IGP Sirro: Sijawahi kupokea barua yoyote ya vyama vya Upinzani wakilalamika kufanyiwa hujuma na Jeshi la Polisi

Quinine

JF-Expert Member
Jul 26, 2010
21,271
47,271
Moshi. Inspekta Jenerali wa Polisi (IGP), Simon Sirro amewataka viongozi wakuu wa vyama vya upinzani nchini, kuwasilisha malalamiko yanayohusu hujuma wanazodai kufanyiwa na Jeshi la Polisi katika maeneo mbalimbali kabla au wakati wa mikutano yao ya ndani ili aweze kuyashughulikia.

“Kama kuna chama ambacho kinaona hakitendewi haki na Jeshi la Polisi, basi tuandikiwe malalamiko hayo ili tuweze kufuatilia kwa nini hiyo wilaya imeshindwa kutoa haki, waniandikie barua, nasisitiza sijawahi kupokea malalamiko yoyote ya barua kuhusiana na suala hilo (vikwazo vya polisi),” alisema Sirro.

Kauli hiyo imekuja siku chache tu baada ya katibu mkuu wa CCM, Dk Bashiru Ally kulitaka Jeshi la Polisi kutotumia nguvu kushughulikia migogoro ya kisiasa nchini.

Akiwa mkoani Manyara, Dk Bashiru alisema “tukianza kutumia mabavu katika kutatua migogoro yetu ni dalili za kushindwa kuongoza nchi, hakuna sababu wakati wananchi wanatii sheria bila shuruti.”
 
Kiuhalisia upinzani wanapenda sana kupiga kelele zisizo na tija. Wenzao huwa wanaanza kwa kufuata taratibu zilizopo then ikishundikana ndiyo yanaanza mashinikizo kwa kelele. Lakini wao kitu cha kwanza ni kelele.
 
Kiuhalisia upinzani wanapenda sana kupiga kelele zisizo na tija. Wenzao huwa wanaanza kwa kufuata taratibu zilizopo then ikishundikana ndiyo yanaanza mashinikizo kwa kelele. Lakini wao kitu cha kwanza ni kelele.
Unaushahidi wa usemayo.
 
Halafu waje walalamike tena.. naamini hawatasikiliza aliyosema IGP.. kisa wqtafute kiki kwa kuvunja sheria.. kiki ambazo huwa zinabuma kwa kuwa wananchi tumewachoka.

Hapa kazi tu
 
Moshi. Inspekta Jenerali wa Polisi (IGP), Simon Sirro amewataka viongozi wakuu wa vyama vya upinzani nchini, kuwasilisha malalamiko yanayohusu hujuma wanazodai kufanyiwa na Jeshi la Polisi katika maeneo mbalimbali kabla au wakati wa mikutano yao ya ndani ili aweze kuyashughulikia.

“Kama kuna chama ambacho kinaona hakitendewi haki na Jeshi la Polisi, basi tuandikiwe malalamiko hayo ili tuweze kufuatilia kwa nini hiyo wilaya imeshindwa kutoa haki, waniandikie barua, nasisitiza sijawahi kupokea malalamiko yoyote ya barua kuhusiana na suala hilo (vikwazo vya polisi),” alisema Sirro.

Kauli hiyo imekuja siku chache tu baada ya katibu mkuu wa CCM, Dk Bashiru Ally kulitaka Jeshi la Polisi kutotumia nguvu kushughulikia migogoro ya kisiasa nchini.

Akiwa mkoani Manyara, Dk Bashiru alisema “tukianza kutumia mabavu katika kutatua migogoro yetu ni dalili za kushindwa kuongoza nchi, hakuna sababu wakati wananchi wanatii sheria bila shuruti.”
We siro we, nyie si ndo wale munaitwa amri toka juu?
 
Halafu waje walalamike tena.. naamini hawatasikiliza aliyosema IGP.. kisa wqtafute kiki kwa kuvunja sheria.. kiki ambazo huwa zinabuma kwa kuwa wananchi tumewachoka.

Hapa kazi tu

1. Wanaowashika kimtandao nani huwa anaandika baruwa

2. Je neno kunataarifa za kintelijensia leo haipo? Nani hututoa taarifa za maandishi?
 
Kiuhalisia upinzani wanapenda sana kupiga kelele zisizo na tija. Wenzao huwa wanaanza kwa kufuata taratibu zilizopo then ikishundikana ndiyo yanaanza mashinikizo kwa kelele. Lakini wao kitu cha kwanza ni kelele.

..mwisho hata uhalifu ukitokea atataka aandikiwe barua.

..haiwezekani hizi habari zimezagaa ktk vyombo vyote vya habari halafi IGP aseme hana taarifa, au anasubiri kuandikiwa barua.

..mimi kwa upande wangu nakumbuka Umoja wa Vijana wa CDM wakati mwenyekiti wao akiwa ni Petrobas Katambi waliandika waraka kwenda kwa IGP.
 
Moshi. Inspekta Jenerali wa Polisi (IGP), Simon Sirro amewataka viongozi wakuu wa vyama vya upinzani nchini, kuwasilisha malalamiko yanayohusu hujuma wanazodai kufanyiwa na Jeshi la Polisi katika maeneo mbalimbali kabla au wakati wa mikutano yao ya ndani ili aweze kuyashughulikia.

“Kama kuna chama ambacho kinaona hakitendewi haki na Jeshi la Polisi, basi tuandikiwe malalamiko hayo ili tuweze kufuatilia kwa nini hiyo wilaya imeshindwa kutoa haki, waniandikie barua, nasisitiza sijawahi kupokea malalamiko yoyote ya barua kuhusiana na suala hilo (vikwazo vya polisi),” alisema Sirro.

Kauli hiyo imekuja siku chache tu baada ya katibu mkuu wa CCM, Dk Bashiru Ally kulitaka Jeshi la Polisi kutotumia nguvu kushughulikia migogoro ya kisiasa nchini.

Akiwa mkoani Manyara, Dk Bashiru alisema “tukianza kutumia mabavu katika kutatua migogoro yetu ni dalili za kushindwa kuongoza nchi, hakuna sababu wakati wananchi wanatii sheria bila shuruti.”
Sasa kama haoni yanayo tendeka ana kuwaje IGP??? YAANI INA CHEKESHA jibu kama hilo kutoka kwa IGP..
 
Kiuhalisia upinzani wanapenda sana kupiga kelele zisizo na tija. Wenzao huwa wanaanza kwa kufuata taratibu zilizopo then ikishundikana ndiyo yanaanza mashinikizo kwa kelele. Lakini wao kitu cha kwanza ni kelele.

Kwani wanapowadhibiti si huwa wansema ninmaagizo toka juu, sasa wewe unajuwa huko juu huwa ni mbinguni. Kwani taarifa za wansiasa wanaokamatwa na kuwekwa ndani wakiwa kwenye mikutano ya ndani huwa yeye hazipati anataka alalamikiwe kuhusu utendaji wa wasaidizi wake. Kwahiyo watu wakiseme TRA inatubambikia kodi Rais aseme sijawahi kupokea barua ya malalamiko ya mtu kubambikiwa kodi badala ya kukutana na wafanya biashara na kuwasikiliza matatizo yao mbona Rais wetu hakusubiria kuandikiwa barua au yeye IGP ni mahakama hadi apate malalamiko kwa maandiahi ndipo asimamie sheria maana watu wanataka uwepo utawala wa sheria. Na police wasimamie sheria.
 
Back
Top Bottom