IGP Sirro, ukubwa ni jalala - wasamehe wanaokuzodoa kwani hawajui unachojua kuhusu Hamza

comte

JF-Expert Member
Dec 11, 2011
8,171
5,905
Afande Sirro anapingwa kila kona kwa kauli yake wakati wa kuuanga miili ya askari wake walio uliwa kibudu na Hamza. Wengi wao wanaelekea kumhurumia Hamza zaidi bila kujali kuwe yeye (Hamza) kauwa watu watatu- ambao walikuwa wapo kazini kutulinda sisi.

Wanaompinga na kumzodoa Sirro wanasukumwa na dhana kuwa Polisi wa Sirro walimdhulumu Hamza. Mpaka sasa hivi hakuna aliyekuja na ushahidi wa kuonyesha dhuruma ya polisi dhidi ya Hamza.

Huko nyuma waliwahi uliwa wafanyabiashara wa madini- watu walipiga kelele na kuja na ushahidi na serikali ilichukua hatua na wahusika wakafikishwa mbele ya sheria. Wanaujua ukweli wa dhuruma ya polisi wa Sirro wajitokeze ili Hamnza apate haki yake.

Dhana moja tu inayombana Sirro- ni kuwa yeye ni mkubwa, ni mamlaka na ukubwa ni jalala
 
Umeongea Utumbo kama unavyowaza. Sirro kauli zake za kishetwani na hana Mamlaka ya kidunia wala Kimbinguni kusema watu vibaya au kuwaambia watu wasizae watu kama Hamza... angekuwa mtenda Mema asingesemwa Vibaya kwa aliyoyasema... aheshimu katiba na kazi yake na pia amuheshimu Raisi japo ni Mwanamke
 
Umeongea Utumbo kama unavyowaza. Sirro kauli zake za kishetwani na hana Mamlaka ya kidunia wala Kimbinguni kusema watu vibaya au kuwaambia watu wasizae watu kama Hamza... angekuwa mtenda Mema asingesemwa Vibaya kwa aliyoyasema... aheshimu katiba na kazi yake na pia amuheshimu Raisi japo ni Mwanamke
Jana tu usiku mama yako katukanwa na mmeo kwa kosa ulilofanya la kuchelewa kumfungulia akitoka ulevini saa 9 usiku
 
Sirro alikua mtu mwema na mwenye uweledi ila mmemchezesha masinema mengi hadi akili yake imechoka maskini.mara cctv gari lililomteka Mo,uchaguzi,mbowe gaidi etc ni mda sasa akapumzike mzee wetu huyu
 
Umeongea Utumbo kama unavyowaza. Sirro kauli zake za kishetwani na hana Mamlaka ya kidunia wala Kimbinguni kusema watu vibaya au kuwaambia watu wasizae watu kama Hamza... angekuwa mtenda Mema asingesemwa Vibaya kwa aliyoyasema... aheshimu katiba na kazi yake na pia amuheshimu Raisi japo ni Mwanamke
Tena ilitakiwa yeye ndiyo aondoke
 
Kule pemba polisi na vikosi vyao viliua nzige ??? Mkuki apigwe nguluwe tu ,mjue haki inapopigwa teke na vyombo vinavyotakiwa vitende haki na usawa kwa watu au vyama vyote basi mjue.

Hao wafiwa nawapa pole sana kwani anaesababisha yote haya ni yule anaewatumia polisi vibaya,inajulikana kazi ya polisi haina tofauti na ya utumwa ,yaani mdogo amsikilize mkubwa hivyo hivyo kwa chain nzima ya uongozi,lakini mkuu anapovunja sheria na kukuagiza kufanya uovu unahaki ya kukataa aidha kwa siri au dhahiri maana vyombo vya habari siku hizi vina njaa na habari, ajitokeze nimeatakiwa kutekeleza unyama wa kuuwa wapinzani siku ya uchaguzi kw nguvu zote alimuradi CCM watangazwe kidedea,

Polisi msiwalazie damu CCM wapeni makavu live ,kwamba hamtatekeleza maagizizo yaharamu na mpo tayari kuachana nao na kama wakichaguliwa wengine kwa siri ni wakati wakumwaga na kuwataja maana mficha uchwi hazwai ,

hakuna mtu anafurahi pale maisha yanapopotezwa ,wapemba wengi huuliwa kila ufikapo uchaguzi ,silaha ni hizi hizi kina SMG maguruneti ni hayahaya na vyote vinamilikiwa na jeshi la polisi na baadhi ya vyombo husika ,

Mpemba akisikia polisi kakanyagwa na gari atafurahi akimshukuru Allah na akisikia polisi kapigwa risasi atafurahi na kushukuru hata akisikia polisi kafukuzwa kazi tu basi pia atafurahia ,polis wanaiba magunia ya karafuu usiku ,wanaiacha familia na njaa.

