beth
JF-Expert Member
- Aug 19, 2012
- 3,877
- 6,326
Aliyekuwa Kamanda wa Polisi Viwanja vya ndege, Naibu Kamishna(DCP) Matanga R. Mbushi anakwenda kuwa Mkuu wa vikosi Maalum vya Polisi, Kamisheni ya Operesheni na Mafunzo Makao Makuu
Nafasi ya DCP Mbushi inachukuliwa na aliyekuwa Afisa Mnadhimu Mkoa wa Mara, Kamishna Msaidizi(ACP) Jeremiah Shilla
Vilevile, aliyekuwa Kamanda wa Polisi kikosi cha Bandari, Kamishna Msaidizi Mwandamizi, (SACP) Robert Mayala anakuwa Mkuu wa Mafunzo wa chuo cha Polisi Zanzibar
Nafasi ya SACP Mayala atakaimu aliyekuwa Afisa Mnadhimu Kikosi cha Bandari, Kamishna Msaidizi(ACP) Theresia Nyangasa
Aidha, taarifa ya Polisi iliyotoa habari hii imesema mabadiliko haya ni ya kawaida katika kuongeza ufanisi na utendaji kazi
Nafasi ya DCP Mbushi inachukuliwa na aliyekuwa Afisa Mnadhimu Mkoa wa Mara, Kamishna Msaidizi(ACP) Jeremiah Shilla
Vilevile, aliyekuwa Kamanda wa Polisi kikosi cha Bandari, Kamishna Msaidizi Mwandamizi, (SACP) Robert Mayala anakuwa Mkuu wa Mafunzo wa chuo cha Polisi Zanzibar
Nafasi ya SACP Mayala atakaimu aliyekuwa Afisa Mnadhimu Kikosi cha Bandari, Kamishna Msaidizi(ACP) Theresia Nyangasa
Aidha, taarifa ya Polisi iliyotoa habari hii imesema mabadiliko haya ni ya kawaida katika kuongeza ufanisi na utendaji kazi