IGP Simon Sirro arejea toka Rwanda, ziara ya kikazi imegundua mengi kuhusu Tanzania

Kuchambua maneno ni kuficha uhalisia..yote hayo yanafanana hata kama hayafanani,ni ukorofi wa watu fulani au imani fulani dhidi ya wengine huku wakichanganya kubeba mali,au mamlaka ya nchi,au kuchota watu wengi ktk imani yao kwa manufaa ya sadaka au mamlaka ziongezeke za kidunia dhidi ya walioshinda, yako mambo mengi...hapa Mwanza tulikuaga tunaona msikiti fulani,vitoto vidogo baada ya darasa la madrasa vinatolewa nje pale vinajipanga kwenye safu vinafundishwa mapigano/karate....sasa mtoto ukimjenga kwa namna hiyo na umleavyo ndivyo akuavyo itatokea nini baadae?
Wewe hujui ugaidi bado ... mwenye maana ya ugaidi ni malekani .. wengine mnafata mkumbo tu
 
😄😄😄 Janja ya nyani mkuu,ukiangalia SA hivi na mkuu mwenyewe Ni muislam inabd apige Kona ndeeefu.
Ila huu ugaidi wanao utaja utaja uta athiri hata uchumi na wana attract vitu ambavyo havikuwepo swala la mda tu.. tutaanza kaa wengine kona bar kwa mashaka mashaka
 

10 September 2021​

IGP SIRRO AFUNGUKA KUHUSU UGAIDI, ATAJA ALIYOYAKUTA RWANDA "KIKOSI MAALUM, VYUONI, MADRASA"



Baada ya Inspector General of Police (IGP) Dan Munyuza wa Rwanda kukutana na IGP Simon Sirro wamefanya mapitio ya taarifa za kiintelejensia zilizokusanywa kuhusu makosa yanayovuka mipaka ya nchi kama vile madawa ya kulevya, biashara haramu ya kusafirisha binadamu, silaha pia ugaidi kufuatia operesheni ya majeshi ya Rwanda na Tanzania katika jimbo la Cabo Delgado nchini Mozambique.

Operesheni ya hiyo imewezesha kupata taarifa za nyingi za kiintelejensia za watu mbalimbali wanaojihusisha na ugaidi katika jimbo la kaskazini la Mozambique la Cabo Delgado lakini wanatokea sehemu mbalimbali za Tanzania na Rwanda pamoja na nchi zingine.

Mkuu wa Jeshi la Polisi Tanzania, IGP Simon Sirro amesema kufuatia ugunduzi huo watawashirikisha viongozi wa Kidini kwa ajili ya kupitia mafunzo ya Dini wanayofundishwa watoto kuanzia Chekechea, Sunday schools, Madrasa, Shule za Sekondari hadi Vyuoni kuonana pia na maaskofu na masheikh ili Kudhibiti vichocheo vya Ugaidi. Vyombo hivyo vya usalama vitataka kujua Je mafunzo wanayotoa viongozi wa dini kwa watoto na vijana ni kwa ajili ya kujenga utaifa na uzalendo au ni kwa ajili ya kubomoa taifa.

IGP Simon Sirro ametoa rai kwa wazazi, walezi wa watoto na vijana pia bila kusahau watu wenye wenzi wao, marafiki na majirani kutoa taarifa Polisi wanapoona kuna vitendo visivyo vya kawaida katika jamii zao ili vyombo vya usalama viweze kudhibiti matukio yanayoweza kuvuruga usalama wa nchi.

IGP Sirro ameyasema hayo leo katika uwanja Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere mara baada ya kumaliza ziara ya kikazi nchini Malawi ambapo amesema katika nchi hiyo kuna kikosi maalum cha kufuatilia maeneo hayo ya Elimu.

10 September 2021​

Kigali, Rwanda

Rwanda, Tanzania police forces hold bilateral talks​


Rwanda National Police (RNP) and Tanzania Police Force (TPF) held a bilateral meeting in Kigali, on Tuesday, September 7, which mainly focused on strengthening cooperation against cross-border crimes especially terrorism.

The bilateral meeting held at the RNP General Headquarters in Kacyiru was co-chaired by Inspector General of Police (IGP) Dan Munyuza and his counterpart of Tanzania, Gen. Simon Nyakoro Sirro.

Sirro and his delegation are in Rwanda since Monday for a four-day visit aimed at further strengthening ties between the two friendly Police institutions.

