Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 121,947
- 95,237
Hilo la mwisho naona umeyumba mkuu maana shahidi anasema alikuwa achomwa bisibisi matakoni na wakayi mingine mikononi.1. Kwa nafasi aliyonayo Mbowe na anavyoonekana kwa watu anaweza kufanya hayo anayotuhumiwa kuyafanya?
2. Kama laki sita (600, 000) zinaonekana hazitoshi kufadhili ugaidi je kiasi hicho kinaweza kuwa malipo ya mshahara wa makomandoo watatu walioajiriwa kama VIP PROTECTION ya mtu muhimu kama Mbowe?
3. Kama mtu amekaa kwenye kiti anawezaje kuchomwa bisibisi matakoni?