IGP Sirro alikuwa sahihi kutangaza mbinu za ufuatiliaji wa mafunzo ya Madrasa na Sunday School?

IMPUT ya Mzee wa Upako inahitajika pia katika kutekeleza au kutokutekeleza hili. Tafadhali naomba sana wahakikishe kuwa wamemshirikisha kutoa mawazo yake
 
Wakurungwa Kumekucha

Kimsingi Mimi Sidhani kama ilikuwa ni busara IGP Sirro kutangaza adharani nia ya kufatilia mafunzo yanayo endelea misikitini na manisani.

Let say kweli baadhi wanafundisha uovu kwa watoto, je wataendelea kufundisha wakati mumewastua!?

Polisi Mnafanya watu kubuni mbinu mpya kwa kutangaza mikakati yenu mapema.

IGP Sirro Hakuwa Sahihi Kabisa.
Ongezea hii. Ina maana siku zoote hizo, hakukua na uchunguzi wowote kwenye shughuli hizi za kidini? Wapi nafasi ya usalama wa taifa?
 
Let say kweli baadhi wanafundisha uovu kwa watoto, je wataendelea kufundisha wakati mumewastua!?
Sasa wewe huoni kuwa IGP tayari ameshamaliza tatizo kwa kuongea tu na pasipo hata kutumia lita moja ya mafuta ya Petroli? Badala ya kumsifu unamponda tena?
 
Back
Top Bottom