Igunga: $100 kwa Nape. tik tak tok....

Nyambala

JF-Expert Member
Oct 10, 2007
4,465
1,169
Wakuu nilimwahidi Nape kama nnavyosomeka hapa chini kumpa USD 100 kama ataenda Igunga na akahutubia mkutano wa kampeni. Hii ni kutokana na maneno yake mwenyewe kama anavyosomeka hapa chini. Sasa zimebaki siku mbili lakini kimya.

Kwa hiyo basi kama nilivyoahidi na kumthibitisha kwamba nilikuwa na nipo serious na ahadi yangu namtumia invisible hela hiyo in few hours tyme. Ikiwa Nape hatakwenda basi tutaipeleka hiyo hela kwenye charity yeyote of our choosing!!!!!!!!!!!


WAGANGA NJAA UNAWAJUA? MAANA HUMU NDANI KILA KITU NAPE ANAGANGA NJAA, KWA TAARIFA SINA NJAA KIASI HICHO, HATA NIKIKAA TU NIKAFANYA KAZI ZANGU MWENYEWE BADO NAWEZA ISHI TENA MAISHA MAZURI PENGINE KULIKO WENGI WANAONIKASHIFU HUMU NA KUDAI NAGANGA NJAA...... NIMEACHIWA URITHI NA MZEE NNAUYE SIO WA PESA BALI ELIMU TENA YAKUTOSHA TU....

SIASA KWANGU NAFANYA KAMA HOBI SI AJIRA HATA KIDOGO...
- C'moon bro for the last ten years unaweza kutuambia ulikuwa unafanya kazi gani zaidi ya siasa??????? - Huo mstari wa kuganga njaa siuungi mkono lakini hili la siasa kutokuwa ajira yako nadhani unatuongopea

MAGWANDA WENGINE POLENI SANA SANA
Not everyone who challenges u au CCM ni magwanda, kifupi it's pple against CCM

MAAANA HUMU MSIPOMTAJA NAPE WENGINE HAMLALI.... N
NIMEKWENDA IGUNGA TOFAUTI NA MLIVYOBWATA HUMU NAPE HAENDI IGUNGA
Habari ya Nape kukatazwa kwenda Igunga iliandikwa kwenye magazeti chanzo kikiwa hukohuko kwenye NEC/CC ya CCM.
...MKATUNGA STORI KAVAMIWA SIJUI NA BAUNSA
Mkuu usiwasingizie JF hii imetolewa na MwanaHalisi, gazeti ambalo uko in records kuliita la udaku na kwamba hakuna mtu serious analisoma.

SIJUI NA MAGWANDA, THUBUTU YAKE HAPA TUNGEKUWA TUKIZUNGUMZA MENGINE KABISA, KAMA ANGEPATIKANA HATA WA KUGUSHA KAMBA YA VIATU
- Sasa hiyo ungemwambia huyo baunsa wakati ule

JUZI TU NILIKUWA IGUNGA, NA HIVI WIKI IJAYO NAKWENDA TENA IGUNGA
- Ebanae wewe si ndiyo ulisema chama chenu huwa hakipeleki viongozi wa kitaifa kupiga kampeni kama vyama pinzani? Mbona unakula matapishi yako?????

...Mkuu kama kweli utaenda Igunga na kuhutubia mikutano ya kampeni ukaonekana kwenye Luninga naahidi $100 kupitia kwa invisible.

NAJUA KINACHOWAUMA NI KUINGIA KWANGU NA KUTOKA KWANGU BILA MAFISADI KUJUA
- Duh!!! Mkuu sasa yule fisadi wenu mkuu si ndiye alikuwa hai tebo wakati wa uzinduzi wa kampeni? Kumbuka ile siti ilikuwa ni yako
HILI NINAHAKIKA LINAWAPASUA KICHA SANA, NA BADO.... JAMBO ZURI NIMEFANIKIWA KUWANYIMA USINGIZI MAFISADI
- Hawa unaowaita mafisadi na wewe ni mmojawapo wa wakuu wa chama kinachounda serikali mmewachukulia hatua gani????

Dogo inaonyesha umeshaanza kupoteza focus, maana ule moto wenu wa kujivua gamba nadhani ndiyo umeenda huo. Maana sijamsikia Kiongozi wa CCM yeyote huko Igunga akielezea ni namna gani CCM kilivyo chama bora na kwamba sasa kinajisafisha kwa kuvua magamba. Neno gamba vp nalo ni prohibited Igunga?

