IGP Simon Sirro apumzishwe

Japo havijaanza leo lakini vitendo vya rushwa, kubambikia kesi na uonevu kwa raia chini ya IGP sirro vimekithiri ukilinganisha na miaka ya nyuma

Kukithiri kwa vitendo hivi ni kiashiria kwamba IGP sirro ameshindwa kudhibiti nidhamu ndani ya jeshi la polisi na hivyo kupelekea utendaji mbovu wa jeshi hilo.

Nje ya kuonea na kumbambikia watu kesi, ndani ya kipindi kifupi, sirro amegeuza jeshi la polisi kutoka kuwa usalama wa raia kuwa adui wa raia ndio maana polisi wakipatwa matatizo ya kifo au kudhurika watu wanashangilia.

Actually, IGP sirro ametengeneza uhasama kati ya polisi na raia kwa sababu ya kufumbia macho vitendo viovu vinavyofanywa na askari wake.

Kama uhasama huu na chuki vitazidi kuenea kwa raia na kufikia kiwango cha juu tutarajie siku zijazo kama kutatokea kikundi au mtu wa aina ya HAMZA anayelenga kutekeleza vitendo vya kigaidi kwa polisi wetu kuungwa mkono na raia na hivyo kuhatarisha usalama na amani ya nchi yetu

Kabla haya hayajatokea maana hatujui huko mbele itakavyokuwa, tunaziomba mamlaka za uteuzi zimpumzishe kamanda sirro ili kutoa nafasi kwa mtu mpya mwenye mawazo mapya atakayeweza kuboresha utendaji wa jeshi letu la polisi kuanzia nidhamu, mafunzo, kudhibiti vitendo vya rushwa na ubambikaji kesi na atakayeweza kuunganisha jeshi la polisi na raia wake kuliko ilivyo sasa.
IGP sirro na Abdalla Zombe kesi zao zinafanana. Anatakuwa kuunganishwa kwenye tuhuma zinazoendelea kuhusu tukio la Hamza
 
Usisahau pia kuwa huyu ndo alidhibiti utekwaji magari,
Alidhibiti mauaji ya albino,
Alidhibiti ujambazi ,wakati wa utawala wake Mwendazake.

Alidhibiti jiji kuchomwa Moto akiwa RPC Mwanza,pale CHADEMA walioona kulikuwa na dalili za kuchakachuliwa matokeo.

Mtoeni tu wekeni wa kwenu.
Hapo kwenye mauaji ya albino sio kweli, mauaji hayo yalikuwa yakifadhiliwa zaidi na wanasiasa wa ccm wenye imani ya ushirikina waliokuwa wakiamini kwamba hivyo viungo vilikuwa na nguvu ya kichawi ya kuwafanya washinde uchaguzi.

Walipokuja na njia mbadala ya kujitangazia ushindi kibabe pasipo kuheshimu matakwa ya wananchi basi wakawa hawahitaji tena kutegemea viungo vya albino. That's the bitter truth.
 
Japo havijaanza leo lakini vitendo vya rushwa, kubambikia kesi na uonevu kwa raia chini ya IGP sirro vimekithiri ukilinganisha na miaka ya nyuma

Kukithiri kwa vitendo hivi ni kiashiria kwamba IGP sirro ameshindwa kudhibiti nidhamu ndani ya jeshi la polisi na hivyo kupelekea utendaji mbovu wa jeshi hilo.

Nje ya kuonea na kumbambikia watu kesi, ndani ya kipindi kifupi, sirro amegeuza jeshi la polisi kutoka kuwa usalama wa raia kuwa adui wa raia ndio maana polisi wakipatwa matatizo ya kifo au kudhurika watu wanashangilia.

Actually, IGP sirro ametengeneza uhasama kati ya polisi na raia kwa sababu ya kufumbia macho vitendo viovu vinavyofanywa na askari wake.

