinajisafisha kwa kuvua magamba. Neno gamba vp nalo ni prohibited Igunga?
Ya mwisho, ni kaswali kafupi not meant to offend at all, una ID nyingine au zingine zaidi ya hii ya Nnauye Jr humu JF?
Kwa hiyo basi kama nilivyoahidi na kumthibitisha kwamba nilikuwa na nipo serious na ahadi yangu namtumia invisible hela hiyo in few hours tyme. Ikiwa Nape hatakwenda basi tutaipeleka hiyo hela kwenye charity yeyote of our choosing!!!!!!!!!!!
- C'moon bro for the last ten years unaweza kutuambia ulikuwa unafanya kazi gani zaidi ya siasa??????? - Huo mstari wa kuganga njaa siuungi mkono lakini hili la siasa kutokuwa ajira yako nadhani unatuongopeaWAGANGA NJAA UNAWAJUA? MAANA HUMU NDANI KILA KITU NAPE ANAGANGA NJAA, KWA TAARIFA SINA NJAA KIASI HICHO, HATA NIKIKAA TU NIKAFANYA KAZI ZANGU MWENYEWE BADO NAWEZA ISHI TENA MAISHA MAZURI PENGINE KULIKO WENGI WANAONIKASHIFU HUMU NA KUDAI NAGANGA NJAA...... NIMEACHIWA URITHI NA MZEE NNAUYE SIO WA PESA BALI ELIMU TENA YAKUTOSHA TU....
SIASA KWANGU NAFANYA KAMA HOBI SI AJIRA HATA KIDOGO...
Not everyone who challenges u au CCM ni magwanda, kifupi it's pple against CCMMAGWANDA WENGINE POLENI SANA SANA
MAAANA HUMU MSIPOMTAJA NAPE WENGINE HAMLALI.... N
Habari ya Nape kukatazwa kwenda Igunga iliandikwa kwenye magazeti chanzo kikiwa hukohuko kwenye NEC/CC ya CCM.NIMEKWENDA IGUNGA TOFAUTI NA MLIVYOBWATA HUMU NAPE HAENDI IGUNGA
Mkuu usiwasingizie JF hii imetolewa na MwanaHalisi, gazeti ambalo uko in records kuliita la udaku na kwamba hakuna mtu serious analisoma....MKATUNGA STORI KAVAMIWA SIJUI NA BAUNSA
- Sasa hiyo ungemwambia huyo baunsa wakati uleSIJUI NA MAGWANDA, THUBUTU YAKE HAPA TUNGEKUWA TUKIZUNGUMZA MENGINE KABISA, KAMA ANGEPATIKANA HATA WA KUGUSHA KAMBA YA VIATU
- Ebanae wewe si ndiyo ulisema chama chenu huwa hakipeleki viongozi wa kitaifa kupiga kampeni kama vyama pinzani? Mbona unakula matapishi yako?????JUZI TU NILIKUWA IGUNGA, NA HIVI WIKI IJAYO NAKWENDA TENA IGUNGA
...Mkuu kama kweli utaenda Igunga na kuhutubia mikutano ya kampeni ukaonekana kwenye Luninga naahidi $100 kupitia kwa invisible.
- Duh!!! Mkuu sasa yule fisadi wenu mkuu si ndiye alikuwa hai tebo wakati wa uzinduzi wa kampeni? Kumbuka ile siti ilikuwa ni yakoNAJUA KINACHOWAUMA NI KUINGIA KWANGU NA KUTOKA KWANGU BILA MAFISADI KUJUA
- Hawa unaowaita mafisadi na wewe ni mmojawapo wa wakuu wa chama kinachounda serikali mmewachukulia hatua gani????HILI NINAHAKIKA LINAWAPASUA KICHA SANA, NA BADO.... JAMBO ZURI NIMEFANIKIWA KUWANYIMA USINGIZI MAFISADI
Dogo inaonyesha umeshaanza kupoteza focus, maana ule moto wenu wa kujivua gamba nadhani ndiyo umeenda huo. Maana sijamsikia Kiongozi wa CCM yeyote huko Igunga akielezea ni namna gani CCM kilivyo chama bora na kwamba sasa kinajisafisha kwa kuvua magamba. Neno gamba vp nalo ni prohibited Igunga?
Ya mwisho, ni kaswali kafupi not meant to offend at all, una ID nyingine au zingine zaidi ya hii ya Nnauye Jr humu JF?