Don Moen
JF-Expert Member
- Nov 12, 2020
- 1,566
- 2,944
Jana RPC wa Kinondoni alikiri kutokea kwa mauaji maeneo ya Mtaa wa Tunisia na Ali Hassani Mwinyi, karibu na Dar Free Market.
Mauaji haya kwa mujibu wa RPC yalitokea baada ya askari waliokuwa doria kusikia kelele za mwanamke akipiga kelele kuwa ameiniwa simu na majambazi yaliyokuwa na silaha.
Askari waliokuwa doria na walivaa kiraia waliposikia waliwakimbilia na wakati wakiwakimbilia wale majambazi walianza kurusha risasi ndipo askari nao wakajibu mashambulizi hatimaye walifanikiwa kuua jambazi mmoja.
Kamanda Sirro, habari hii ina ukakasi mwingi kama ifuatavyo;
1. Jambazi kutumia silaha kuiba simu wasiojua thamani yake kwa kutumia silaha...hii haiingii akilini.
2. Jambazi waibe tena wako na pikipiki halafu askari wapate wasaa kumdadisi mwanamke alichoibiwa then wawakimbilie jambazi wakiwa na pkpk tena usiku na wafanikiwe kuwashika...hapa labda walianza kuwafukuza baada ya kuua ndipo walimrudia mwana mke aelezee mkasa.
3. Inasemekana kuwa aliyeuwawa alipewa simu na askari mmoja kati ya hawa wanaotajwa kutekeleza mauji akamsaidie kuiflash lkn kijana haikuirudisha kitendo hicho kilitafsiriwa kuwa amemtapeli asakari na ndipo akaamua kutengeneza sinema hii ya mauaji ya kisasi.
Japo inasemekana ana tabia ya udokozi laki sio jambazi.
Kwa muktadha huu nashauri uchunguzi ufanyike, ikiwa walipeana simu na aliyepewa hakuirudisha na anapatikana, badala ya kuua kulikuwa na nafasi ya kumchulia hatua ya kisheria na sio kuua.
Mauaji haya kwa mujibu wa RPC yalitokea baada ya askari waliokuwa doria kusikia kelele za mwanamke akipiga kelele kuwa ameiniwa simu na majambazi yaliyokuwa na silaha.
Askari waliokuwa doria na walivaa kiraia waliposikia waliwakimbilia na wakati wakiwakimbilia wale majambazi walianza kurusha risasi ndipo askari nao wakajibu mashambulizi hatimaye walifanikiwa kuua jambazi mmoja.
Kamanda Sirro, habari hii ina ukakasi mwingi kama ifuatavyo;
1. Jambazi kutumia silaha kuiba simu wasiojua thamani yake kwa kutumia silaha...hii haiingii akilini.
2. Jambazi waibe tena wako na pikipiki halafu askari wapate wasaa kumdadisi mwanamke alichoibiwa then wawakimbilie jambazi wakiwa na pkpk tena usiku na wafanikiwe kuwashika...hapa labda walianza kuwafukuza baada ya kuua ndipo walimrudia mwana mke aelezee mkasa.
3. Inasemekana kuwa aliyeuwawa alipewa simu na askari mmoja kati ya hawa wanaotajwa kutekeleza mauji akamsaidie kuiflash lkn kijana haikuirudisha kitendo hicho kilitafsiriwa kuwa amemtapeli asakari na ndipo akaamua kutengeneza sinema hii ya mauaji ya kisasi.
Japo inasemekana ana tabia ya udokozi laki sio jambazi.
Kwa muktadha huu nashauri uchunguzi ufanyike, ikiwa walipeana simu na aliyepewa hakuirudisha na anapatikana, badala ya kuua kulikuwa na nafasi ya kumchulia hatua ya kisheria na sio kuua.