Kama uhasama huu na chuki vitazidi kuenea kwa raia na kufikia kiwango cha juu tutarajie siku zijazo kama kutatokea kikundi au mtu wa aina ya HAMZA anayelenga kutekeleza vitendo vya kigaidi kwa polisi wetu kuungwa mkono na raia na hivyo kuhatarisha usalama na amani ya nchi yetu

Kabla haya hayajatokea maana hatujui huko mbele itakavyokuwa, tunaziomba mamlaka za uteuzi zimpumzishe kamanda sirro ili kutoa nafasi kwa mtu mpya mwenye mawazo mapya atakayeweza kuboresha utendaji wa jeshi letu la polisi kuanzia nidhamu, mafunzo, kudhibiti vitendo vya rushwa na ubambikaji kesi na atakayeweza kuunganisha jeshi la polisi na raia wake kuliko ilivyo sasa.
Ndio Samia anamtegemea ili aweze kubaki madarakani hivyo sio rahisi akaondoka.
 
Weledi wao ni kwenye kukamata wapinzani hasa wakishapewa ahadi ya ubunge baada ya kustaafu
 
Japo havijaanza leo lakini vitendo vya rushwa, kubambikia kesi na uonevu kwa raia chini ya IGP sirro vimekithiri ukilinganisha na miaka ya nyuma

Kukithiri kwa vitendo hivi ni kiashiria kwamba IGP sirro ameshindwa kudhibiti nidhamu ndani ya jeshi la polisi na hivyo kupelekea utendaji mbovu wa jeshi hilo.

Nje ya kuonea na kumbambikia watu kesi, ndani ya kipindi kifupi, sirro amegeuza jeshi la polisi kutoka kuwa usalama wa raia kuwa adui wa raia ndio maana polisi wakipatwa matatizo ya kifo au kudhurika watu wanashangilia.

Actually, IGP sirro ametengeneza uhasama kati ya polisi na raia kwa sababu ya kufumbia macho vitendo viovu vinavyofanywa na askari wake.

Kama uhasama huu na chuki vitazidi kuenea kwa raia na kufikia kiwango cha juu tutarajie siku zijazo kama kutatokea kikundi au mtu wa aina ya HAMZA anayelenga kutekeleza vitendo vya kigaidi kwa polisi wetu kuungwa mkono na raia na hivyo kuhatarisha usalama na amani ya nchi yetu

Kabla haya hayajatokea maana hatujui huko mbele itakavyokuwa, tunaziomba mamlaka za uteuzi zimpumzishe kamanda sirro ili kutoa nafasi kwa mtu mpya mwenye mawazo mapya atakayeweza kuboresha utendaji wa jeshi letu la polisi kuanzia nidhamu, mafunzo, kudhibiti vitendo vya rushwa na ubambikaji kesi na atakayeweza kuunganisha jeshi la polisi na raia wake kuliko ilivyo sasa.
Huyu syo kupumzishwa, akanyagweee
 
Pamoja na watu sampuli ya Sirro kuondolewa pia ni muhimu sana tena sana kwa jeshi la polisi kubadilishwa kutoka kuwa jeshi na kuwa (Huduma ya Polisi Tanzania). (Tanzania Police Services) badala ya Tanzania Police Force.
hapa ni sawa na unaumwa kichwa unaamua kunawa maji kama kitapoa,tatizo unaliona ila hulijui kiundani linasababishwa na nini.unakuwa unaotea njia za kulitatua.
wenzenu chadema pia walidhani tatizo ni jpm,akafariki kabisa.saa hii wanaona afadhali hata huyo jpm.
hata nikikwambia elezea ni kwa namna gani polisi kuwa jeshi kunalizuia kutekeleza baadhi ya kazi zake hutakuwa na jibu.
Polisi inafanya huduma za kijamii hivyo haipaswi kuwa jeshi la kutembea na silaha masaa yote utafikiri nchi iko vitani.
hawaitwi jeshi ili watembee na silaha,hivyo tegemea kiendelea kuziona hata kama wataamua waitwe masista wa padua.
Pia polisi wawe na Public Relations Department ambayo itakuwa inashughulikia mahusiano na jamii pia kitengo hichi kiongozwe na watu wenye weledi na maswala ya sheria na haki za binadamu.
weledi unaupimaje hapa!!ni taasisi ipi inafanya kazi kama za polisi halafu zikawa na uweledi mpaka ukapata rejea!!!maana polisi na hospital ndio zinaongoza kwa malalamiko,unajua ni kwanini????ndizo taaisi ambazo zinahudumia watu huduma zake kama mahitaji ya lazima.sio kweli kwamba ndio chafu zaidi.
Kwa sasa polisi wa Tanzania wanaweza wakashikilia namba moja duniani kwa kuwaonea raia wao kwa kuwabambikia vyesi feki ili wapate kuhongwa fedha nyingi kabla ya kuachiliwa.
kesi feki haiwi kesi ndugu labda kama umeshikwa halafu kwenye kutoa pesa unazichungulia,wanakuchomekea.
Polisi ktk nchi hii wamekuwa ni kero kiasi kwamba wakipatwa na zahama yoyote kama ya juzi wananchi wengi hushangilia.
wananchi wanaoshangilia vivyo vya polisi wote,angalia mfumo wao wa maisha utagundua una shida sehemu ,mtu timamu kiakili hawezi furahia kifo cha mtu mwingine.
 
