Kufuatia matumizi ya nguvu unayowaamrisha polisi wako na baadaye kukamata viongozi wa chama cha Demokrasia na maendeleo na kuwafikisha mbele ya mahakama, nina maswali matano ya kukuuliza ndugu IGP Mwema.
1. Ni kesi ngapi walizofunguliwa viongozi wa Chadema wakiwa kwenye mikutano munayoiita haina kibali? naomba
ufafanue vizuri, mfano, Mbowe ana kesi ngapi, Slaa,Zitto, Lema, Lissu, na wengine
2.Ni kesi ngapi zilizotolewa hukumu hadi leo
3.Ni kesi ngapi ambazo jeshi la polisi linalowakilisha jamuhuri limeshinda.
4. Kama kama hakuna kilichofanyika kwa nini muendelee kuwafikisha mahakamani wakati mkijua wanaachiwa?
5.Kwa nini ustumie busara zako kuwashauri hao wanaokutuma njia bora ya kufanya ili kuzima nguvu ya umma kuliko
kuendelea kutumika kuua raia wasio na hatia?
1. Ni kesi ngapi walizofunguliwa viongozi wa Chadema wakiwa kwenye mikutano munayoiita haina kibali? naomba
ufafanue vizuri, mfano, Mbowe ana kesi ngapi, Slaa,Zitto, Lema, Lissu, na wengine
2.Ni kesi ngapi zilizotolewa hukumu hadi leo
3.Ni kesi ngapi ambazo jeshi la polisi linalowakilisha jamuhuri limeshinda.
4. Kama kama hakuna kilichofanyika kwa nini muendelee kuwafikisha mahakamani wakati mkijua wanaachiwa?
5.Kwa nini ustumie busara zako kuwashauri hao wanaokutuma njia bora ya kufanya ili kuzima nguvu ya umma kuliko
kuendelea kutumika kuua raia wasio na hatia?