Jana, wakati akiongea na vyombo vya habari IGP alitangaza adhabu ya kifo kwa wale wenye mikakati kama iliyotokea CHATO, LINDI, na Singida.
Atakayeandamana kwenda polisi kwa lengo la kumtoa mharifu, basi ajiandae kukabiliana na risasi za moto kichwani kwake.
Hukumu hii aliyotoa tusijeona wanaitumia ndivyosivyo!
Atakayeandamana kwenda polisi kwa lengo la kumtoa mharifu, basi ajiandae kukabiliana na risasi za moto kichwani kwake.
Hukumu hii aliyotoa tusijeona wanaitumia ndivyosivyo!