IGP Sirro tafakari sana maneno ya mtu aliewaua Polisi aliposikika akisema "Nawatafuta Polisi"

Pesa ya dhuluma siku zote ni chungu,mwache mtu akupe na sio kupora.
Siku zote police utaka pesa nyingi Sana kuliko hali halisi,pili hawana Siri wanakula beria hii uwapigia simu beria ya mbele kuna fuso inakuja tumevuta laki 8 hapo changamkeni,hadi ufike dar pesa yote umewaachia
 
tusipende sana kila jambo tunashutumu Polisi, hebu tujaribu kuwa na shukrani hata kwa kile kidogo wanachofanya...hivi hamuoni wanavyotulinda mitaani huku na kutatua changamoto za kila siku mtaani huku, hivi hatuoni hawa traffic police wanavyotusaidia huku mabarabarani pamoja na ujira mdogo wanaolipwa?... hakuna kazi isiyo na changamoto duniani hapa na hakuna police walio perfect dunia pote hapa tuache lawama....

Hivi hatujaona ile effort ya wale askari waliojitolea kuzikwepa risasi na kuleta amani pahala pale?.....kwa hiyo wangemuacha tu yule jamaa na bunduki zake anapiga marisasi na kuleta taharuki huku kazi zimesimama nk..
Peleka upumbavu wako huko,eti wametuliza taharuki,kuna raia alipigwa risasi pale na mtuhumiwa?
 
tusipende sana kila jambo tunashutumu Polisi, hebu tujaribu kuwa na shukrani hata kwa kile kidogo wanachofanya...hivi hamuoni wanavyotulinda mitaani huku na kutatua changamoto za kila siku mtaani huku, hivi hatuoni hawa traffic police wanavyotusaidia huku mabarabarani pamoja na ujira mdogo wanaolipwa?... hakuna kazi isiyo na changamoto duniani hapa na hakuna police walio perfect dunia pote hapa tuache lawama....

Hivi hatujaona ile effort ya wale askari waliojitolea kuzikwepa risasi na kuleta amani pahala pale?.....kwa hiyo wangemuacha tu yule jamaa na bunduki zake anapiga marisasi na kuleta taharuki huku kazi zimesimama nk..
WATANZANIA WALIO WENGI NI WAPENDA KULAUMU LAKINI HAO HAO WANAOLAUMU WAKIPEWA NAFASI ZA WALE WALIOKUWA WANAWALAUMU WANAFANYA YALE YALE WALIYOKUWA WANAYALUMU. HAO NDIO WATANZANIA
 
Norway, Sweden, Japan, Botswana, Uingereza, nk nk

Angalia pia South Afrika, polisi wana bifu na majambazi tu, lakini kwa raia wa kawaida hawana tatizo na wanahusiana vizuri sana
Huko South Africa wamejaa Askari wapenda rushwa mithili ya hawa wa Tanzania, wala hawana upekee wowote.
 
Umesikia Polisi walimnyanganya dhahabu waliyomkuta nayo katika harakati za kuuza, na jamaa ni mchimba dhahabu huko Chunya? Sasa hao ni walinzi wa mali zetu kweli? Unakumbuka wale jamaa waliuwawa Sizna na wakiwa na madini na kusingiziwa walikuwa majambazi? Polisi walimuua hata taxi driver ambae wala hakujua kinachoemdelea wao kupoteza ushahidi

Kama hawa Polisi wangejua ugumu wa kupata dhahabu kwenye machimbo Chunya, wasingethubutu kumnyanganya. Najua jamaa alikuwa anauza dhahabu kimagendo, lakini hiyo sio excuse kwa Polisi kumnyanganya ili iwanufaishe wao. Kwa hiyo kama hilo ndilo walilofanya ni good riddance kwa Polisi waovu walioko katika jeshi. Na kama kuna Polisi kjauwawa hakuhusika, basi wenzake ndio wa kulaumiwa, sio huyu mtu aliewaua
Achana na stori za mitandaoni, wewe una uthibitisho usio na mashaka kwamba walimkuta na madini ?
 
Ulinzi gani wa mali?
Police ndy adui namba moja wa Mali zako.
Ngoja siku uingie kwenye timings zao ,
Wakushike na mali zako halali au pesa.

Kama hukupewa kesi? Basi utaundiwa zengwe ,,
Ukubali kugawana nao..
Tuzidi kuwaombea . Kazi yao ina majaribu mengi
 
Wewe HAYAJAKUKUTA ...! Nimekusoma muda mrefu sana unatetea polisi. Polisi wa Tz sio watu hata kidogo.
Hao polisi unaosema sio watu, ndani yao kuna baba zako wadogo/wakubwa, kuna kaka/dada zako ,kuna wajomba/shangazi zako. Na ukionana nao unaweka tabasamu loooote ila hapa jf unajifanya kuwa diss
 
Back
Top Bottom