darcity
JF-Expert Member
- Jul 20, 2009
- 8,719
- 16,927
Hili la trafiki wakaguzi wa magari stendi nililishuhudia mkoa wa Mara. Gari ya abiria zinazoenda pembezoni na vijijini wanatanguliza elfu tano kwa askari trafiki aliyekaa mlangoni. Alafu wanalipa buku ya ushuru wa halmashauri ndio wanaruhusiwa kupita. Ukikataa kutoa wanapigiana simu unakamatwa mbele na kulipishwa faini kubwaSirro alikuwa ni miongoni mwa askari mahiri kabisa, lakini kila siku zinavyozidi kwenda anapoteza mvuto na anafanya mambo ya hovyo hovyo.
Kauli zake za hovyo hovyo.
Matendo yake nyuma ya carpet nayo ni hovyo hovyo tu.
Amekuwa mropokaji zaidi ya wanasiasa.
Amekuwa mla rushwa mkubwa kupitia maaskari wake maalum.
Note; Ma RPC wengi wamewekwa kimkakati wanamkusanyia pesa kupita kawaida na naweza kuwataja.
Na wengine ma RTO na wakaguzi magari stand zote nchini wanakusanya mzigo na kumpelekea.
Siku haya yakiwa wazi ataumbuka sana na mikelele yote hii.
Trafiki wanakusanya mapato mengi kuliko Halmashaurli waliojenga hizo stendi