Ya mwisho, ni kaswali kafupi not meant to offend at all, una ID nyingine au zingine zaidi ya hii ya Nnauye Jr humu JF?
 
Mkuu thanx kwa kukumbusha ahadi yako. Ni muda mrefu sijamuona nape jamvini, nadhani jamvi limeendelea kuwa la moto kwake.
This is a biggest failure of magamba jamvini na kwenye political platform nchini.
 
Siasa unafanya kama HOBI ? Hivi una washauri wewe kabla ya kuongea kwenye umma? Au unashirikisha ubongo kwanza?
Watu wanaingia kwenye siasa kwa ajili ya utumishi WA UMMA/ kuwatumikia wananchi,kumaliza kero zao , kuwaondolea shida zao na manyanyaso na kufanya maisha yao yawe bora. Wewe unafanya hobi ??!!! kudadeki CCM ...
 
Siasa unafanya kama HOBI ? Hivi una washauri wewe kabla ya kuongea kwenye umma? Au unashirikisha ubongo kwanza?
Watu wanaingia kwenye siasa kwa ajili ya utumishi WA UMMA/ kuwatumikia wananchi,kumaliza kero zao , kuwaondolea shida zao na manyanyaso na kufanya maisha yao yawe bora. Wewe unafanya hobi ??!!! kudadeki CCM ...

Maneno ya busara haya mkuu. That's exactly what it should be hata kama unazuga basi at least jua namna ya kuzuga!
 
ID atakuwa nazo zaidi ya moja,alafu huyu nape bado ajajua siasa na nimropokaji kamwe awez kwenda igunga anamajibu ya kejeli kiujumla ajitambuii nampa pongezi kwa kuieshim jf uwepo wake sio kama kule kwa watoto facebuk anapojisifia kila uchao.
 
Bado napata tabu sana kuamini jinsi hali ilivyo ndani ya ccm kunamtu mwenyeakili zake zilizotimia na dhamira safi tena kijana akawa na ndoto ya kuikoa ccm kwa hali iliyonayo sasa.
 
Bado napata tabu sana kuamini jinsi hali ilivyo ndani ya ccm kunamtu mwenyeakili zake zilizotimia na dhamira safi tena kijana akawa na ndoto ya kuikoa ccm kwa hali iliyonayo sasa.
 
Uzuri mmoja wa viongozi wa CCM hata wakitofautiana, kinachoamuliwa kwenye vikao vyao ndicho kinachotekelezwa. Ambaye haafiki maamuzi yale anakaa kimya au anaendelea na shughuli zingine kama anavyofanya Nape sasa. Kule CHADEMA ni tofauti kidogo. Maamuzi yanafanyika na ambao hawakuafiki wanaita waandishi wa habari na kuwaeleza msimamo wao. Hili amelifanya Zitto kisha akalifanya pia Shibuda kwa nyakati na staili tofauti. Ipi ni njia sahihi ni suala la mjadala mpana.
 
Uzuri mmoja wa viongozi wa CCM hata wakitofautiana, kinachoamuliwa kwenye vikao vyao ndicho kinachotekelezwa. Ambaye haafiki maamuzi yale anakaa kimya au anaendelea na shughuli zingine kama anavyofanya Nape sasa. Kule CHADEMA ni tofauti kidogo. Maamuzi yanafanyika na ambao hawakuafiki wanaita waandishi wa habari na kuwaeleza msimamo wao. Hili amelifanya Zitto kisha akalifanya pia Shibuda kwa nyakati na staili tofauti. Ipi ni njia sahihi ni suala la mjadala mpana.

Mkuu kwenye hili liko specific kabisa kwamba aliahidi tena kwa majigambo kwamba ataenda Igunga, mimi nika-bet hiyo $100 kwamba hatakwenda!!!!!! Kwa hiyo basi kama alikatazwa kwenye vikao vya chama halafu akawa anajitutumua humu kwamaba ataenda that's up to him! Bado siku mbili you never know!
 
...... NIMEACHIWA URITHI NA MZEE NNAUYE SIO WA PESA BALI ELIMU TENA YAKUTOSHA TU....

SIASA KWANGU NAFANYA KAMA HOBI SI AJIRA HATA KIDOGO...

