Katika kipindi cha Dakika 45 kinachorushwa na ITV nimemskia Kamanda Sirro akisema kuwa Polisi walilazimika kutumia nguvu waliyotumia Ili kudhibiti wananchi huko Pemba baada ya Wananchi hao kumnyang'anya Askari Bunduki na Kumchinja.
Aidha, ameelezea kuwa takriban risasi nane zilizokuwa kwenye Bunduki ya Askari aliyechinjwa zilitumiwa na wananchi hao. Sirro kaelezea kuwa kuna baadhi ya Wananchi wamekutwa na mabomu Hali inayoashiria vurugu.
IGP Sirro amesema kuwa Wagombea wa Wapinzani walijipanga kufanya fujo Kwa vile walikuwa wamekata Tamaa na waliona hawawezi Kashinda. Baada ya Kubanwa vizuri, Sirro akapoteana.
Kimsingi kauli za Sirro zimejaa utata mwingi na Kwa sehem kubwa anawakandamiza wagombea wa upinzani. Ni dhahiri kuwa hayupo neutral.
Nimemskia pia Sirro akiwashkuru Sana Watanzania Kwa kulipa heshima Jeshi la Polisi.
Nini maoni yako kwa kauli hizi chache za Sirro kuhusu utendaji wa Polisi na Sababu zake.
Aidha, ameelezea kuwa takriban risasi nane zilizokuwa kwenye Bunduki ya Askari aliyechinjwa zilitumiwa na wananchi hao. Sirro kaelezea kuwa kuna baadhi ya Wananchi wamekutwa na mabomu Hali inayoashiria vurugu.
IGP Sirro amesema kuwa Wagombea wa Wapinzani walijipanga kufanya fujo Kwa vile walikuwa wamekata Tamaa na waliona hawawezi Kashinda. Baada ya Kubanwa vizuri, Sirro akapoteana.
Kimsingi kauli za Sirro zimejaa utata mwingi na Kwa sehem kubwa anawakandamiza wagombea wa upinzani. Ni dhahiri kuwa hayupo neutral.
Nimemskia pia Sirro akiwashkuru Sana Watanzania Kwa kulipa heshima Jeshi la Polisi.
Nini maoni yako kwa kauli hizi chache za Sirro kuhusu utendaji wa Polisi na Sababu zake.