IGP Sirro na wenzako kuna la kujifunza kutoka kwenye kisa cha Nelson Mandela

Chakaza

JF-Expert Member
Mar 10, 2007
39,797
71,217
ALIYEJISAIDIA HAJA NDOGO JUU YA KICHWA CHANGU NIKIWA GEREZANI”

Nelson Mandela: “Baada ya kutawazwa kuwa rais niliwaomba Baadhi ya walinzi wangu wa karibu kutembelea mgahawa fulani mjini ili kupata chakula cha mchana.

Tulifika kwenye mgahawa huo baada ya matembezi mafupi na kuagiza chakula”.

“Punde muhudumu akaleta tulivyoagiza, na nikaona mbele yangu yuko mtu mwingine anasubiri alichoagiza. Nikamtuma moja ya mlinzi wangu amuagize mtu yule ajumuike nasi tupate wote chakula cha mchana”.

“Mtu yule bila kusita alifika kwenye meza yangu na chakula chake. Lakini hakuwa na hali nzuri kabisa, kwani mikono yake ilikuwa inatetemeka vibaya sana, alishindwa kunitazama usoni hadi chakula kilipoisha na akaondoka zake”.

Moja wa ya mlinzi akamwambia mandela baada ya mtu yule kuondoka: “Inaonekana mtu yule alikuwa mgonjwa sana, kwani hakuishiwa kutetemeka muda wote amekaa hapa”.

Mandela akajibu: “Hapana, hakuwa mgonjwa hata kidogo”.

“Mtu yule alikuwa bwana jela katika gereza nililokuwa nimefungwa. Katika nyakati ambazo niliteswa kwa kupigwa na kila aina ya kadhia, niliomba msaada wa maji pale nilipopata kiu kikali sana, mtu yule bila huruma alifika na alinikojolea kichwani mwangu”.

“Hofu yake yote ile ni kuona mimi nimekuwa rais wa Afrika ya Kusini, kwamba naweza kumfanya chochote kwa sababu mimi ni Rais. Ila siwezi kumfanya kitu chochote kwa sababu hiyo mimi sio tabia yangu”

“Mara nyingi hulka za kulipiza visasi zinavunja sana mataifa, ila hulka ya uvumilivu na kusamehe, ina jenga umoja na utaifa”.

- NELSON MANDELA.

MY TAKE;
Mnavyo mtendea Freeman Mbowe sasa ipo siku mtajikuta mnatetemeka mbele yake kwa kudhani atawalipa kwa uovu wenu. Nani ajuaye kwamba Freeman hawezi siku moja kuinuliwa na muumba kushika nafasi ya juu kabisa ya uongozi?
OLE WENU WATAWALA WAOVU

FB_IMG_1628175536064.jpg
20210722_044854.jpg
 
ALIYEJISAIDIA HAJA NDOGO JUU YA KICHWA CHANGU NIKIWA GEREZANI”

Nelson Mandela: “Baada ya kutawazwa kuwa rais niliwaomba Baadhi ya walinzi wangu wa karibu kutembelea mgahawa fulani mjini ili kupata chakula cha mchana.

Tulifika kwenye mgahawa huo baada ya matembezi mafupi na kuagiza chakula”.

“Punde muhudumu akaleta tulivyoagiza, na nikaona mbele yangu yuko mtu mwingine anasubiri alichoagiza. Nikamtuma moja ya mlinzi wangu amuagize mtu yule ajumuike nasi tupate wote chakula cha mchana”.

“Mtu yule bila kusita alifika kwenye meza yangu na chakula chake. Lakini hakuwa na hali nzuri kabisa, kwani mikono yake ilikuwa inatetemeka vibaya sana, alishindwa kunitazama usoni hadi chakula kilipoisha na akaondoka zake”.

Moja wa ya mlinzi akamwambia mandela baada ya mtu yule kuondoka: “Inaonekana mtu yule alikuwa mgonjwa sana, kwani hakuishiwa kutetemeka muda wote amekaa hapa”.

Mandela akajibu: “Hapana, hakuwa mgonjwa hata kidogo”.

“Mtu yule alikuwa bwana jela katika gereza nililokuwa nimefungwa. Katika nyakati ambazo niliteswa kwa kupigwa na kila aina ya kadhia, niliomba msaada wa maji pale nilipopata kiu kikali sana, mtu yule bila huruma alifika na alinikojolea kichwani mwangu”.

“Hofu yake yote ile ni kuona mimi nimekuwa rais wa Afrika ya Kusini, kwamba naweza kumfanya chochote kwa sababu mimi ni Rais. Ila siwezi kumfanya kitu chochote kwa sababu hiyo mimi sio tabia yangu”

“Mara nyingi hulka za kulipiza visasi zinavunja sana mataifa, ila hulka ya uvumilivu na kusamehe, ina jenga umoja na utaifa”.