Na watu hafurahii kwa kuuliwa wananchi waliovalia nguo au sare za polisi,hapaana watu wakikumbuka madhila na dhiki wanazofanyiwa na jeshi la polisi nyakati za uchaguzi kwa jeshi hilo kuibeba CCM waziwazi bila kificho ,Walai hata gari ya polisi ikipinduka basi wananchi wanafurahi,wachilia mbali polisi kupigwa risasi, na ukweli watu wanamachungu na jeshi maana hata uchungu ukizidi mtu huonekana anacheka.

Hivyo wananchi wanafurahia kwa kicheko cha uchungu kwa yanayosibu jeshi la polisi na sio wanamlenga mtu mmoja mmoja,hapana polisi waliofariki hawana tofauti na wahenga wa uchaguzi ,wote ni wananchi ,kama sheria na uadilifu ungefuatwa na jeshi hili asingeuliwa raia wala polisi.

Mnavamia usiku wa manane mnawanyang'anya watu karafuu zao ,wanamkamata mkuu wa mtaa awe sheha au diwani akagonge mlango na kujitambulisha ili waliondani wafungue,wakishafungua watu wenye silaha huingia na kubabaisha kwa maswali ya hapa na pale kisha huondoka na karafuu.
jeshi la polisi ni lazima mjitenge na CCM ni lazima kama mkiwakumbatia basi hata gari yenu ikipata pancha mtu atafurahi na hatashindwa hata kuwazomea.
 
Afande Sirro anapingwa kila kona kwa kauli yake wakati wa kuuanga miili ya askari wake walio uliwa kibudu na Hamza. Wengi wao wanaelekea kumhurumia Hamza zaidi bila kujali kuwe yeye (Hamza) kauwa watu watatu- ambao walikuwa wapo kazini kutulinda sisi.

Wanaompinga na kumzodoa Sirro wanasukumwa na dhana kuwa Polisi wa Sirro walimdhulumu Hamza. Mpaka sasa hivi hakuna aliyekuja na ushahidi wa kuonyesha dhuruma ya polisi dhidi ya Hamza. Huko nyuma waliwahi uliwa wafanyabiashara wa madini- watu walipiga kelele na kuja na ushahidi na serikali ilichukua hatua na wahusika wakafikishwa mbele ya sheria. Wanaujua ukweli wa dhuruma ya polisi wa Sirro wajitokeze ili Hamnza apate haki yake.

Dhana moja tu inayombana Sirro- ni kuwa yeye ni mkubwa, ni mamlaka na ukubwa ni jalala
Ramli, siyo?
 
Afande Sirro anapingwa kila kona kwa kauli yake wakati wa kuuanga miili ya askari wake walio uliwa kibudu na Hamza. Wengi wao wanaelekea kumhurumia Hamza zaidi bila kujali kuwe yeye (Hamza) kauwa watu watatu- ambao walikuwa wapo kazini kutulinda sisi.

Wanaompinga na kumzodoa Sirro wanasukumwa na dhana kuwa Polisi wa Sirro walimdhulumu Hamza. Mpaka sasa hivi hakuna aliyekuja na ushahidi wa kuonyesha dhuruma ya polisi dhidi ya Hamza. Huko nyuma waliwahi uliwa wafanyabiashara wa madini- watu walipiga kelele na kuja na ushahidi na serikali ilichukua hatua na wahusika wakafikishwa mbele ya sheria. Wanaujua ukweli wa dhuruma ya polisi wa Sirro wajitokeze ili Hamnza apate haki yake.