The meeting followed another one held in Tanzania in May.

While speaking during the bilateral meeting, Munyuza thanked his counterpart for honouring the invitation, which he described as a “sign of mutual trust and existing friendship between our two countries.”

He commended the existing cooperation framework especially in information flow on terror activities in the region and particularly in Cabo Delgado, Mozambique, which lies on the border with Tanzania in the south.

“During the course of the operations against terrorists in Cabo Delgado, in which forces of our two countries are involved, we have collected information on ground, either from captured terrorists or those killed in action, which we have been sharing with you as we endeavour to devise strategies to secure our region against violent terrorists that continue to kill innocent people in our region and make thousands homeless and refugees in their own countries,” Munyuza said.

As the terrorists continue to lose ground in Mozambique, Munyuza said, there is need to carefully establish networks in the region and share timely information on their next course of action.

“More than ever before, we need to work together to update our approaches, especially in controlling our borders against movement of radical Muslims and be able to detect movement of likely terror materials in our region. Terrorists fleeing from their hideouts in Mozambique may infiltrate our borders and establish cells in our countries or in neighbouring countries” Munyuza said.

This struggle against terrorism, he said, should be at the top of the agenda for the Eastern Africa Police Chiefs Cooperation Organization (EAPCCO) to simplify operational information exchange and conduct joint operations against terrorists to address and avoid the gap between terrorist threat and the collective response to defeat terrorists.

Tanzania is the current chair of the 14-member regional bloc.
Munyuza reiterated Rwanda National Police commitment and closer cooperation with Tanzania Police Force and the region in combatting other cross-border and transnational crimes.

On his part, IGP Sirro said: “We have a challenge of terrorism; it is high time we deal with it. We must always be alert. Whenever we get information from Rwanda, we immediately act on it. I can assure you that through the information from Rwanda, we have managed to arrest many suspects.”

The bilateral meeting is in line with the Memorandum of Understanding signed between Rwanda National Police (RNP) and Tanzania Police Force (TPF) in 2012 to cooperate and collaborate in security related matters, including joint exercises, operations, training and timely exchange of security information.
Source : Rwanda, Tanzania police forces hold bilateral talks

Nchi ina vituko sana ,badala angeenda, Marekani anaenda nchi takataka Kama Rwanda ,
 

10 September 2021​

IGP SIRRO AFUNGUKA KUHUSU UGAIDI, ATAJA ALIYOYAKUTA RWANDA "KIKOSI MAALUM, VYUONI, MADRASA"



Baada ya Inspector General of Police (IGP) Dan Munyuza wa Rwanda kukutana na IGP Simon Sirro wamefanya mapitio ya taarifa za kiintelejensia zilizokusanywa kuhusu makosa yanayovuka mipaka ya nchi kama vile madawa ya kulevya, biashara haramu ya kusafirisha binadamu, silaha pia ugaidi kufuatia operesheni ya majeshi ya Rwanda na Tanzania katika jimbo la Cabo Delgado nchini Mozambique.

Operesheni ya hiyo imewezesha kupata taarifa za nyingi za kiintelejensia za watu mbalimbali wanaojihusisha na ugaidi katika jimbo la kaskazini la Mozambique la Cabo Delgado lakini wanatokea sehemu mbalimbali za Tanzania na Rwanda pamoja na nchi zingine.

Mkuu wa Jeshi la Polisi Tanzania, IGP Simon Sirro amesema kufuatia ugunduzi huo watawashirikisha viongozi wa Kidini kwa ajili ya kupitia mafunzo ya Dini wanayofundishwa watoto kuanzia Chekechea, Sunday schools, Madrasa, Shule za Sekondari hadi Vyuoni kuonana pia na maaskofu na masheikh ili Kudhibiti vichocheo vya Ugaidi. Vyombo hivyo vya usalama vitataka kujua Je mafunzo wanayotoa viongozi wa dini kwa watoto na vijana ni kwa ajili ya kujenga utaifa na uzalendo au ni kwa ajili ya kubomoa taifa.

IGP Simon Sirro ametoa rai kwa wazazi, walezi wa watoto na vijana pia bila kusahau watu wenye wenzi wao, marafiki na majirani kutoa taarifa Polisi wanapoona kuna vitendo visivyo vya kawaida katika jamii zao ili vyombo vya usalama viweze kudhibiti matukio yanayoweza kuvuruga usalama wa nchi.