- NELSON MANDELA.

MY TAKE;
Mnavyo mtendea Freeman Mbowe sasa ipo siku mtajikuta mnatetemeka mbele yake kwa kudhani atawalipa kwa uovu wenu. Nani ajuaye kwamba Freeman hawezi siku moja kuinuliwa na muumba kushika nafasi ya juu kabisa ya uongozi?
OLE WENU WATAWALA WAOVUView attachment 1881501View attachment 1881510
Acha ujinga ndugu,
Usimfananishe Nelson Mandela (madiba)
Na vitu vya kijinga.
Kuvaa kofia Kama za akina Che Guevara na Castro .hakukufanyi uwe Kama wao.
Pathetic comparison,go and read again and again
 
Mbowe hajakojolewa.hata polisi wanamhandle kwa adabu sana.

Ukidhani polisi ni wajinga sana nakukumbusha tu.
* Waliishamkamata sabaya kama mhalifu,akaja kuwa DC hai.

* waliishamkamata kigwangala kwenye maandamano,akaja kuwa waziri wizara mbili mfululizo.

Inawezekana kabisa wanamjua mbowe vizuri sana,kuliko nyinyi mnamjua kama mwenyekiti peke yake.
 
ALIYEJISAIDIA HAJA NDOGO JUU YA KICHWA CHANGU NIKIWA GEREZANI”

Nelson Mandela: “Baada ya kutawazwa kuwa rais niliwaomba Baadhi ya walinzi wangu wa karibu kutembelea mgahawa fulani mjini ili kupata chakula cha mchana.

Tulifika kwenye mgahawa huo baada ya matembezi mafupi na kuagiza chakula”.

“Punde muhudumu akaleta tulivyoagiza, na nikaona mbele yangu yuko mtu mwingine anasubiri alichoagiza. Nikamtuma moja ya mlinzi wangu amuagize mtu yule ajumuike nasi tupate wote chakula cha mchana”.

“Mtu yule bila kusita alifika kwenye meza yangu na chakula chake. Lakini hakuwa na hali nzuri kabisa, kwani mikono yake ilikuwa inatetemeka vibaya sana, alishindwa kunitazama usoni hadi chakula kilipoisha na akaondoka zake”.

Moja wa ya mlinzi akamwambia mandela baada ya mtu yule kuondoka: “Inaonekana mtu yule alikuwa mgonjwa sana, kwani hakuishiwa kutetemeka muda wote amekaa hapa”.

Mandela akajibu: “Hapana, hakuwa mgonjwa hata kidogo”.

“Mtu yule alikuwa bwana jela katika gereza nililokuwa nimefungwa. Katika nyakati ambazo niliteswa kwa kupigwa na kila aina ya kadhia, niliomba msaada wa maji pale nilipopata kiu kikali sana, mtu yule bila huruma alifika na alinikojolea kichwani mwangu”.

“Hofu yake yote ile ni kuona mimi nimekuwa rais wa Afrika ya Kusini, kwamba naweza kumfanya chochote kwa sababu mimi ni Rais. Ila siwezi kumfanya kitu chochote kwa sababu hiyo mimi sio tabia yangu”

“Mara nyingi hulka za kulipiza visasi zinavunja sana mataifa, ila hulka ya uvumilivu na kusamehe, ina jenga umoja na utaifa”.

- NELSON MANDELA.

MY TAKE;
Mnavyo mtendea Freeman Mbowe sasa ipo siku mtajikuta mnatetemeka mbele yake kwa kudhani atawalipa kwa uovu wenu. Nani ajuaye kwamba Freeman hawezi siku moja kuinuliwa na muumba kushika nafasi ya juu kabisa ya uongozi?
OLE WENU WATAWALA WAOVU

View attachment 1881501View attachment 1881510
Mngekuwa mnajua Afri a Kusini hakuna kilichopatikana zaidi ya kuchezewa tu kisaikolojia msingeleta hizi hekaya kwa huyu mla konyagi wenu.

Uhuru wa SA haujapatikana. Kilichopatikana ni kuruhuru Rais mweusi na kupunguza ubaguzi wa rangi.


Ardhi inamilikiwa na wazungu wachache kuliko weusi ambao ndio wengi. Kumbuka ardhi ndio nchi.
 