Dhana moja tu inayombana Sirro- ni kuwa yeye ni mkubwa, ni mamlaka na ukubwa ni jalala
Hili nalo litapita tu,kaupepo flani hivi
 
Umeongea Utumbo kama unavyowaza. Sirro kauli zake za kishetwani na hana Mamlaka ya kidunia wala Kimbinguni kusema watu vibaya au kuwaambia watu wasizae watu kama Hamza... angekuwa mtenda Mema asingesemwa Vibaya kwa aliyoyasema... aheshimu katiba na kazi yake na pia amuheshimu Raisi japo ni Mwanamke
Rubbish of the year
 
Afande Sirro anapingwa kila kona kwa kauli yake wakati wa kuuanga miili ya askari wake walio uliwa kibudu na Hamza. Wengi wao wanaelekea kumhurumia Hamza zaidi bila kujali kuwe yeye (Hamza) kauwa watu watatu- ambao walikuwa wapo kazini kutulinda sisi.

Wanaompinga na kumzodoa Sirro wanasukumwa na dhana kuwa Polisi wa Sirro walimdhulumu Hamza. Mpaka sasa hivi hakuna aliyekuja na ushahidi wa kuonyesha dhuruma ya polisi dhidi ya Hamza. Huko nyuma waliwahi uliwa wafanyabiashara wa madini- watu walipiga kelele na kuja na ushahidi na serikali ilichukua hatua na wahusika wakafikishwa mbele ya sheria. Wanaujua ukweli wa dhuruma ya polisi wa Sirro wajitokeze ili Hamnza apate haki yake.

Dhana moja tu inayombana Sirro- ni kuwa yeye ni mkubwa, ni mamlaka na ukubwa ni jalala
Wanafahamu kitu baada ya tukio .... Kmama ni hivyo, hiyo ni failure kwenye intelligence yetu. Yaani intelligence yao imeelekezwa kwa wapinzani tu. What a joke!!
 
AUYZ3t.jpg
 
Kule pemba polisi na vikosi vyao viliua nzige ??? Mkuki apigwe nguluwe tu ,mjue haki inapopigwa teke na vyombo vinavyotakiwa vitende haki na usawa kwa watu au vyama vyote basi mjue.

Hao wafiwa nawapa pole sana kwani anaesababisha yote haya ni yule anaewatumia polisi vibaya,inajulikana kazi ya polisi haina tofauti na ya utumwa ,yaani mdogo amsikilize mkubwa hivyo hivyo kwa chain nzima ya uongozi,lakini mkuu anapovunja sheria na kukuagiza kufanya uovu unahaki ya kukataa aidha kwa siri au dhahiri maana vyombo vya habari siku hizi vina njaa na habari, ajitokeze nimeatakiwa kutekeleza unyama wa kuuwa wapinzani siku ya uchaguzi kw nguvu zote alimuradi CCM watangazwe kidedea,

Polisi msiwalazie damu CCM wapeni makavu live ,kwamba hamtatekeleza maagizizo yaharamu na mpo tayari kuachana nao na kama wakichaguliwa wengine kwa siri ni wakati wakumwaga na kuwataja maana mficha uchwi hazwai ,

hakuna mtu anafurahi pale maisha yanapopotezwa ,wapemba wengi huuliwa kila ufikapo uchaguzi ,silaha ni hizi hizi kina SMG maguruneti ni hayahaya na vyote vinamilikiwa na jeshi la polisi na baadhi ya vyombo husika ,

Mpemba akisikia polisi kakanyagwa na gari atafurahi akimshukuru Allah na akisikia polisi kapigwa risasi atafurahi na kushukuru hata akisikia polisi kafukuzwa kazi tu basi pia atafurahia ,polis wanaiba magunia ya karafuu usiku ,wanaiacha familia na njaa.

Na watu hafurahii kwa kuuliwa wananchi waliovalia nguo au sare za polisi,hapaana watu wakikumbuka madhila na dhiki wanazofanyiwa na jeshi la polisi nyakati za uchaguzi kwa jeshi hilo kuibeba CCM waziwazi bila kificho ,Walai hata gari ya polisi ikipinduka basi wananchi wanafurahi,wachilia mbali polisi kupigwa risasi, na ukweli watu wanamachungu na jeshi maana hata uchungu ukizidi mtu huonekana anacheka.

Hivyo wananchi wanafurahia kwa kicheko cha uchungu kwa yanayosibu jeshi la polisi na sio wanamlenga mtu mmoja mmoja,hapana polisi waliofariki hawana tofauti na wahenga wa uchaguzi ,wote ni wananchi ,kama sheria na uadilifu ungefuatwa na jeshi hili asingeuliwa raia wala polisi.

