IGP Simon Sirro umepewa taarifa yaliyotokea Kijiji cha Kimange leo

falcon mombasa

JF-Expert Member
Mar 5, 2015
9,158
9,239
Habari

Uzee na wingi wa majukumu unatufanya tusiwe na muda sana kushiriki mijadala humu.

Well kwanza nianze kusema mimi ni mdau sekta ya usafirishaji.

Thread yangu hii sio kwa lengo la kumsemea mtu au kuingilia mjukumu ya watu.

Kamanda Sirro kilichotokea Jana saa nane usiku ni uvamizi wa magari yaliyokuwa yanatumia njia hii ya kaskazini katika Kijiji cha kimange.

Sitaki kuandika mambo meeengi ila tunaosafiri usiku kipindi hiki cha sikukuu tujitahidi sana kuchukua tahadhali.

Pia naomba jeshi la polis liboreshe doria zagafla gafla katika njia zote zenye historia ya uhalifu pamoja na iguguno shamba na eneo zima la mkoa wa singida bado ni changamoto sana.

Usiku mwema
 
Eneo zima la mkoa wa Singida si salama kivipi? Ni kwa usafiri wa usiku au mchana? au muda wote? Ina maana barabara kuu zote kutoka Dodoma kwenda Mwanza na kutoka Arusha kwenda Mwanza au Dodoma kwenda Tabora kupitia Itigi?,au ni Singida kwenda Mbeya kupitia Rungwa? Yaani njia zote za Singida si salama? Habari inajumuisha Singida yote si salama,labda eneo lililotajwa la Iguguno, si Singida yote
 
Eneo zima la mkoa wa Singida si salama kivipi? Ni kwa usafiri wa usiku au mchana? au muda wote? Ina maana barabara kuu zote kutoka Dodoma kwenda Mwanza na kutoka Arusha kwenda Mwanza au Dodoma kwenda Tabora kupitia Itigi?,au ni Singida kwenda Mbeya kupitia Rungwa? Yaani njia zote za Singida si salama? Habari inajumuisha Singida yote si salama,labda eneo lililotajwa la Iguguno, si Singida yote
Bado sijakupa vema,yaani unamaanisha kwamba hakuna usalama kwa maeneo uliyataja au unakataa!?
 
Habari

Uzee na wingi wa majukumu unatufanya tusiwe na muda sana kushiriki mijadala humu.

Well kwanza nianze kusema mimi ni mdau sekta ya usafirishaji

Thread yangu hii sio kwa lengo la kumsemea mtu au kuingilia mjukumu ya watu

Kamanda Sirro kilichotokea Jana saa nane usiku ni uvamizi wa magari yaliyokuwa yanatumia njia hii ya kaskazini katika Kijiji cha kimange.

Sitaki kuandika mambo meeengi ila tunaosafiri usiku kipindi hiki cha sikukuu tujitahidi sana kuchukua tahadhali

Pia naomba jeshi la polis liboreshe doria zagafla gafla katika njia zote zenye historia ya uhalifu pamoja na iguguno shamba na eneo zima la mkoa wa singida bado ni changamoto sana.


Usiku mwema
Hiii kimange si ipo njia ya kuelekea Tanga kutoka Pwani, Dar es salaam ama mbona kuna mambo ya Singida tena
 
Habari

Uzee na wingi wa majukumu unatufanya tusiwe na muda sana kushiriki mijadala humu.

Well kwanza nianze kusema mimi ni mdau sekta ya usafirishaji

Thread yangu hii sio kwa lengo la kumsemea mtu au kuingilia mjukumu ya watu

Kamanda Sirro kilichotokea Jana saa nane usiku ni uvamizi wa magari yaliyokuwa yanatumia njia hii ya kaskazini katika Kijiji cha kimange.

Sitaki kuandika mambo meeengi ila tunaosafiri usiku kipindi hiki cha sikukuu tujitahidi sana kuchukua tahadhali

Pia naomba jeshi la polis liboreshe doria zagafla gafla katika njia zote zenye historia ya uhalifu pamoja na iguguno shamba na eneo zima la mkoa wa singida bado ni changamoto sana.


Usiku mwema
Hujaeleweka kabisa
 
Habari

Uzee na wingi wa majukumu unatufanya tusiwe na muda sana kushiriki mijadala humu.

Well kwanza nianze kusema mimi ni mdau sekta ya usafirishaji

Thread yangu hii sio kwa lengo la kumsemea mtu au kuingilia mjukumu ya watu

Kamanda Sirro kilichotokea Jana saa nane usiku ni uvamizi wa magari yaliyokuwa yanatumia njia hii ya kaskazini katika Kijiji cha kimange.

Sitaki kuandika mambo meeengi ila tunaosafiri usiku kipindi hiki cha sikukuu tujitahidi sana kuchukua tahadhali

Pia naomba jeshi la polis liboreshe doria zagafla gafla katika njia zote zenye historia ya uhalifu pamoja na iguguno shamba na eneo zima la mkoa wa singida bado ni changamoto sana.


Usiku mwema
Pole sana hapo mahali kunavijiji viwili yaani kimange na kwamakocho,hivi vijiji ni tatizo Sana kwa uhalifu.Sijui kwakua hujaweka wazi ilikuaje lakini mwaka huu mwezi wa nane pia maeneo hayo waliweka magogo njia kuu ya kwenda arusha wakazuia magari wakafanya uhalifu mkubwa kwenye magari.

Kimsingi polisi wa maeneo yao wamechemka kabisa.
 
Pole sana hapo mahali kunavijiji viwili yaani kimange na kwamakocho,hivi vijiji ni tatizo Sana kwa uhalifu.Sijui kwakua hujaweka wazi ilikuaje lakini mwaka huu mwezi wa nane pia maeneo hayo waliweka magogo njia kuu ya kwenda arusha wakazuia magari wakafanya uhalifu mkubwa kwenye magari.
Kimsingi polisi wa maeneo yao wamechemka kabisa.
Watakuwa wanalelewa na serikali ya CCM na si vinginevyo.
 
Pole sana hapo mahali kunavijiji viwili yaani kimange na kwamakocho,hivi vijiji ni tatizo Sana kwa uhalifu.Sijui kwakua hujaweka wazi ilikuaje lakini mwaka huu mwezi wa nane pia maeneo hayo waliweka magogo njia kuu ya kwenda arusha wakazuia magari wakafanya uhalifu mkubwa kwenye magari.
Kimsingi polisi wa maeneo yao wamechemka kabisa.
Nimeogopa kuandika kila kitu waziwazi kutokana na Sheria za nchi hii kwa sasa
 
Pole sana hapo mahali kunavijiji viwili yaani kimange na kwamakocho,hivi vijiji ni tatizo Sana kwa uhalifu.Sijui kwakua hujaweka wazi ilikuaje lakini mwaka huu mwezi wa nane pia maeneo hayo waliweka magogo njia kuu ya kwenda arusha wakazuia magari wakafanya uhalifu mkubwa kwenye magari.
Kimsingi polisi wa maeneo yao wamechemka kabisa.
Nimeogopa kuandika kila kitu waziwazi kutokana na Sheria za nchi hii kwa sasa
 

Similar Discussions

7 Reactions
Reply
Back
Top Bottom