Tatizo la wafuasi wa CHADEMA ni kama mmepewa limbwata na Mbowe. Badala ya kumfananisha Mbowe na Mandela mimi namfananisha na Zuma. Zuma ni fisadi kweli na ushahidi upo. Mwaka jana mwezi wa nane walikamatwa vijana wakijiandaa kufanya ughaidi waliokuwa wakifanya mipango kwenye hoteli ya Mbowe. Baada ya kuminywa pumbu wakamtaja Mbowe na kuonyesha ushahidi usiotiwa shaka. Kutokana na hulka ya JPM kipindi kile wakashauriana wasubiri uchaguzi uishe ili isionekane Mbowe kashikwa sababu ya uchaguzi. Kama mnakumbuka vizuri Mbowe hakushiki popote kwenye kampeni ya Lissu zaidi ya siku ya uzinduzi tu Mbagala Zhakiem. Sababu ni kuwa kuna kesi nzito ilikuwa ikimsubiria na alishatonywa. Baada ya uchaguzi kuisha na matokeo kujulikana haikuchukua muda akakimbia nchi. Magufuli alivyofariki tu Mbowe akaibuka kutoka alipokuwa akisingizia alienda kuwekeza nje baada ya kufungiwa akaunti zake. Raisi Samia alikuwa tayari kusamehe na kuanza upya ili kufungua ukurasa mpya, Ila Mbowe and Co.ltd wakamuona mjinga. Sasa ngoja avune alichopanda. Msipoangalia anaweza kuchezea hata miaka 10 au zaidi jela nyie mkikomalia tararila za katiba mpya. Jambo usilolijua ni sawa na usiku wa giza.
 
Ccm imebaki na dola tu sasa hivi ndio maana haiwezi kuleta hata maendeleo yoyote ya maana, kwa sasa na kuendelea hakuna kiongozi yeyote wa hiki chama ambaye atatawala bila kuwa dikteta kwa maana umma uliishawaacha kitambo na wanapigania roho yao.
 
Mngekuwa mnajua Afri a Kusini hakuna kilichopatikana zaidi ya kuchezewa tu kisaikolojia msingeleta hizi hekaya kwa huyu mla konyagi wenu.

Uhuru wa SA haujapatikana. Kilichopatikana ni kuruhuru Rais mweusi na kupunguza ubaguzi wa rangi.


Ardhi inamilikiwa na wazungu wachache kuliko weusi ambao ndio wengi. Kumbuka ardhi ndio nchi.
Sio kweli kabisa,nchi hiyo (SA)inaharibiwa na black people's na hiyo ardhi unayoisema ingia website ya serikali uone mgawanyo wa ardhi,usituletee UONGO hapa ni sumu kubwa mno.
 
Sio kweli kabisa,nchi hiyo (SA)inaharibiwa na black people's na hiyo ardhi unayoisema ingia website ya serikali uone mgawanyo wa ardhi,usituletee UONGO hapa ni sumu kubwa mno.
Huna akili
 
Uhuru wa SA haujapatikana. Kilichopatikana ni kuruhuru Rais mweusi na kupunguza ubaguzi wa rangi.


Ardhi inamilikiwa na wazungu wachache kuliko weusi ambao ndio wengi. Kumbuka ardhi ndio nchi.
Kwako wewe uhuru ni ardhi?? Kama unakunywa basi utakuwa umekewa, kama hunywi ni mgonjwa, tena una magonjwa mtambuka.

Tanzania tuna ardhi tele, kwahiyo tuna Uhuru tele?. Nchi hii kuna haja ya kufanya operesheni ya kuuwa watu wajinga.
 
Tuna jeshi LA kipuuzi sana Sana, wala rushwa wakybwa, uncivilized, failures na wajinga wakubwa
 
Dharau ya yule Bwana jela aliyemkojolea Nelson Mandela mkojo kichwani inakutawala,hata yeye Bwana jela hakutegemea kabisa kuwa kuna siku moja Nelson Mandela atakuwa huru na kuwa rais wa nchi,hiyo yote inatokana na chuki binafsi na dharau kwa baadhi ya watu.Jiulize kidogo je ulitegemea kuwa mama Samiah Suluhu anaweza kuwa rais kwa mwujiza wa Mungu???
Dunia inazunguka ulionalo leo silo utakaloliona kesho.Halima Mdee akiwa mbunge wa Chadema alikuwa adui wa Ndugai na Magufuri lakini umeona yaliyotokea?Leo Halima Mdee ni mheshimiwa siyo kahaba au msagaji kama mlivyokuwa mkimwita hapo mwanzo akiwa Chadema.
Waitara ni nani saa hizi katika serikali yenu?Je Silinde,Mkumbo,Nassari,na wengineo amini usiamini Mbowe akiamua kuunga juhudi za Mama Samiah leo atakuwa mtukufu na kupewa sifa ambazo hujawahi kuziona duniani.Acha dharau wewe maisha ni haya haya.
 
Back
Top Bottom