IGP Sirro ameyasema hayo leo katika uwanja Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere mara baada ya kumaliza ziara ya kikazi nchini Malawi ambapo amesema katika nchi hiyo kuna kikosi maalum cha kufuatilia maeneo hayo ya Elimu.

10 September 2021​

Kigali, Rwanda

Rwanda, Tanzania police forces hold bilateral talks​


Rwanda National Police (RNP) and Tanzania Police Force (TPF) held a bilateral meeting in Kigali, on Tuesday, September 7, which mainly focused on strengthening cooperation against cross-border crimes especially terrorism.

The bilateral meeting held at the RNP General Headquarters in Kacyiru was co-chaired by Inspector General of Police (IGP) Dan Munyuza and his counterpart of Tanzania, Gen. Simon Nyakoro Sirro.

Sirro and his delegation are in Rwanda since Monday for a four-day visit aimed at further strengthening ties between the two friendly Police institutions.

The meeting followed another one held in Tanzania in May.

While speaking during the bilateral meeting, Munyuza thanked his counterpart for honouring the invitation, which he described as a “sign of mutual trust and existing friendship between our two countries.”

He commended the existing cooperation framework especially in information flow on terror activities in the region and particularly in Cabo Delgado, Mozambique, which lies on the border with Tanzania in the south.

“During the course of the operations against terrorists in Cabo Delgado, in which forces of our two countries are involved, we have collected information on ground, either from captured terrorists or those killed in action, which we have been sharing with you as we endeavour to devise strategies to secure our region against violent terrorists that continue to kill innocent people in our region and make thousands homeless and refugees in their own countries,” Munyuza said.

As the terrorists continue to lose ground in Mozambique, Munyuza said, there is need to carefully establish networks in the region and share timely information on their next course of action.

“More than ever before, we need to work together to update our approaches, especially in controlling our borders against movement of radical Muslims and be able to detect movement of likely terror materials in our region. Terrorists fleeing from their hideouts in Mozambique may infiltrate our borders and establish cells in our countries or in neighbouring countries” Munyuza said.

This struggle against terrorism, he said, should be at the top of the agenda for the Eastern Africa Police Chiefs Cooperation Organization (EAPCCO) to simplify operational information exchange and conduct joint operations against terrorists to address and avoid the gap between terrorist threat and the collective response to defeat terrorists.

Tanzania is the current chair of the 14-member regional bloc.
Munyuza reiterated Rwanda National Police commitment and closer cooperation with Tanzania Police Force and the region in combatting other cross-border and transnational crimes.

On his part, IGP Sirro said: “We have a challenge of terrorism; it is high time we deal with it. We must always be alert. Whenever we get information from Rwanda, we immediately act on it. I can assure you that through the information from Rwanda, we have managed to arrest many suspects.”

The bilateral meeting is in line with the Memorandum of Understanding signed between Rwanda National Police (RNP) and Tanzania Police Force (TPF) in 2012 to cooperate and collaborate in security related matters, including joint exercises, operations, training and timely exchange of security information.
Source : Rwanda, Tanzania police forces hold bilateral talks

Ugaidi huu msamiati unakuwa kwa kasi sana
 

10 September 2021​

IGP SIRRO AFUNGUKA KUHUSU UGAIDI, ATAJA ALIYOYAKUTA RWANDA "KIKOSI MAALUM, VYUONI, MADRASA"



Baada ya Inspector General of Police (IGP) Dan Munyuza wa Rwanda kukutana na IGP Simon Sirro wamefanya mapitio ya taarifa za kiintelejensia zilizokusanywa kuhusu makosa yanayovuka mipaka ya nchi kama vile madawa ya kulevya, biashara haramu ya kusafirisha binadamu, silaha pia ugaidi kufuatia operesheni ya majeshi ya Rwanda na Tanzania katika jimbo la Cabo Delgado nchini Mozambique.

Operesheni ya hiyo imewezesha kupata taarifa za nyingi za kiintelejensia za watu mbalimbali wanaojihusisha na ugaidi katika jimbo la kaskazini la Mozambique la Cabo Delgado lakini wanatokea sehemu mbalimbali za Tanzania na Rwanda pamoja na nchi zingine.

