Mwanahabari Huru
JF-Expert Member
- Mar 9, 2015
- 14,243
- 34,899
Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini, IGP Simon Sirro, atazungumza na WAANDISHI WA HABARI siku ya Ijumaa, Oktoba 19, 2018 Saa 4:00 Kamili asubuhi, kwenye ukumbi wa mikutano Makao Makuu ya Polisi jijini Dar es Salaam.
Waandishi na Wapiga Picha wa Vyombo vya Habari Mnakaribishwa.
Asante
Waandishi na Wapiga Picha wa Vyombo vya Habari Mnakaribishwa.
Asante