IGP Sirro: Kinondoni inaongoza kwa uhalifu hapa nchini

Sasa kama wanawafahamu na wao ndiyo wakuhusika kuondoa tatizo kwenye comment yako iliandika wadhibitiwe sasa wadhibitiwe na nani?
Ashakum si matusi.. U Bado mtoto au mgeni mjini ndio maana unaniuliza hivyo
 
25 August 2021
Dar es Salaam, Tanzania

Tukio mtu asiyejulikana akifyatua risasi katika barabara ya Ali Hassan Mwinyi jijini Dar es Salaam

BREAKING Shooting near French embassy in Tanzania​

There has been a shootout near the French embassy in the Tanzanian city of Dar es Salaam.
The suspected shooter has been neutralised by a sniper.
The motive of the attack is still not clear and authorities are yet to comment.
The shooting occurred as President Samia Suluhu met police chiefs at a different location in Dar es Salaam.
The US embassy in Tanzania has issued an advisory urging its citizens to avoid the area near the French embassy and monitor local media for information.


Tukio la Leo wilayani Kinondoni jijini Dar es Salaam, Tanzania linaonesha jinsi ya umuhimu wa utayari kwa vyombo vya usalama na pia wananchi waelimishwe nini cha kufanya kukitokea uhalifu kama wa leo ambapo mtu mwenye silaha ya kivita alionekana akifyatua risasi nyingi.

Video zote hisani kubwa ya Global TV online
Source : Global TV online
 
25 August 2021
Dar es Salaam, Tanzania

Tukio mtu asiyejulikana akifyatua risasi katika barabara ya Ali Hassan Mwinyi jijini Dar es Salaam



Tukio la Leo linaonesha jinsi ya umuhimu wa utayari na pia wananchi waelimishwe nini cha kufanya kukitokea kihalifu.

Source : Global TV online


mkuu hakuna mwananchi alie uwawa wanaotakiwa kuelimishwa ni jeshi la polisi
 
25 August 2021
Dar es Salaam, Tanzania

Suspect neutralised after shooting near French embassy in Tanzania​


The US embassy in Tanzania has issued an advisory to citizens​

• The motive of the attack is still not clear and authorities are yet to comment.
• The shooting occurred as President Samia Suluhu met police chiefs at a different location in Dar es Salaam.
 
25 August 2021
Dar es Salaam, Tanzania

Gunfire heard near French embassy in Dar es Salaam Tanzania

Mlio wa risasi katika daraja la Salender Dar es salaam


Shahidi aelezea namna ilivyokua kwenye majibizano ya risasi kati ya polisi na majambazi. Tukio hilo limetokea muda huu katika daraja la Salender jijini Dar es Salaam, Tanzania
Source : mwanzo TV
 
Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini IGP Simon Sirro, ameutaja mkoa wa Kipolisi wa kinondoni kama kinara wa uhalifu nchini ambapo matukio ya uporaji, uvunjaji wa kutumia nguvu na uporaji kwa kutumia pikipiki yakiwa yameongezeka huku uhalifu mwingine mkubwa wa kutumia silaha za moto ukiwa umeshuka.

IGP Sirro amesema hayo jijini Dar es salaam, wakati akizungumza na Wenyekiti wa Serikali za Mitaa, watendaji Kata, pamoja na watendaji wa vikundi vya ulinzi shirikishi ambapo amewataka watendaji wote kutimiza wajibu wao kwa kuhakikisha usalama unaendelea kuimarishwa.

Aidha, IGP Sirro ametoa muda wa wiki moja kuhakikisha wanakomesha vya kihalifu kwa kushirikiana na watendaji wengine huku akitoa wito kwa mgambo kuacha kujiingiza kwenye vitendo vya rushwa.

“Tutaendelea kutekeleza wajibu wetu kwa kuzingatia uzalendo, taratibu na kanuni na kuhakikisha maeneo yatu na wananchi tunaowahudumia yanakuwa salama”,amejibu Mohamed Mawal, Mwenyekiti wa Serikali ya Mtaa wa Tegeta huku Mwenyekiti wa Serikali ya Mtaa wa Mlalakuwa Suleiman Masare, akiahidi kutoa pikipiki mpya kwa Kituo cha Polisi Chuo Kikuu itakayosaidia kurahisisha utoaji wa huduma za kipolisi kwa wananchi.

Kabla ya kukutana na watendaji wa serikali za mitaa na watendaji wa kata na watendaji wa vikundi vya ulinzi shirikishi pia IGP Sirro, alifanya kikao kazi na maofisa na askari wa Jeshi hilo ambapo aliwataka kuendelea kutimiza wajibu wao na kuwachukulia hatua kali wanaojihusisha na vitendo vya kihalifu.

Chanzo: Watetezi

Acheni kuita magaidi wahalifu huyu alikuwa anataka kuiba nini?
 
25 August 2021
Dar es Salaam, Tanzania

Polisi yathibitisha watu 4 wamepoteza maisha na wengine 6 kujeruhiwa



Mkuu wa Operation wa jeshi la Polisi nchini Tanzania Kamishna Liberatus Sabas aongea na waandishi wa habari. Maafa hayo yametokea katika maeneo yaliyo karibu na maungano ya barabara za Kinondoni, Kenyatta Drive na Ali Hassan Mwinyi jijini Dar es Salaam katika wilaya ya Kinondoni.

Source : mwanzo tv
 
Back
Top Bottom