IGP Sirro awaonya watakaojaribu kuvuruga uchaguzi wa serikali za mitaa na uchaguzi mkuu wa 2020

johnthebaptist

JF-Expert Member
May 27, 2014
83,867
141,804
Inspekta Jenerali wa polisi Simon Sirro ametoa onyo kali kwa wote watakaojaribu kuvuruga uchaguzi wa serikali za mitaa na uchaguzi mkuu wa 2020.

Kamanda Sirro amesema jeshi lake limejipanga sawasawa kukabiliana na sintofahamu yoyote endapo itajitokeza.

IGP Sirro ameyasema hayo jijini Mwanza wakati anakagua nyumba mpya za askari.

Source ITV habari
 
Inspekta Jenerali wa polisi Simon Sirro ametoa onyo kali kwa wote watakaojaribu kuvuruga uchaguzi wa serikali za mitaa na uchaguzi mkuu wa 2020.

Kamanda Sirro amesema jeshi lake limejipanga sawasawa kukabiliana na sintofahamu yoyote endapo itajitokeza.

IGP Sirro ameyasema hayo jijini Mwanza wakati anakagua nyumba mpya za askari.

Source ITV habari

Kwanini kila siku kuna maonyo? Hivi inawezekana watz hawajawa na ustaarabu kiasi cha kutozingatia mambo ya msingi
 
Duhhh....
Mbona onyo limetoka mapema sana..!!??
Je, ana uhakika gani kama hadi 2020 atakuwepo hapo alipo??
Mbona nikama anaweka neti wakati ndio kwanza bado ni alasiri??
 
Ule mziki kule kibiti mbona ulimshinda hadi akaenda kuomba makomandoo wa jw mbona hakupambana nao
Inspekta Jenerali wa polisi Simon Sirro ametoa onyo kali kwa wote watakaojaribu kuvuruga uchaguzi wa serikali za mitaa na uchaguzi mkuu wa 2020.

Kamanda Sirro amesema jeshi lake limejipanga sawasawa kukabiliana na sintofahamu yoyote endapo itajitokeza.

IGP Sirro ameyasema hayo jijini Mwanza wakati anakagua nyumba mpya za askari.

Source ITV habari
 
Inspekta Jenerali wa polisi Simon Sirro ametoa onyo kali kwa wote watakaojaribu kuvuruga uchaguzi wa serikali za mitaa na uchaguzi mkuu wa 2020.

Kamanda Sirro amesema jeshi lake limejipanga sawasawa kukabiliana na sintofahamu yoyote endapo itajitokeza.

IGP Sirro ameyasema hayo jijini Mwanza wakati anakagua nyumba mpya za askari.

Source ITV habari

Kwa taarifa yake, jeshi lake ni baadhi ya taasisi zilizo changia kunajisi box la kura, na wala asijifanye anatoa mishipa ya shingo maana hamna wapiga kura wa hivyo. Angejitahidi kurudisha imani ya wapiga kura badala ya kuleta mikwara mbuzi huku hamna wapiga kura.
 
Kwanini kila siku kuna maonyo? Hivi inawezekana watz hawajawa na ustaarabu kiasi cha kutozingatia mambo ya msingi

Huyo Sirro anajua fika jeshi lake ndio linatumika kugeuza matokeo ya uchaguzi, hivyo hiyo anaposema mtu atakayevuruga uchaguzi, maana yake ni yule atakayelinda haki yake kuporwa kwa uratibu wa jeshi la polisi. Na uzuri wananchi wengi wanaojitambua hawashiriki tena huo upuuzi.
 
Inspekta Jenerali wa polisi Simon Sirro ametoa onyo kali kwa wote watakaojaribu kuvuruga uchaguzi wa serikali za mitaa na uchaguzi mkuu wa 2020.

Kamanda Sirro amesema jeshi lake limejipanga sawasawa kukabiliana na sintofahamu yoyote endapo itajitokeza.

IGP Sirro ameyasema hayo jijini Mwanza wakati anakagua nyumba mpya za askari.

Source ITV habari
Uchaguzi wafanye wao alafu wauvuruge?
 
Inspekta Jenerali wa polisi Simon Sirro ametoa onyo kali kwa wote watakaojaribu kuvuruga uchaguzi wa serikali za mitaa na uchaguzi mkuu wa 2020.

Kamanda Sirro amesema jeshi lake limejipanga sawasawa kukabiliana na sintofahamu yoyote endapo itajitokeza.

IGP Sirro ameyasema hayo jijini Mwanza wakati anakagua nyumba mpya za askari.

Source ITV habari
Huyu boya yupo? kuna siku huwa anjitutumua
 
Polisi na Wananchi kila mmoja atimize wajubu wake ili uchaguzi uwe huru na wa haki.

Hilo la uchaguzi huru na haki limeshindikana hapa nchini. Namna pekee ni kutumia plan b maana box la kura halitoi tena viongozi wenye uhalali wa umma.
 
Mbona uchaguzi huu unavitisho vingi? Jukumu la polisi ni ulinzi na uchaguzi uko chini ya Serikali za Mitaa.
 
Hilo la uchaguzi huru na haki limeshindikana hapa nchini. Namna pekee ni kutumia plan b maana box la kura halitoi tena viongozi wenye uhalali wa umma.
Hata wabunge wa upinzani walichaguliwa kwenye uchaguzi usio huru na wa haki?!
 
Back
Top Bottom