Taifa Digital Forum
Member
- Jun 4, 2022
- 68
- 184
Mkuu wa Jeshi la Polisi IGP. CAMILLUS WAMBURA amewasili Makao Makuu ya Jeshi la Polisi baada ya kuapishwa Ikulu, Chamwino Dodoma.
Mkuu wa Jeshi la Polisi IGP, Kwa Katiba mpya it Atakuwa watu wenye sifa watume maombi kuomba kazi hiyo.
Bodgad anaendelea na kibarua chake cha kulinda .Mbona bodigadi wake ni yuleyule akiyekua kwa Sirro?
Duuuh! yawezekana huyo bodigadi anao weledi sana, hongera zake.Bodgad anaendelea na kibarua chake cha kulinda .
Ndo hapo nashangaa! Ila nadhani huyo bordgurd atakaa hapo kwa muda mfupi then atabadilishwa kwama wanavyofanyaga kwa RaisMbona bodigadi wake ni yuleyule akiyekua kwa Sirro?
Wewe ndie umejibu sahihi atakaa kwa muda huyo mzee Wambura akianza kupanga safu yake ndio itaeleweka sasaNdo hapo nashangaa! Ila nadhani huyo bordgurd atakaa hapo kwa muda mfupi then atabadilishwa kwama wanavyofanyaga kwa Rais
Ya Dr. Janabi na JPM ...nawaza tu!Mbona bodigadi wake ni yuleyule akiyekua kwa Sirro?
atabadilishwa wiki hii usijaliMbona bodigadi wake ni yuleyule akiyekua kwa Sirro?
Mnaelewa maana ya bodyguard? Huyo ni msaidizi wake sio bodyguardD
Duuuh! yawezekana huyo bodigadi anao weledi sana,hongera zake.
Lazima Waanze Kufunga Mguu Wakingoja Ama Kulia/Kushoto KegeukaMa RPC wajiandae kisaikolojia. Wengi wao watapigwa chini hivi punde.
AssistantBodgad anaendelea na kibarua chake cha kulinda .
Kamanda Nyigesa atqpangiwa mkoaMa RPC wajiandae kisaikolojia. Wengi wao watapigwa chini hivi punde.