hapa ni sawa na unaumwa kichwa unaamua kunawa maji kama kitapoa,tatizo unaliona ila hulijui kiundani linasababishwa na nini.unakuwa unaotea njia za kulitatua.
wenzenu chadema pia walidhani tatizo ni jpm,akafariki kabisa.saa hii wanaona afadhali hata huyo jpm.
hata nikikwambia elezea ni kwa namna gani polisi kuwa jeshi kunalizuia kutekeleza baadhi ya kazi zake hutakuwa na jibu.

hawaitwi jeshi ili watembee na silaha,hivyo tegemea kiendelea kuziona hata kama wataamua waitwe masista wa padua.

weledi unaupimaje hapa!!ni taasisi ipi inafanya kazi kama za polisi halafu zikawa na uweledi mpaka ukapata rejea!!!maana polisi na hospital ndio zinaongoza kwa malalamiko,unajua ni kwanini????ndizo taaisi ambazo zinahudumia watu huduma zake kama mahitaji ya lazima.sio kweli kwamba ndio chafu zaidi.

kesi feki haiwi kesi ndugu labda kama umeshikwa halafu kwenye kutoa pesa unazichungulia,wanakuchomekea.
Polisi ktk nchi hii wamekuwa ni kero kiasi kwamba wakipatwa na zahama yoyote kama ya juzi wananchi wengi hushangilia.
wananchi wanaoshangilia vivyo vya polisi wote,angalia mfumo wao wa maisha utagundua una shida sehemu ,mtu timamu kiakili hawezi furahia kifo cha mtu mwingine.
Wewe tatizo lako unasumbuliwa na ushabik wa kichama kiasi kwamba inakufanya hata usiweze ku-reason. Senseless political bigotry.
 
Ukisikia jambazi, gaidi, mwizi, tapeli, na kundi lolote linalo lalamika na linachukia polisi au vyombo vya usalama.

LAZIMA UFAHAMU VYOMBO VYA USALAMA VINAFANYA KAZI VIZURI.

SIRRO SHIKILIA HAPO HAPO, YANAPUMULIA JUU JUU.
Siku Kubambikiziwa KESI wewe,ndugu yako au Baba mkwe ndio utajua kama Sirro ashikilie au Aachie
 
Pamoja na watu sampuli ya Sirro kuondolewa pia ni muhimu sana tena sana kwa jeshi la polisi kubadilishwa kutoka kuwa jeshi na kuwa (Huduma ya Polisi Tanzania). (Tanzania Police Services) badala ya Tanzania Police Force.

Polisi inafanya huduma za kijamii hivyo haipaswi kuwa jeshi la kutembea na silaha masaa yote utafikiri nchi iko vitani.

Pia polisi wawe na Public Relations Department ambayo itakuwa inashughulikia mahusiano na jamii pia kitengo hichi kiongozwe na watu wenye weledi na maswala ya sheria na haki za binadamu.

Kwa sasa polisi wa Tanzania wanaweza wakashikilia namba moja duniani kwa kuwaonea raia wao kwa kuwabambikia vyesi feki ili wapate kuhongwa fedha nyingi kabla ya kuachiliwa.

Polisi ktk nchi hii wamekuwa ni kero kiasi kwamba wakipatwa na zahama yoyote kama ya juzi wananchi wengi hushangilia.
Tatizo Wengi ni maskini na wanatafuta utajiri Kwa haraka..Wanatamani magari saaana.. Tamaa...
 
Back
Top Bottom