Hivi kwani unafikiri kutoweka kwa amani Mkuranga, Rufiji, Ikwiriri na Kibiti ni tatizo litakalomalizwa kwa kauli za kibabe za Sirro? Hivi hata mpaka sasa si ubabe mwingi tu na matumizi ya nguvu vimekwishafanywa na polisi huko dhidi ya raia?Leo baada ya kamanda Simon Sirro kuapishwa kuwa IGP ametoa onyo kwa wahalifu wote wanaendelea kufanya mambo ya ajabu.
"Watanzania sasa tushirikiane kukomesha Uhalifu kwa pamoja, atoa salamu kwa wahalifu wote" asema kamanda Sirro.
Sasa wale wauaji wa Kibiti na sehemu nyingine mjiandae Kamanda amekuja tena.
Sawa, sisi tutampa ushirikiano,lakini adhibiti askari wake,askari ni sehemu ya tatizoLeo baada ya kamanda Simon Sirro kuapishwa kuwa IGP ametoa onyo kwa wahalifu wote wanaendelea kufanya mambo ya ajabu.
"Watanzania sasa tushirikiane kukomesha Uhalifu kwa pamoja, atoa salamu kwa wahalifu wote" asema kamanda Sirro.
Sasa wale wauaji wa Kibiti na sehemu nyingine mjiandae Kamanda amekuja tena.
Kumbe wakati mwingine huwa unakuwa sensible wewe DogoNaamini heshima ya jeshi la polisi sasa itarudi, tunamuombea mafanikio mema
Leo baada ya kamanda Simon Sirro kuapishwa kuwa IGP ametoa onyo kwa wahalifu wote wanaendelea kufanya mambo ya ajabu.
"Watanzania sasa tushirikiane kukomesha Uhalifu kwa pamoja, atoa salamu kwa wahalifu wote" asema kamanda Sirro.
Sasa wale wauaji wa Kibiti na sehemu nyingine mjiandae Kamanda amekuja tena.
Watawaficha kwa faida ya nani?
Pamoja na kujipendekeza kwa gharama ya juu sana kwa hao polisi wa nchi dunia ya kwanza,bado wamekuwa wakiogopwa,(urafiki wa mashaka).huwezi jenga urafiki na polisi ni kama kufuga simba sebureni,ipo siku atakumbuka kurarua.Popote pale duniani huwezi kufanya polisi waogopwe kwa sababu polisi ni sehemu ya shughuli za kiraia za kila siku(civilian policing), hivyo kwa vyovyote polisi watabaki kuwa polisi na changamoto za polisi zitakuwa hivyo kwa sababu ya mazingira yao ya kazi ni kwenye makazi ya watu.
Ingekuwa kwenye nchi zinazochunguza na kupima kauli za wanaoitwa viongozi kauli kama hiyo ingetosha bunge na wanaharakati kumshinikiza ajiuzuru kwa sababu kauli ina viashiria vya ukiukwaji mkubwa wa haki za binadamu na ni kauli ya kichochezi.
Ulitaka kusema nini?Pamoja na kujipendekeza kwa gharama ya juu sana kwa hao polisi wa nchi dunia ya kwanza,bado wamekuwa wakiogopwa,(urafiki wa mashaka).huwezi jenga urafiki na polisi ni kama kufuga simba sebureni,ipo siku atakumbuka kurarua.
Ninachoona ugumu zaidi wa hili,ni kwamba wao wanaamini ukiwataka utawafuata bila kupenda,lakini wao hawana shida na wewe.sasa labda tungeanza kulowanisha huo mtizamo kwanza then tuone kwingine.
Yaani polisi hagomewi,labda kwa matatizo ya jirani yako,Ila ya kwako utaenda kumuomba huduma tu.hili linampa kiburi na kuona kama hana haja ya kutafuta ukaribu na mwananchi.Ulitaka kusema nini?
Leo baada ya kamanda Simon Sirro kuapishwa kuwa IGP ametoa onyo kwa wahalifu wote wanaendelea kufanya mambo ya ajabu.
"Watanzania sasa tushirikiane kukomesha Uhalifu kwa pamoja, atoa salamu kwa wahalifu wote" asema kamanda Sirro.
Sasa wale wauaji wa Kibiti na sehemu nyingine mjiandae Kamanda amekuja tena.
Hivi siro naye msukuma eti?Mpaka 2020,wasukuma watajaa serikali nzima
Leo baada ya kamanda Simon Sirro kuapishwa kuwa IGP ametoa onyo kwa wahalifu wote wanaendelea kufanya mambo ya ajabu.
"Watanzania sasa tushirikiane kukomesha Uhalifu kwa pamoja, atoa salamu kwa wahalifu wote" asema kamanda Sirro.
Sasa wale wauaji wa Kibiti na sehemu nyingine mjiandae Kamanda amekuja tena.
Achape kaziApige kazi.
mbona kuna wazungu wanajua kuongea kizanaki vizuri kuliko wazanaki wenyewe ww utakuwa mzanaki wa dasilam
Hilo swali mkuu gumuHivi siro naye msukuma eti?