Mkuu wa Jeshi la Polisi Tanzania, IGP Simon Sirro amesema kufuatia ugunduzi huo watawashirikisha viongozi wa Kidini kwa ajili ya kupitia mafunzo ya Dini wanayofundishwa watoto kuanzia Chekechea, Sunday schools, Madrasa, Shule za Sekondari hadi Vyuoni kuonana pia na maaskofu na masheikh ili Kudhibiti vichocheo vya Ugaidi. Vyombo hivyo vya usalama vitataka kujua Je mafunzo wanayotoa viongozi wa dini kwa watoto na vijana ni kwa ajili ya kujenga utaifa na uzalendo au ni kwa ajili ya kubomoa taifa.

IGP Simon Sirro ametoa rai kwa wazazi, walezi wa watoto na vijana pia bila kusahau watu wenye wenzi wao, marafiki na majirani kutoa taarifa Polisi wanapoona kuna vitendo visivyo vya kawaida katika jamii zao ili vyombo vya usalama viweze kudhibiti matukio yanayoweza kuvuruga usalama wa nchi.

IGP Sirro ameyasema hayo leo katika uwanja Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere mara baada ya kumaliza ziara ya kikazi nchini Malawi ambapo amesema katika nchi hiyo kuna kikosi maalum cha kufuatilia maeneo hayo ya Elimu.

10 September 2021​

Kigali, Rwanda

Rwanda, Tanzania police forces hold bilateral talks​


Rwanda National Police (RNP) and Tanzania Police Force (TPF) held a bilateral meeting in Kigali, on Tuesday, September 7, which mainly focused on strengthening cooperation against cross-border crimes especially terrorism.

The bilateral meeting held at the RNP General Headquarters in Kacyiru was co-chaired by Inspector General of Police (IGP) Dan Munyuza and his counterpart of Tanzania, Gen. Simon Nyakoro Sirro.

Sirro and his delegation are in Rwanda since Monday for a four-day visit aimed at further strengthening ties between the two friendly Police institutions.

The meeting followed another one held in Tanzania in May.

While speaking during the bilateral meeting, Munyuza thanked his counterpart for honouring the invitation, which he described as a “sign of mutual trust and existing friendship between our two countries.”

He commended the existing cooperation framework especially in information flow on terror activities in the region and particularly in Cabo Delgado, Mozambique, which lies on the border with Tanzania in the south.

“During the course of the operations against terrorists in Cabo Delgado, in which forces of our two countries are involved, we have collected information on ground, either from captured terrorists or those killed in action, which we have been sharing with you as we endeavour to devise strategies to secure our region against violent terrorists that continue to kill innocent people in our region and make thousands homeless and refugees in their own countries,” Munyuza said.

As the terrorists continue to lose ground in Mozambique, Munyuza said, there is need to carefully establish networks in the region and share timely information on their next course of action.

“More than ever before, we need to work together to update our approaches, especially in controlling our borders against movement of radical Muslims and be able to detect movement of likely terror materials in our region. Terrorists fleeing from their hideouts in Mozambique may infiltrate our borders and establish cells in our countries or in neighbouring countries” Munyuza said.

This struggle against terrorism, he said, should be at the top of the agenda for the Eastern Africa Police Chiefs Cooperation Organization (EAPCCO) to simplify operational information exchange and conduct joint operations against terrorists to address and avoid the gap between terrorist threat and the collective response to defeat terrorists.

Tanzania is the current chair of the 14-member regional bloc.
Munyuza reiterated Rwanda National Police commitment and closer cooperation with Tanzania Police Force and the region in combatting other cross-border and transnational crimes.

On his part, IGP Sirro said: “We have a challenge of terrorism; it is high time we deal with it. We must always be alert. Whenever we get information from Rwanda, we immediately act on it. I can assure you that through the information from Rwanda, we have managed to arrest many suspects.”

The bilateral meeting is in line with the Memorandum of Understanding signed between Rwanda National Police (RNP) and Tanzania Police Force (TPF) in 2012 to cooperate and collaborate in security related matters, including joint exercises, operations, training and timely exchange of security information.
Source : Rwanda, Tanzania police forces hold bilateral talks
Hopeless kabisa!

Anataka kujua mafunzo yanayotolewa na viongozi wa dini badala kwanza kutathimini mafunzo yanayotolewa kwa askari wake ambayo huwafanya askari kuonekana kama majambazi dhidi ya raia badala ya kuwa walinzi wa amani wa raia na mali zao!
 