Mnavamia usiku wa manane mnawanyang'anya watu karafuu zao ,wanamkamata mkuu wa mtaa awe sheha au diwani akagonge mlango na kujitambulisha ili waliondani wafungue,wakishafungua watu wenye silaha huingia na kubabaisha kwa maswali ya hapa na pale kisha huondoka na karafuu.
jeshi la polisi ni lazima mjitenge na CCM ni lazima kama mkiwakumbatia basi hata gari yenu ikipata pancha mtu atafurahi na hatashindwa hata kuwazomea.
hii nimeisikia leo
 
Kule pemba polisi na vikosi vyao viliua nzige ??? Mkuki apigwe nguluwe tu ,mjue haki inapopigwa teke na vyombo vinavyotakiwa vitende haki na usawa kwa watu au vyama vyote basi mjue.

Hao wafiwa nawapa pole sana kwani anaesababisha yote haya ni yule anaewatumia polisi vibaya,inajulikana kazi ya polisi haina tofauti na ya utumwa ,yaani mdogo amsikilize mkubwa hivyo hivyo kwa chain nzima ya uongozi,lakini mkuu anapovunja sheria na kukuagiza kufanya uovu unahaki ya kukataa aidha kwa siri au dhahiri maana vyombo vya habari siku hizi vina njaa na habari, ajitokeze nimeatakiwa kutekeleza unyama wa kuuwa wapinzani siku ya uchaguzi kw nguvu zote alimuradi CCM watangazwe kidedea,

Polisi msiwalazie damu CCM wapeni makavu live ,kwamba hamtatekeleza maagizizo yaharamu na mpo tayari kuachana nao na kama wakichaguliwa wengine kwa siri ni wakati wakumwaga na kuwataja maana mficha uchwi hazwai ,

hakuna mtu anafurahi pale maisha yanapopotezwa ,wapemba wengi huuliwa kila ufikapo uchaguzi ,silaha ni hizi hizi kina SMG maguruneti ni hayahaya na vyote vinamilikiwa na jeshi la polisi na baadhi ya vyombo husika ,

Mpemba akisikia polisi kakanyagwa na gari atafurahi akimshukuru Allah na akisikia polisi kapigwa risasi atafurahi na kushukuru hata akisikia polisi kafukuzwa kazi tu basi pia atafurahia ,polis wanaiba magunia ya karafuu usiku ,wanaiacha familia na njaa.

Na watu hafurahii kwa kuuliwa wananchi waliovalia nguo au sare za polisi,hapaana watu wakikumbuka madhila na dhiki wanazofanyiwa na jeshi la polisi nyakati za uchaguzi kwa jeshi hilo kuibeba CCM waziwazi bila kificho ,Walai hata gari ya polisi ikipinduka basi wananchi wanafurahi,wachilia mbali polisi kupigwa risasi, na ukweli watu wanamachungu na jeshi maana hata uchungu ukizidi mtu huonekana anacheka.

Hivyo wananchi wanafurahia kwa kicheko cha uchungu kwa yanayosibu jeshi la polisi na sio wanamlenga mtu mmoja mmoja,hapana polisi waliofariki hawana tofauti na wahenga wa uchaguzi ,wote ni wananchi ,kama sheria na uadilifu ungefuatwa na jeshi hili asingeuliwa raia wala polisi.

Mnavamia usiku wa manane mnawanyang'anya watu karafuu zao ,wanamkamata mkuu wa mtaa awe sheha au diwani akagonge mlango na kujitambulisha ili waliondani wafungue,wakishafungua watu wenye silaha huingia na kubabaisha kwa maswali ya hapa na pale kisha huondoka na karafuu.
jeshi la polisi ni lazima mjitenge na CCM ni lazima kama mkiwakumbatia basi hata gari yenu ikipata pancha mtu atafurahi na hatashindwa hata kuwazomea.
Shusha pumzi kidogo
 
Huko nyuma waliwahi uliwa wafanyabiashara wa madini- watu walipiga kelele na kuja na ushahidi na serikali ilichukua hatua na wahusika wakafikishwa mbele ya sheria. Wanaujua ukweli wa dhuruma ya polisi wa Sirro wajitokeze ili Hamnza apate haki yake.
me mgeni kidogo! hebu nijuze hao wauwaji wapo gereza gani kwa sasa na majina yao..
 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom