nashicha
JF-Expert Member
- May 29, 2021
- 279
- 517
Mh IGP wetu Hili jambo la jeshi la polisi kuthubutu kutoa taarifa za watoto wa darasa la sita mpaka form four na kuwaita Panya Road eti wameshindwa kuwadhiti ni jambo la kujiuliza uwezo wa jeshi la polisi watoto WADOGO WANAFANYA Jiji la Dsm watu walale saa kumi, hapana hapana uwezo wa askari unahojiwa na watoto Wadogo je likitokea kubwa zaidi kweli wataweza?
Kumbe hata VYAMA vya siasa ni woga wao tu hii polisi ni dhaifu au kuna sababu watu wengine WANASEMA watoto wengi wao ni WA Mapolisi au wanakula nao au ni zaidi Mimi naona JUMMANNE MULIRO JIJI LIMEMZOEA NA ZILE SIFA ALIZOPEWA NA MAMA zimemlevya mwondoe aje mtu mpya kabisaa HATAKUWA na MAZOEA na Hawa polisi.
Kumbe hata VYAMA vya siasa ni woga wao tu hii polisi ni dhaifu au kuna sababu watu wengine WANASEMA watoto wengi wao ni WA Mapolisi au wanakula nao au ni zaidi Mimi naona JUMMANNE MULIRO JIJI LIMEMZOEA NA ZILE SIFA ALIZOPEWA NA MAMA zimemlevya mwondoe aje mtu mpya kabisaa HATAKUWA na MAZOEA na Hawa polisi.