Sasa kama wewe umeachiwa urithi wa elimu, na unadai siasa unafanya kama hobby; dah unanichanganya...hiyo ni elimu gani ulorithishwa wewe ambayo inakuruhusu kufanya siasa za nchi kama hobby?

sasa naeza kuona kwa nini mtu alikuita "Nje Cup"
 
Nape mwacheni jamani nilishawahi kushauri mmwache tu,unaona kama leo anasema anafanya siasa kama hobi,hivi kweli siasa ni hobi? Hivi hobi ni nini? Basi kama kweli anafanya siasa kama hobi ndo maana nchi wanaiangamiza yeye na mafisadi wenzie, unafiki tu huo anaotuambia, hakuna cha hobi wala interest, hapo yeye ndo halali anauwaza uwaziri 2015, lakini namwambia hivi hakuna atakachoambulia maana kama mtachakachua tutaandamana kuwatoa, nguvu ya umma ipo itafanya kazi, ninyi tunajua mnategemea polisi, na ikibidi mtatumia jeshi, nyinyi tu mtapanga,lakini kumbe mnafanya siasa kama hobi, wewe dogo kumbe hopless kiasi hicho na ndo maana the country is out pilot.coz mnafanya siasa kama hobi!hamjui mnachezea uhai wa watu?

Halafu unsema umewanyima usingizi mafisadi,halafu we Nape shika adabu yako kabisa,nilishakuambia kupitia JF huna uwezo wa kumtoa lowasa na mzee wa vijisenti-Chenge,hakuna mtu ndani ya CCM anaweza akasimama hadharani na kusema Lowasa ni gamba toka CCM,Nasema tena wana JF hakuna mtu wa kuweza kufanya hivyo, jamani hakuna, Ni Dr Slaa tu ndo alithubutu kutaja list of shame.

Leo Nape unatuongopea hapa,una kitu gani unaweza kufanya kwa hawa magamba yenu? Hata wewe ni gamba,nani atamfunga paka kengele? Chama chenu wote ni magamba na kipimo ambacho hakihitaji mtu kuwa na digrii kukijua ni wewe kutoenda Igunga na kupanda jukwaani kupiga kampeni, wala Sita hatokanyaga,haya mambo ndo kipimo tosha kwa watanzania kujua ninyi na chama chenu wote ni magamba,nani atamvua mwenzie?

Endelea tu kutumia carolite ndicho kilichobakia kwako huku ukinyonya jasho la watanzania.
 
Nape mwacheni jamani nilishawahi kushauri mmwache tu,unaona kama leo anasema anafanya siasa kama hobi,hivi kweli siasa ni hobi?hivi hobi ni nini?basi kama kweli anafanya siasa kama hobi ndo maana nchi wanaiangamiza yeye na mafisadi wenzie,unafiki tu huo anaotuambia,hakuna cha hobi wala interest,hapo yeye ndo halali anauwaza uwaziri 2015,lakini namwambia hivi hakuna atakachoambulia maana kama mtachakachua tutaandamana kuwatoa,nguvu ya umma ipo itafanya kazi,ninyi tunajua mnategemea polisi,na ikibidi mtatumia jeshi,nynyi tu mtapanga,lakini kumbe mnafanya siasa kama hobi,wewe dogo kumbe hopless kiasi hicho na ndo maana the country is out pilot.coz mnafanya siasa kama hobi!hamjui mnachezea uhai wa watu?
Halafu unsema umewanyima usingizi mafisadi,halafu we Nape shika adabu yako kabisa,nilishakuambia kupitia JF huna uwezo wa kumtoa lowasa na mzee wa vijisenti-Chenge,hakuna mtu ndani ya CCM anaweza akasimama hadharani na kusema Lowasa ni gamba toka CCM,Nasema tena wana JF hakuna mtu wa kuweza kufanya hivyo,jamani hakuna,Ni Dr Slaa tu ndo alithubutu kutaja list of shame.
Leo Nape unatuongopea hapa,una kitu gani unaweza kufanya kwa hawa magamba yenu?hata wewe ni gamba,nani atamfunga paka kengele?chama chenu wote ni magamba na kipimo ambacho hakihitaji mtu kuwa na digrii kukijua ni wewe kutoenda Igunga na kupanda jukwaani kupiga kampeni,wala Sita hatokanyaga,haya mambo ndo kipimo tosha kwa watanzania kujua ninyi na chama chenu wote ni magamba,nani atamvua mwenzie?
Endelea tu kutumia carolite ndicho kilichobakia kwako huku ukinyonya jasho la watanzania.

Mkuu unaposema tumwache inakuwa labda ni kama tunamwandama, lakini tukumbuke huyu ni memba mwenzetu hapa JF lakini pia ni kigogo wa chama kinachotunga sera za kuitawala Tanzania. Sasa napokuwa compromised on principles ni lazima tumuhoji haitoshi kumashangaa tu or kumwacha in that matter.
 
