Kwani aliyeuwawa na maafisa wa polisi huko Mtwara ni mfuasi wa Chadema.Wafuasi wa Mbowe ndio wanakesha kuwanga usiku na mchana eti IGP Sirro ajiuzulu. Nawaambia wafuasi wa Mbowe/ CHADEMA mtasumbuka sana, na mjue kuwa mboe sio malaika.
Unafiki huu, ni kutokana na dini yake. Binafsi hakuna wakati mzuri kama wa SAID MWEMA.Sio kweli, kipindi Cha saidi mwema 2006-2013 kulikua na matukio ya kutisha sana
Wafuasi wa Mbowe ndio wanakesha kuwanga usiku na mchana eti IGP Sirro ajiuzulu. Nawaambia wafuasi wa Mbowe/ CHADEMA mtasumbuka sana, na mjue kuwa mboe sio malaika.
Hata wakizungumza wanaonekana kuwa na utulivu.Tza IGP alikuwa Said Mwema na angalau Mangu kidogo hawa walifanya reformation kubwa
Alilitendea haki jina lakeSaid Mwema kwa mtazamo wangu ndio IGP bora kuliko wengine.
Uhusiano kati ya Jeshi la Polisi na Wananchi ulikua mzuri.
Lipuuzi weye!Wafuasi wa Mbowe ndio wanakesha kuwanga usiku na mchana eti IGP Sirro ajiuzulu. Nawaambia wafuasi wa Mbowe/ CHADEMA mtasumbuka sana, na mjue kuwa mboe sio malaika.
Sio kweli, ni kwa sababu umesahau tu. Hakuna utofauti wa sirro, mwema Wala manguTza IGP alikuwa Said Mwema na angalau Mangu kidogo hawa walifanya reformation kubwa
Kwa nini huwa unakimbilia mambo ya dini? Nikuletee nyuzi za kipindi hicho?Unafiki huu, ni kutokana na dini yake. Binafsi hakuna wakati mzuri kama wa SAID MWEMA.
Mfumo mzima wa awamu iliyopita ubadilishweTupaze Sauti sasa IGP aondolewe, na ikiwezekana MA RPC wote waondolewe na kuwekwa wengine.
Hili hata ukiwailize Polisi wenyewe mitaani wanasema Wazi IGP Bora kwao ni Said Mwema japo walikuwa na matarajio Makubwa Kwa Sirro wakati anaingia madarakani lakini wameambulia patupu. Wanasema hiki ndo kipindi haki zào zimesiginwa kuliko kipindi chochote Tangu Uhuru.Said Mwema kwa mtazamo wangu ndio IGP bora kuliko wengine.
Uhusiano kati ya Jeshi la Polisi na Wananchi ulikua mzuri.
Lete nyuzi hapa, au unadhani nyakati hizo sikuwa hapa JF?? Usichachawe na ID hizi mpya mkuu.Kwa nini huwa unakimbilia mambo ya dini? Nikuletee nyuzi za kipindi hicho?
Lete nyuzi hapa, au unadhani nyakati hizo sikuwa hapa JF?? Usichachawe na ID hizi mpya mkuu.
Pamoja na matukio lkn SAIDI MWEMA na SIRRO wameachana mbali sana.
Lete nyuzi hapa, au unadhani nyakati hizo sikuwa hapa JF?? Usichachawe na ID hizi mpya mkuu.
Pamoja na matukio lkn SAIDI MWEMA na SIRRO wameachana mbali sana.
Lete nyuzi hapa, au unadhani nyakati hizo sikuwa hapa JF?? Usichachawe na ID hizi mpya mkuu.
Pamoja na matukio lkn SAIDI MWEMA na SIRRO wameachana mbali sana.
Lete nyuzi hapa, au unadhani nyakati hizo sikuwa hapa JF?? Usichachawe na ID hizi mpya mkuu.
Pamoja na matukio lkn SAIDI MWEMA na SIRRO wameachana mbali sana.