lee Vladimir cleef
JF-Expert Member
- Feb 5, 2013
- 9,147
- 33,300
Sirro unahangaika sana kuongea na VIONGOZi wa dini juu ya amani yetu baada au wakati wa Uchaguzi.
Wewe ni mkuu wa Jeshi la Polisi Tanzania. Nakuomba kwanza ili uaminike kamata kwanza waliomshambulia Lissu.
Muulize Lissu akutajie prime suspect nahisi atakua anawajua ndipo makachero wako wanze kuwahoji.
Pia Mzee Siro waambie Serikali waweke tume ya Uchaguzi inayokubaliwa na vyama vyote.
Pia iombe Serikali iruhusu viongozi wa dini wasimamie Uchaguzi.
Pia iambie Serikali iruhusu vyombo vya habari vitangaze habari za Lissu.
Itake tume ya Taifa ya Uchaguzi iache kumpendelea mgombea wa chama chochote cha siasa.
Mwisho kabisa itake tume ya Taifa ya Uchaguzi siku ya kusoma matokeo imtangaze Mshindi halali wa Uchaguzi hapa ndipo utakua umezuia uvunjifu wa amani.
Wewe ni mkuu wa Jeshi la Polisi Tanzania. Nakuomba kwanza ili uaminike kamata kwanza waliomshambulia Lissu.
Muulize Lissu akutajie prime suspect nahisi atakua anawajua ndipo makachero wako wanze kuwahoji.
Pia Mzee Siro waambie Serikali waweke tume ya Uchaguzi inayokubaliwa na vyama vyote.
Pia iombe Serikali iruhusu viongozi wa dini wasimamie Uchaguzi.
Pia iambie Serikali iruhusu vyombo vya habari vitangaze habari za Lissu.
Itake tume ya Taifa ya Uchaguzi iache kumpendelea mgombea wa chama chochote cha siasa.
Mwisho kabisa itake tume ya Taifa ya Uchaguzi siku ya kusoma matokeo imtangaze Mshindi halali wa Uchaguzi hapa ndipo utakua umezuia uvunjifu wa amani.