Man Mvua
JF-Expert Member
- Apr 12, 2016
- 2,184
- 3,517
Amani iwe nanyi
Hii hali kwamba ndugu yako akituhumiwa kwa uharifu wowote kisha kukamatwa kwenye mchakato wa dhamani inaleta tabu sana kwa wananchi wanyonge na walalahoi kwamba ndugu yako kutoka ni mpaka utoe RUSHWA yaani ile kuingia bure kutoka hela bado inaendelea mpaka kipindi hiki cha Magufuli.
Tunaomba mamlaka husika komesheni hii hali kama mtuhumiwa anastaili bail basi apewe Mara moja na sio kumlaza ndani mpaka mpewe hela ndio mumtoe.
Mwezi wa kwanza ndugu yangu alikamatwa kwa kupigana na kujeruhi dhamana ilikuwa issue kubwa mpaka nilipo amua kutoa RUSHWA ndio ikakubaliwa ( kituo cha Polisi Msimbazi ).
Kituo cha polisi Msimbazi Dar es salaam na vituo Vyote vya Polisi embu badilikeni bana mnatia kinyaa sana.
CC
Waziri Simbachawene
IGP Simon Sirro
Kamanda Mambosasa.
Hii hali kwamba ndugu yako akituhumiwa kwa uharifu wowote kisha kukamatwa kwenye mchakato wa dhamani inaleta tabu sana kwa wananchi wanyonge na walalahoi kwamba ndugu yako kutoka ni mpaka utoe RUSHWA yaani ile kuingia bure kutoka hela bado inaendelea mpaka kipindi hiki cha Magufuli.
Tunaomba mamlaka husika komesheni hii hali kama mtuhumiwa anastaili bail basi apewe Mara moja na sio kumlaza ndani mpaka mpewe hela ndio mumtoe.
Mwezi wa kwanza ndugu yangu alikamatwa kwa kupigana na kujeruhi dhamana ilikuwa issue kubwa mpaka nilipo amua kutoa RUSHWA ndio ikakubaliwa ( kituo cha Polisi Msimbazi ).
Kituo cha polisi Msimbazi Dar es salaam na vituo Vyote vya Polisi embu badilikeni bana mnatia kinyaa sana.
CC
Waziri Simbachawene
IGP Simon Sirro
Kamanda Mambosasa.