goggles
JF-Expert Member
- Apr 1, 2017
- 2,417
- 2,356
Atakuwa ni mkurya huyo***** ..ukisikia mtu anasema alizaliwa siku moja atakufa siku moja, basi hapo hata kama umeenda na vifaru we rudi navyo tu..
Atakuwa ni mkurya huyo***** ..ukisikia mtu anasema alizaliwa siku moja atakufa siku moja, basi hapo hata kama umeenda na vifaru we rudi navyo tu..
Boss RUGE... ndio mumewe Zamaradi? Jinga kabisa!
Huyu ni marioo fulloption toka kusiniWapinzani walisema huyo ni Mkuu wa wilaya
Mtu mwenye afya yake chafu anabeba bastola kubwa utafikiria rifleJamaa anaonekana mshamba
Nashangaa kwann hawajampa kichapo pale, bado mshamba wa kutumia bastola
Ova
Bunduki ukimiliki wewe ndio unailinda,yeye kachukua kulindia subaru yake,ushamba unamsumbuaHuyu ni mume wa zamaradi mketema,na mtoto wa dada yake na waziri mku wa nchi hii.hapo hamna kesi funika kombe mwanaharamu apite!! Jamaa huwa ni mpole sana sijuii nini kimemkuta leo......itakuwa dereva alimpushi kwenye edge akawa provoked vya kutosha
Waendesha Subaru wengi ni malimbukeni na wehu,nadhani zile kelele huwa zinawawehushaSubaru+Silaha=1/2 uchizi.
An idiot wewe ni mchele mcheleWapinzani walisema huyo ni Mkuu wa wilaya
Hahah machalii wa Arusha wakisoma post yako watakua wanamaindi kishenzi.Waendesha Subaru wengi ni malimbukeni na wehu,nadhani zile kelele huwa zinawawehusha
AnayetishiwaAnaetishia au anaetishiwa?
Siku hizi hizo subaru hatuzioni kama zamaniHahah machalii wa Arusha wakisoma post yako watakua wanamaindi kishenzi.
Ilifuata janiSubaru wrx kwenye barabara ya vumbi kama hiyo,nishajua ilichofuata huko,huyo jamaa akasote kidogo
huyo dereva lorry ndio atakayenyooshwaHakuna kesi hapo.......
Ova