GRAMAA
JF-Expert Member
- Nov 1, 2014
- 1,155
- 3,399
Leo 18/09 TBC wapo mubashara wakijadiri katiba mpya katika kipindi chao cha MIZANI.
Tena wameita watu mbalimbali wakiwepo,Prof. Mahalu,Prof.Lipumba,mhe.Hamad Rashid na Dkt.Kinunda wakiongozwa Dkt.Rioba.
Sasa na CHADEMA nao watajadiri hivyo hivyo katiba mpya siku ya tarehe 04/09 huko Mara.
Sasa IGP Sirro kama ulivyowaacha TBC wajadiri katiba mpya kwa Uhuru bila kuwaingilia basi tunaamini na CHADEMA nao utàwaacha wajadiri katiba mpya huko Mara bila kuwaingilia.
Uzi upo wazi kabisa.
Tena wameita watu mbalimbali wakiwepo,Prof. Mahalu,Prof.Lipumba,mhe.Hamad Rashid na Dkt.Kinunda wakiongozwa Dkt.Rioba.
Sasa na CHADEMA nao watajadiri hivyo hivyo katiba mpya siku ya tarehe 04/09 huko Mara.
Sasa IGP Sirro kama ulivyowaacha TBC wajadiri katiba mpya kwa Uhuru bila kuwaingilia basi tunaamini na CHADEMA nao utàwaacha wajadiri katiba mpya huko Mara bila kuwaingilia.
Uzi upo wazi kabisa.