Yoda
JF-Expert Member
- Jul 22, 2018
- 37,471
- 46,002
Mange ana kesi ya jinai au madai?Pumbavu mbwa mkubwa.
Mange ana kesi ya jinai au madai?Pumbavu mbwa mkubwa.
Mkuu waweza taja tusi moja tu alilomtukana Jiwe?Hii y
Hii ya mange kupiga picha na mh haipo sawa maana alimutukana san jpm nadhani jinai haifutiki
Rugemalira ametolewa ili kumkomoa nani? Tunajua ni rafiki wa Jakaya kwa miaka yote na alimtetea kwamba pesa siyo za serikali.Ili amkomoe Jakaya
Alikuwa mkosoaji wa Magu sio jamhuri,Ya Magu yashapita tunaganga yajayo hatufukui makaburiNi cardinal principle kuwa jinai haina mwisho. Ndio maana hata kama ulitenda jinai baada ya miaka 20 ukikamatwa wanaanza na wewe.
Mange alitukana na kukashifu serikali. Igp Sirro akasema lazima amkamate kwa vyovyote vile. Sasa hii ya Mange kupiga picha na rais akiwa Usa si kumkatisha tamaa chief arresting officer wa Tanzania?
Huyo siyo kamanda wa CHADEMA, ni chawa wa kawaida tu wa hapo Lumumba!Kamanda umesahau Da' Mange alivyowasapoti!? Mkamuunga mkono. Akiguswa mnatukana...akaja Kigogo 14. Kumbe ipo siku Lissu pia mtamsaliti na kutaka afungwe kwa kutoa taarifa za uongo kuwa Rais 'yupo mateka' na Majaliwa ndio anaongoza nchi.
Jina ukomo wake Ni miaka 28. Baada ya hapo unaweza kwenda hata ikulu kunywa chai na mzee wa remote.Namnukuu Kamnada Siro
"Nasema Hivi Jinai huwa haiishi kwa hiyo usijidanganye leo ukadhani ipo siku jinai uliyotenda leo itaisha sahau nakueleza"