Tanzania ni nchi ya amani na utulivu na kuna watu wamechoka amani... ELMimi najua Kiravu dada yake kaolewa na Mzee Makame
Kwani ulikuwa hujui? Hawa Ghasia ni nduguye Salma. Dr. Shukuru naye ndugu. Mwema shemeji na wengine wengi wanaweza kutupa takwimu juu ya utawala huu wa kifalme.Jamani mi nilishangaa saana pia nilistuka saaana kusikia eti IGP kumbe ni shemejie JK!!! Sasa wadau naomba kujua nani kaoa kwa mwenzie kati ya JK na Side.