Japo havijaanza leo lakini vitendo vya rushwa, kubambikia kesi na uonevu kwa raia chini ya IGP sirro vimekithiri ukilinganisha na miaka ya nyuma
Kukithiri kwa vitendo hivi ni kiashiria kwamba IGP sirro ameshindwa kudhibiti nidhamu ndani ya jeshi la polisi na hivyo kupelekea utendaji mbovu wa jeshi hilo.
Nje ya kuonea na kumbambikia watu kesi, ndani ya kipindi kifupi, sirro amegeuza jeshi la polisi kutoka kuwa usalama wa raia kuwa adui wa raia ndio maana polisi wakipatwa matatizo ya kifo au kudhurika watu wanashangilia.
Actually, IGP sirro ametengeneza uhasama kati ya polisi na raia kwa sababu ya kufumbia macho vitendo viovu vinavyofanywa na askari wake.
Kama uhasama huu na chuki vitazidi kuenea kwa raia na kufikia kiwango cha juu tutarajie siku zijazo kama kutatokea kikundi au mtu wa aina ya HAMZA anayelenga kutekeleza vitendo vya kigaidi kwa polisi wetu kuungwa mkono na raia na hivyo kuhatarisha usalama na amani ya nchi yetu
Kabla haya hayajatokea maana hatujui huko mbele itakavyokuwa, tunaziomba mamlaka za uteuzi zimpumzishe kamanda sirro ili kutoa nafasi kwa mtu mpya mwenye mawazo mapya atakayeweza kuboresha utendaji wa jeshi letu la polisi kuanzia nidhamu, mafunzo, kudhibiti vitendo vya rushwa na ubambikaji kesi na atakayeweza kuunganisha jeshi la polisi na raia wake kuliko ilivyo sasa.
Kukithiri kwa vitendo hivi ni kiashiria kwamba IGP sirro ameshindwa kudhibiti nidhamu ndani ya jeshi la polisi na hivyo kupelekea utendaji mbovu wa jeshi hilo.
Nje ya kuonea na kumbambikia watu kesi, ndani ya kipindi kifupi, sirro amegeuza jeshi la polisi kutoka kuwa usalama wa raia kuwa adui wa raia ndio maana polisi wakipatwa matatizo ya kifo au kudhurika watu wanashangilia.
Actually, IGP sirro ametengeneza uhasama kati ya polisi na raia kwa sababu ya kufumbia macho vitendo viovu vinavyofanywa na askari wake.
Kama uhasama huu na chuki vitazidi kuenea kwa raia na kufikia kiwango cha juu tutarajie siku zijazo kama kutatokea kikundi au mtu wa aina ya HAMZA anayelenga kutekeleza vitendo vya kigaidi kwa polisi wetu kuungwa mkono na raia na hivyo kuhatarisha usalama na amani ya nchi yetu
Kabla haya hayajatokea maana hatujui huko mbele itakavyokuwa, tunaziomba mamlaka za uteuzi zimpumzishe kamanda sirro ili kutoa nafasi kwa mtu mpya mwenye mawazo mapya atakayeweza kuboresha utendaji wa jeshi letu la polisi kuanzia nidhamu, mafunzo, kudhibiti vitendo vya rushwa na ubambikaji kesi na atakayeweza kuunganisha jeshi la polisi na raia wake kuliko ilivyo sasa.