Hakuna kitu kweli kuna kitu wanakipika.....ugaidi upo zaidi miaka 30 walikuwa wapi kubadilishana uzpefu majirani miaka yote wanafanya hivyo pia interpol ipo leo ndio aje story za kupika hizo.....hakuna kitu hapo siasa tu hizo
Usijifanye kila jambo unalijua kwa sababu unakasimu kako ka kupyatila halafu unakula ugali wa bure , acheni jeshi la Polisi lifanye kazi yake, usilolijua ni sawa na usiku wa giza .
 
Mimi nilichoona hapa IGP wa TZ amekwenda kuelekezwa na IGP wa Rwanda namna ya kukabiliana na ugaidi wa Nchi jirani yake ya Msumbiji. Akili nyingi inamuongoza akili ndogo.
Jashi la polisi na ulinzi wa mipaka ya nchi wapi na wapi? Jeshi la polisi kazi yake ni kuongoza magari barabarani (traffic police) kulinda mabenki, doria mtaani, kuzima moto incase of fire, kuzima fujo ndogondogo mtaani, kulinda wafungwa. Baas!
 

10 September 2021​

IGP SIRRO AFUNGUKA KUHUSU UGAIDI, ATAJA ALIYOYAKUTA RWANDA "KIKOSI MAALUM, VYUONI, MADRASA"



Baada ya Inspector General of Police (IGP) Dan Munyuza wa Rwanda kukutana na IGP Simon Sirro wamefanya mapitio ya taarifa za kiintelejensia zilizokusanywa kuhusu makosa yanayovuka mipaka ya nchi kama vile madawa ya kulevya, biashara haramu ya kusafirisha binadamu, silaha pia ugaidi kufuatia operesheni ya majeshi ya Rwanda na Tanzania katika jimbo la Cabo Delgado nchini Mozambique.

Operesheni ya hiyo imewezesha kupata taarifa za nyingi za kiintelejensia za watu mbalimbali wanaojihusisha na ugaidi katika jimbo la kaskazini la Mozambique la Cabo Delgado lakini wanatokea sehemu mbalimbali za Tanzania na Rwanda pamoja na nchi zingine.

Mkuu wa Jeshi la Polisi Tanzania, IGP Simon Sirro amesema kufuatia ugunduzi huo watawashirikisha viongozi wa Kidini kwa ajili ya kupitia mafunzo ya Dini wanayofundishwa watoto kuanzia Chekechea, Sunday schools, Madrasa, Shule za Sekondari hadi Vyuoni kuonana pia na maaskofu na masheikh ili Kudhibiti vichocheo vya Ugaidi. Vyombo hivyo vya usalama vitataka kujua Je mafunzo wanayotoa viongozi wa dini kwa watoto na vijana ni kwa ajili ya kujenga utaifa na uzalendo au ni kwa ajili ya kubomoa taifa.

IGP Simon Sirro ametoa rai kwa wazazi, walezi wa watoto na vijana pia bila kusahau watu wenye wenzi wao, marafiki na majirani kutoa taarifa Polisi wanapoona kuna vitendo visivyo vya kawaida katika jamii zao ili vyombo vya usalama viweze kudhibiti matukio yanayoweza kuvuruga usalama wa nchi.

IGP Sirro ameyasema hayo leo katika uwanja Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere mara baada ya kumaliza ziara ya kikazi nchini Malawi ambapo amesema katika nchi hiyo kuna kikosi maalum cha kufuatilia maeneo hayo ya Elimu.

10 September 2021​

Kigali, Rwanda

Rwanda, Tanzania police forces hold bilateral talks​


Rwanda National Police (RNP) and Tanzania Police Force (TPF) held a bilateral meeting in Kigali, on Tuesday, September 7, which mainly focused on strengthening cooperation against cross-border crimes especially terrorism.

The bilateral meeting held at the RNP General Headquarters in Kacyiru was co-chaired by Inspector General of Police (IGP) Dan Munyuza and his counterpart of Tanzania, Gen. Simon Nyakoro Sirro.

Sirro and his delegation are in Rwanda since Monday for a four-day visit aimed at further strengthening ties between the two friendly Police institutions.

The meeting followed another one held in Tanzania in May.

While speaking during the bilateral meeting, Munyuza thanked his counterpart for honouring the invitation, which he described as a “sign of mutual trust and existing friendship between our two countries.”

He commended the existing cooperation framework especially in information flow on terror activities in the region and particularly in Cabo Delgado, Mozambique, which lies on the border with Tanzania in the south.

