Mwanamageuko
JF-Expert Member
- Oct 31, 2010
- 8,602
- 5,569
Ila tuwazae kina Ole Sabaya wengi!!! Mwenyezi Mungu atunusuruNi kweli kitendo kilichofanywa na kijana Hamza(r.i.p) sio cha kiungwana na hakifai kuigwa katika jamii
lakini vile vile, afande sirro amepotoka kwa kauli yake kwamba wazazi wasizae watoto kama 'hamza' kwa sababu kuzaa ni mipango ya Mungu ambayo binadamu hawezi kujipangia au kuamua azae mtoto wa aina gani
Pia mzazi anaweza kuzaa mtoto na kumlea kwenye makuzi na maadili mema ila akaja kubadilika ukubwani na kufanya vitendo viovu pasipo wazazi wake kufahamu.
Msikilize hapa Sirro akibeza uzazi wa mama zetu
View attachment 1912695