MINOCYCLINE
JF-Expert Member
- Apr 2, 2015
- 8,011
- 16,748
Ama unazeeka vibaya au una Maslahi na Gaidi wa Kiimani Askofu Gwajima au nawe pia upo katika lile Genge lenu la Waandamizi 9 au umeichoka hiyo Nafasi na unalazimisha Kustaafishwa au umeamua sasa kuonyesha Chuki yako kwa Bosi wako Rais Samia Suluhu Hassan.
Leo hii unaambiwa na sehemu ya Mamlaka kuwa mkamate Gaidi wa Kiimani Askofu Gwajima unaleta sababu nyingi je, hizo Oparesheni zingine ambazo huwa unazifanya kwa Wapinzani nchini hasa CHADEMA una uhakika huwa unapokea Maelekezo au huwa ni Kiherehere chako tu?
Nimalizie tu kwa kusema popote pale ulipo Rais Samia Suluhu Hassan kuwa pamoja na kwamba unatuongoza ila nimegundua kuwa una Maadui wengi ndani ya Serikali, System na CCM kwenyewe kuliko walioko Upinzani kwa akina Mbowe mnaowabatiza Magaidi wakati hata hawa akina IGP Afande Sirro nao ni Shadow Terrorists vile vile.
TISS tafadhali mshaurini Rais ipasavyo.
Leo hii unaambiwa na sehemu ya Mamlaka kuwa mkamate Gaidi wa Kiimani Askofu Gwajima unaleta sababu nyingi je, hizo Oparesheni zingine ambazo huwa unazifanya kwa Wapinzani nchini hasa CHADEMA una uhakika huwa unapokea Maelekezo au huwa ni Kiherehere chako tu?
Nimalizie tu kwa kusema popote pale ulipo Rais Samia Suluhu Hassan kuwa pamoja na kwamba unatuongoza ila nimegundua kuwa una Maadui wengi ndani ya Serikali, System na CCM kwenyewe kuliko walioko Upinzani kwa akina Mbowe mnaowabatiza Magaidi wakati hata hawa akina IGP Afande Sirro nao ni Shadow Terrorists vile vile.
TISS tafadhali mshaurini Rais ipasavyo.