Master Legendary
JF-Expert Member
- Apr 28, 2013
- 549
- 785
Wanabodi leo mara ya pili nimepatwa na shida ndiyo nikajua kuna tatizo.
Nineamka saa 11 niwahi ofisini trafiki amekamata daladala yetu kisa dereva hakusimama kwenye zebra. Toka saa 12 hadi sasa hivi saa 1:30 tumekalishwa hapa wanamsubiria tajiri wa gari, vitu havieleweki kabisa.
Nashindwa kuelewa kwanini trafiki asichukue hatua kwa dereva kama ni kosa akaandikiwa faini akatuwahisha abiria au wao ndiyo wanaamini wana haki peke yao, gari ni Heicher limebeba abiria wengi kweli watu wamesimama wanawachosha bila sababu.
Inahitajika elimu kwa matrafiki wa dar juu ya namna bora ya kusimamia haya mambo namna hii hatutafika kwakweli.
Nineamka saa 11 niwahi ofisini trafiki amekamata daladala yetu kisa dereva hakusimama kwenye zebra. Toka saa 12 hadi sasa hivi saa 1:30 tumekalishwa hapa wanamsubiria tajiri wa gari, vitu havieleweki kabisa.
Nashindwa kuelewa kwanini trafiki asichukue hatua kwa dereva kama ni kosa akaandikiwa faini akatuwahisha abiria au wao ndiyo wanaamini wana haki peke yao, gari ni Heicher limebeba abiria wengi kweli watu wamesimama wanawachosha bila sababu.
Inahitajika elimu kwa matrafiki wa dar juu ya namna bora ya kusimamia haya mambo namna hii hatutafika kwakweli.