mhalisi
JF-Expert Member
- Sep 9, 2011
- 1,181
- 320
IGP Said Mwema amewaomba wananchi wenye taarifa za kuweza kumtambua aliyerusha bomu pamoja na watu walionyuma yake wajitokeze au wamtumie message kupitia simu yake ya mkononi namba 0754 78 55 57 na kwamba uhusika wao utafanywa kuwa siri.
source: Gazeti la Tanzania Daima jumatatu, 17 juni 2013
source: Gazeti la Tanzania Daima jumatatu, 17 juni 2013