Kama ccm 2015 watachukua uongozi basi ndipo watakapo ona na kutambua nguvu ya uma ilivyo,mtakuja kuniambia wana jf wenzangu.na mimi nitakua ni 1 kati ya wahamasishaji wakuu wa hilo zoezi.
 
Siasa unafanya kama HOBI ? Hivi una washauri wewe kabla ya kuongea kwenye umma? Au unashirikisha ubongo kwanza?
Watu wanaingia kwenye siasa kwa ajili ya utumishi WA UMMA/ kuwatumikia wananchi,kumaliza kero zao , kuwaondolea shida zao na manyanyaso na kufanya maisha yao yawe bora. Wewe unafanya hobi ??!!! kudadeki CCM ...
Halafu eti huyo ndiyo Katibu wa Itikadi na Uenezi wa Taifa kwa Chama Tawala. Pata picha jee hicho ni chama kweli? kama Mtu mwenye cheo hicho ni mbumbumbu kiasi hicho jee hao watendaji wengine ndani ya hicho chama wakoje?
 
Halafu eti huyo ndiyo Katibu wa Itikadi na Uenezi wa Taifa kwa Chama Tawala. Pata picha jee hicho ni chama kweli? kama Mtu mwenye cheo hicho ni mbumbumbu kiasi hicho jee hao watendaji wengine ndani ya hicho chama wakoje?

It's just unbelievable!!!!!!
 
Wale wanaofanya siasa kama hobby kamwe hawawezi kuwa watumwa wa uongo, ufisadi, uzandiki na ukigeugeu kama ilivyotokea katika siasa za kujivua gamba na uchaguzi wa jimbo la Igunga. Hapo ndipo ilipodhihirika kuwa CCM ni chama cha waganga njaa na kwamba wako tayari kutopunguza bajeti yao ya ruzuku kwa kukumbatia mafisadi na kukutosa wewe Nnauye ili walibakishe jimbo la Igunga.

Huko ndio kuganga njaa hasa. Sasa kama chama chako kinaganga njaa wewe sembuse Nnauye utaachaje kuganga njaa. Hivi wewe katibu mwenezi wa nini na kwa majukumu yapi kama huwezi kwenda kumnadi mgombea wa ccm Igunga. Bwana Nnauye kuganga njaa ni kuuza haki yako ili upate mkate wako. Uko tayari kunyamazia ufisadi ili upate makate wako na upo tayari kumtumikia kafiri kwa ujira wa kuachana na imani yako.
 
Tunampa nafasi Nape atoe maoni yake kama tunavyofanya kwa viongozi wengine wa kisiasa walio ma-member humu kama Dr Slaa, Zitto, Mnyika,...., au ni kumshambulia kila anapoonyesha pua yake humu. Ninachokiamini kwa huyu kijana ni kuwa anapambana na mambo mazito sana ndani ya CCM. Kila akijaribu kutoka apate maoni na michango yenu mnamtoa mkuku humu. Mnamhesabia dhambi zooote za CCM hata zilizotendeka kabla hajazaliwa! Tutake tusitake CCM tunayo kwa kipindi kirefu tu kijacho hadi itakapopasuka na kumpata Sata wetu.
 
hahahahahahaha! majibu ya nape kama ya wale wachekeshaji wa FUTUHI! dah! Nyambala hela yako imebaki salama, nape hairambi ng'o, zaidi atasema hapelekwi igunga kwa hela za Nyambala, ndo utakuwa utetezi wake huu.
 
Tunampa nafasi Nape atoe maoni yake kama tunavyofanya kwa viongozi wengine wa kisiasa walio ma-member humu kama Dr Slaa, Zitto, Mnyika,...., au ni kumshambulia kila anapoonyesha pua yake humu. Ninachokiamini kwa huyu kijana ni kuwa anapambana na mambo mazito sana ndani ya CCM. Kila akijaribu kutoka apate maoni na michango yenu mnamtoa mkuku humu. Mnamhesabia dhambi zooote za CCM hata zilizotendeka kabla hajazaliwa! Tutake tusitake CCM tunayo kwa kipindi kirefu tu kijacho hadi itakapopasuka na kumpata Sata wetu.

Mkuu can we make this local pls? I mean just for this bet! Siku hazikwisha bado kuna kesho, Nape ni member humu nadhani hahitaji kusemewa bali he can come out himself as he has alwayz been!!!!!!!
 
9 Reactions
Reply
Back
Top Bottom