Tang Zhou
JF-Expert Member
- Mar 14, 2018
- 1,206
- 2,587
Hii ni wake up call kwa IGP pengine na "Mamlaka yake ya Uteuzi"...huu mfululizo wa mauaji ya askari polisi wanaojipasua vichwa kwa SMG mnazowapa kwenda nazo lindoni, au siku nyingine kuizunguka Mahakama ya Kisutu mnapomkamata Lissu, au Mbowe, au Zitto, au Mdee, au Mtatiro, au kumtisha Nape...iko siku hamtaamini mlichokiona...
Askari Polisi wamejaa msongo wa mawazo....Sasa kama mnazo akili fanyieni kazi maslahi ya Polisi, msiwe mnaishia kugharamia mazishi yao na kusubiri wengine nao wapasue vichwa, vinywa ama mataya yao kwa SMG...
Na kwa Jiwe in particular, zingatia kabisa maslahi ya majeshi, na heshimu tu wajibu wao...yasitokee kama yale ya Lugola kuachwa amdhalilishe Kamishna wa Jeshi la Magereza...askari wamejawa na "FRASTRESHENI ZAO" kuliko wewe baba, don't take it for granted...iko siku watakushangazeni...MARK THIS THREAD!
Soma zaidi
Polisi watatu wajiua kwa risasi ndani ya saa 48
Askari Polisi wamejaa msongo wa mawazo....Sasa kama mnazo akili fanyieni kazi maslahi ya Polisi, msiwe mnaishia kugharamia mazishi yao na kusubiri wengine nao wapasue vichwa, vinywa ama mataya yao kwa SMG...
Na kwa Jiwe in particular, zingatia kabisa maslahi ya majeshi, na heshimu tu wajibu wao...yasitokee kama yale ya Lugola kuachwa amdhalilishe Kamishna wa Jeshi la Magereza...askari wamejawa na "FRASTRESHENI ZAO" kuliko wewe baba, don't take it for granted...iko siku watakushangazeni...MARK THIS THREAD!
Soma zaidi
Polisi watatu wajiua kwa risasi ndani ya saa 48