“During the course of the operations against terrorists in Cabo Delgado, in which forces of our two countries are involved, we have collected information on ground, either from captured terrorists or those killed in action, which we have been sharing with you as we endeavour to devise strategies to secure our region against violent terrorists that continue to kill innocent people in our region and make thousands homeless and refugees in their own countries,” Munyuza said.

As the terrorists continue to lose ground in Mozambique, Munyuza said, there is need to carefully establish networks in the region and share timely information on their next course of action.

“More than ever before, we need to work together to update our approaches, especially in controlling our borders against movement of radical Muslims and be able to detect movement of likely terror materials in our region. Terrorists fleeing from their hideouts in Mozambique may infiltrate our borders and establish cells in our countries or in neighbouring countries” Munyuza said.

This struggle against terrorism, he said, should be at the top of the agenda for the Eastern Africa Police Chiefs Cooperation Organization (EAPCCO) to simplify operational information exchange and conduct joint operations against terrorists to address and avoid the gap between terrorist threat and the collective response to defeat terrorists.

Tanzania is the current chair of the 14-member regional bloc.
Munyuza reiterated Rwanda National Police commitment and closer cooperation with Tanzania Police Force and the region in combatting other cross-border and transnational crimes.

On his part, IGP Sirro said: “We have a challenge of terrorism; it is high time we deal with it. We must always be alert. Whenever we get information from Rwanda, we immediately act on it. I can assure you that through the information from Rwanda, we have managed to arrest many suspects.”

The bilateral meeting is in line with the Memorandum of Understanding signed between Rwanda National Police (RNP) and Tanzania Police Force (TPF) in 2012 to cooperate and collaborate in security related matters, including joint exercises, operations, training and timely exchange of security information.
Source : Rwanda, Tanzania police forces hold bilateral talks

Amegundua mengi inamaana hayo yaliyogunduliwa hayakuwemo kwenye MOU?
 
Ugaidi ni neno pana . Ugaidi si sawa na uasi .. Twende kwenye chimbuko la neno Ugaidi kwanza ndio ujue kuna kitu kinalengwa au wanakitaka
Mama anahangaika kutangaza utalii lakini IGP anatangaza ugaidi, watawapata wapi watalii? Duniani kote wamejua Tanzania kuna magaidi Nchi si salama wageni watagoma kuja
 
Kuchambua maneno ni kuficha uhalisia..yote hayo yanafanana hata kama hayafanani,ni ukorofi wa watu fulani au imani fulani dhidi ya wengine huku wakichanganya kubeba mali,au mamlaka ya nchi,au kuchota watu wengi ktk imani yao kwa manufaa ya sadaka au mamlaka ziongezeke za kidunia dhidi ya walioshinda, yako mambo mengi...hapa Mwanza tulikuaga tunaona msikiti fulani,vitoto vidogo baada ya darasa la madrasa vinatolewa nje pale vinajipanga kwenye safu vinafundishwa mapigano/karate....sasa mtoto ukimjenga kwa namna hiyo na umleavyo ndivyo akuavyo itatokea nini baadae?
Wananchi wanataka uhuru wa kuabudu wanataka uhuru wa kisiasa Polisiccm waache kukumbatia CCM kukandamiza demokrasia
 
Ila huu ugaidi wanao utaja utaja uta athiri hata uchumi na wana attract vitu ambavyo havikuwepo swala la mda tu.. tutaanza kaa wengine kona bar kwa mashaka mashaka
Tayari watalii wameanza kuogopa kuja Tanzania baada ya Polisiccm kuwatangazia kuwa kuna ugaidi mpigie simu seleman 0715132277 au 0787132277 seleman akupe picha zote za mambo ya ndani
 
Tayari watalii wameanza kuogopa kuja Tanzania baada ya Polisiccm kuwatangazia kuwa kuna ugaidi mpigie simu seleman 0715132277 au 0787132277 seleman akupe picha zote za mambo ya ndani
Mbona unanitafutia shida mkuu wangu, unaweza piga nikawa gaidi 🥲🥲
 
Mama anahangaika kutangaza utalii lakini IGP anatangaza ugaidi, watawapata wapi watalii? Duniani kote wamejua Tanzania kuna magaidi Nchi si salama wageni watagoma kuja
Nimecheka sana, Huyu utalii na huyu ugaidi hawajui kwamba ugaidi ni Ant utalii acha wacheze ngoma waliyo weka wenyewe
 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom