IGP Sirro, tunaomba Umhamishe Kamanda ACP Blasius Chatanda wa Simiyu, apangiwe kazi nyingine

figganigga

JF-Expert Member
Oct 17, 2010
25,492
54,890
chatanda.jpg
Commander Blasius Chatanda wa Simiyu, ulimhamisha kutoka Tanga ukampeleka Simiyu, hivyo ikupendeze kumtoa simiyu Umpeleke Misenyi au Katavi au mpangie kazi nyingine. Itakuwa ni hali ya kawaida ya kuboresha utendaji kazi wa Jeshi la Polisi na kwa nia njema tu.

Mkoa wa Simiyu unahitaji mtu mzoefu na mwenye kusikiliza na Utii.

Sijui kuhusu Rushwa, ila Chatanda analaumiwa kuwa na kiburi, dharau na Majivuno. Hapokei simu ya Ofisi, anampa msaidizi wake.. Halafu msaidizi anakupa sababu. Jaribu kumpigia simu ya Ofisi then Jitambulishe kama Nyanzila ili ujue nisemacho. Bila kushirikiana na Wananchi, kazi ya Polisi utaiona ngumu.

Alipokuwa Pwani ajali ziliongezeka, akapelekwa Mtwara ajali zikaongezeka, akapelekwa Tanga ajali zikaongezeka, kapelekwa Simiyu Ajali zikaongezeka.

Pili hana mahusiano Mazuri na Club za Waandish wa habari hasa wa Simiyu, hawapi Ushirikiano.

Kwa ajali iliyoua watu 14, anatakiwa ashushwe cheo kwa Uzembe. Kaaibisha Jeshi la Polisi hadi linaanza kulaumiwa kwa kutozuia Ajali.

Tunaomba Umrudishe Dodoma apangiwe majukumu mengine.

Au akuandikie barua ya kukiri kwamba atabadilika na kuanza kushirikiana na Wananchi wa Simiyu wakiwemo Waandishi wa habari.

Mimi huwa nakubari utendaji wa IGP sababu ni Msikivu hadi nikampendekeza awe namba moja Tanzania kwenye Jeshi la Polisi.

Zaidi soma;
Thread 'Ili Nchi iwe na amani, Simon Sirro awe Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini(IGP) , ana hofu ya Mungu' Ili Nchi iwe na amani, Simon Sirro awe Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini(IGP) , ana hofu ya Mungu
 
yaani uzembe na kiburi cha dereva wa gari serikali cha 'ku over speed' na kusababisha vifo ndiyo umuadhibu Kamanda Blasius Chatanda?? kwanini wakwanza kuadhibiwa asiwe mkuu wa mkoa wa mwanza Enjinia Gabriel ? kwa uzembe wa kumuachia dereva wake ku miss behave akiwa na gari la serikali???
 
na kibaya Zaidi hakuna kiongozi yoyote wa serikali anaweza kujitokeza hadharani na kukemea hivi vitendo vya madereva wa magari ya serikali kujiona miungu watu na 'ku-over speed ' kindezi ndezi na mwisho kusababisha umauti kwa wasio na hatia!!!

eti ohooo kazi ya mungu haina makosaa………...duuuuu
 
View attachment 2077077
Commander Blasius Chatanda wa Simiyu, ulimhamisha kutoka Tanga ukampeleka Simiyu, hivyo ikupendeze kumtoa simiyu Umpeleke Misenyi au Katavi au mpangie kazi nyingine. Itakuwa ni hali ya kawaida ya kuboresha utendaji kazi wa Jeshi la Polisi na kwa nia njema tu.

Mkoa wa Simiyu unahitaji mtu mzoefu na mwenye kusikiliza na Utii.

Sijui kuhusu Rushwa, ila Chatanda analaumiwa kuwa na kiburi, dharau na Majivuno. Hapokei simu ya Ofisi, anampa msaidizi wake.. Halafu msaidizi anakupa sababu. Jaribu kumpigia simu ya Ofisi then Jitambulishe kama Nyanzila ili ujue nisemacho. Bila kushirikiana na Wananchi, kazi ya Polisi utaiona ngumu.

Alipokuwa Pwani ajali ziliongezeka, akapelekwa Mtwara ajali zikaongezeka, akapelekwa Tanga ajali zikaongezeka, kapelekwa Simiyu Ajali zikaongezeka.

Pili hana mahusiano Mazuri na Club za Waandish wa habari hasa wa Simiyu, hawapi Ushirikiano.

Kwa ajali iliuoua watu 14, anatakiwa ashushwe cheo kwa Uzembe. Kaaibisha Jeshi la Polisi hadi linaanza kulaumiwa kwa kutozuia Ajali.

Tunaomba Umrudishe Dodoma apangiwe majukumu mengine.

Au akuandikie barua ya kukiri kwamba atabadilika na kuanza kushirikiana na Wananchi wa Simiyu wakiwemo Waandishi wa habari
Fitina tu. Wanahabari waliofariki, yeye hakua dereva. Halafu ushirikiano gani mnataka? Juice, msosi na posho ambazo kimsingi ni rushwa? Kama hawapi ushirikiano, acheni kutoa taarifa zake mmkomoe.
 
na kibaya Zaidi hakuna kiongozi yoyote wa serikali anaweza kujitokeza hadharani na kukemea hixi vitendo vya madereva wa magari ya serikali kujiona miungu watu na 'ku-over speed ' kindezi ndezi na mwisho kusababisha umauti kwa wasio na hatia!!!
Magufuri aliweza kuwadhibiti na akaruhusu wapigwe tochi na kulipa faini za overspeed.

Lkn na waandishi wasipande magari ya serikali wakati ni wa kampuni binafsi. Happ wamejitoa kwenye professionalism. Rushwa imetawa
 
yaani uzembe na kiburi cha dereva wa gari serikali cha 'ku over speed' na kusababisha vifo ndiyo umuadhibu Kamanda Blasius Chatanda?? kwanini wakwanza kuadhibiwa asiwe mkuu wa mkoa wa mwanza Enjinia Gabriel ? kwa uzembe wa kumuachia dereva wake ku miss behave akiwa na gari la serikali???
Ni jukumu lake kuhakikisha usalama wa barabarani. Mfano leo, alitakiwa ahakikishe Mkoani mwake Msafara unapita salama. Angechagua gari iongoze msafara kama wafanyavyo mikoa mingine.

Hata alipopigiwa simu hajapokea. Kwanini kila anapoenda kunakuwa na uzembe?
 
na kibaya Zaidi hakuna kiongozi yoyote wa serikali anaweza kujitokeza hadharani na kukemea hivi vitendo vya madereva wa magari ya serikali kujiona miungu watu na 'ku-over speed ' kindezi ndezi na mwisho kusababisha umauti kwa wasio na hatia!!!

eti ohooo kazi ya mungu haina makosaa………...duuuuu
Nape Kesha jitokeza na anaomba uchunguzi wa ajali ufanyike haraka sana!!
 
Back
Top Bottom