Kamanda Asiyechoka
JF-Expert Member
- Sep 13, 2020
- 3,166
- 4,581
Kama mkuu wa polisi anakiri hadharani kuwa jeshi analolisimamia linatumia nguvu ya ziada basi ni wazi kuwa jeshi analosimamia huwa linafanya kazi kinyume cha sheria.
Ni nguvu gani ya ziada inayotumika? Kupiga watu walio mahabusu ya polisi? Kutesa mahabusu wa polisi?
Hii ni kinyume na katiba ya JMT na sheria amabyo inataka mahakama ndio kiwe chombo cha kutoa haki.
Pia ni kinyume na sheria ya ushahidi kifungu cha 27.
Huu ndio wakati wa Igp Sirro kupisha ofisi ya UIGP
Ni nguvu gani ya ziada inayotumika? Kupiga watu walio mahabusu ya polisi? Kutesa mahabusu wa polisi?
Hii ni kinyume na katiba ya JMT na sheria amabyo inataka mahakama ndio kiwe chombo cha kutoa haki.
Pia ni kinyume na sheria ya ushahidi kifungu cha 27.
Huu ndio wakati wa Igp Sirro kupisha ofisi ya UIGP