mjeuri zaidi
Member
- Apr 11, 2021
- 17
- 9
Wakuchuuze wewe ili wagundue nini wakati ulishachuuzwa toka unazaliwa?Aandamane mnyika na Lema sisi tunamajukumu ya kufanya. kamwe hatukubali kuchuuzwa!
Usikute hata watoto wako walishakuona chenga kitambo
Wakuchuuze wewe ili wagundue nini wakati ulishachuuzwa toka unazaliwa?Aandamane mnyika na Lema sisi tunamajukumu ya kufanya. kamwe hatukubali kuchuuzwa!
Watu walimdharau sana Mama.., sasa kuna wakati sauti ya mamlaka inatakiwa isikike na asiwepo mwenye kufanya fyoko..!View attachment 1877322
IGP Simon Sirro leo Agosti 2, 2021 akizungumza kukamatwa kwa Mwenyekiti wa CHADEMA Freeman Mbowe
IGP Simon Sirro leo Agost 2,2021 amefanya mkutano na Waandishi wa Habari ambapo amezungumza mbalimbali kuhusu kukamatwa na Mwenyekiti wa Chadema pamoja na vuguvugu la kutaka kufanya maandamano. Akiwa katika mkutano huo SIrro alisema yafuatayo:
“CHADEMA wanaona Mwenyekiti wao (Mbowe) ameonewa na wanasema hawezi kuwa hivyo wanamuona ni Malaika hawezi kufanya kosa”
“Kabla ya Uchaguzi nilisema kuna Watu wamepanga kuhakikisha Uchaguzi haufanyiki, nilisema kuna baadhi ya Watu wamepanga kulipua visima vya mafuta na kufanya mauaji ya Viongozi na nilisema tutawakamata kabla hawajafanya hivyo”
“Tuliwakamata kabla, hayo ya Mwenyekiti wao (Mbowe) sitaki kuzungumzia sana lipo Mahakama ila wajue yeye ni Binadamu kama Binadamu wengine na anaweza kufanya kosa tumempeleka Mahakamani tuache Mahakama itimize wajibu wake”
“Kama kweli ni mkweli Mwenyekiti wao (Mbowe) na anamuamini Mungu waende wamuulize habari hiyo, kuna mambo unaweza kuyafanya kwamba ni siri lakini ndio mana Vyombo vya Habari vipo, niwaombe Watanzania wenzangu usilolijua ni kama usiku wa giza usiingie kwenye mtego ambao hujui aliyeutega ana jambo gani”
“Waende wamuulize huyo Mtu tuliyempeleka Mahakamani (Mbowe) kwamba hili jambo unalijua na kama ni ukweli ana Dini yake na anamjua Yesu Kristo aende aaambiwe, tunamuonea kwa lipi ?, tupate nini?, tuna ushahidi wa kutosha tuache Mahakama iamue, kafanya Yes hakufanya Yes lakini habari ya kikundi cha Watu kusema tunataka kuandamana wewe ni nani Bro!? hiyo nafasi hauna”
Awaonya Wanaotaka kuandamana
“Niwaombe Watanzania tuache wale Watu wachache ambao wanataka kupambana na Serikali wapambane nayo labda wana sababu zake lakini Mtu wenye hekima na busara anielewe, lakini kikubwa kama wameandaa kwenda Canada au Marekani wajiandae ila hatuwezi kuruhusu Watu wachache wavuruge Nchi kwasababu wamekosa madaraka”
“Habari ya kusema mnataka kuandamana mnavunja sheria na ukivunja sheria usilaumu Jeshi, ukivunja sheria umeingia kwenye uhalifu, Sirro hatokuacha na Polisi hawatokuacha na ndio maana wanafanya siasa kwa sababu amani na utulivu upo, Sisi hatufanyi Siasa”
“Niwaombe Watanzania ambao wameambiwa mkusanyike kutoka Mara kutoka wapi sijui na muelewe Mahakamana ni kituo nyeti ni kama Kituo cha Polisi ukitaka kuvamia utakung’utwa kwa mujibu wa sheria sababu umetaka sasa kama kuna Mtu maisha yamemshinda aje ila asije kulalamika, hii kesi iko Mahakamani tuiachie Mahakama iamue”
CCM hamuwezi kujenga hoja, bali mnajenga matumbo tu.Yaani mbona unakuwa biased Sana mkuu. Unadhani ni wangapi wanaosota mahabusu ama wanasingiziwa kesi wakafungwa.
Mbona huwaongelei ama unaona binadamu ni mmoja tu jamani hapa tz.
Usikute hata Kuna ndugu ,rafiki wako wa karibu anasota Ila hujamuongelea Ila huyu .inaonekana labda Kuna kitu alikuwa anakufanya Ila umemisi saivi
Hao mamilion wa kuwekwa gerezani mko wapi Hadi leo?Sirro ufahamu kuwa sisi kama watu wenye akili zetu:
1. Tunajua kuwa mwenyekiti Mbowe mmembambikizia kesi
2. Tuko kwenye nafasi za kujua mnambambikizia kesi
3. Tunajua ni haki yetu kuja mahakamani...
Hao mamilion wa kuwekwa gerezani mko wapi Hadi leo?
Nyumbu hovyo kabisa.
CcThe person you took for granted today, may turn out to be the person you need tomorrow. Be careful how you treat people.
Of course, everybody including his persecutors knows he isn't.The person you took for granted today, may turn out to be the person you need tomorrow. Be careful how you treat people.