IGP Mangu usipokuwa makini raia watapoteza uaminifu na Jeshi la Polisi

Mzee wa Masauti

JF-Expert Member
Jul 26, 2014
2,199
2,508
Kutokana na vuguvugu la siasa linaloendelea hapa nchi linalotokana hasa na kukatazwa kwa mikutano ya kisisasa na yale ya kule Zanzibar, napenda kumshauri IGP Mangu ni heri akakaa kimya kuliko kutoa matamko yanayoashiria upendeleo wa chama fulani cha siasa.

Ni dhahiri kwamba kwenye uchaguzi wa Zanzibar mwaka 2015 jana kila mtu anafahamu nani aliyeshinda.Wewe binafsi unamjua aliyeshinda kura kihalali na CCM wanamjua aliyeshinda.Hata mtoto mdogo ukimuuliza nani aliyeshinda Zanzibar 2015 atakujibu.

Kauli unazozitoa za kutaka kumkamata yule kiongozi wa chama cha siasa kule Pemba zinaweza kuzidi kutonesha vidonda vya wazanzibari na kuzidisha chuki za wazanzibar kwa Serikali yao pamoja na Jeshi la Polisi.
 
Kutokana na vuguvugu la siasa linaloendelea hapa nchi linalotokana hasa na kukatazwa kwa mikutano ya kisisasa na yale ya kule Zanzibar,

Napenda kumshauri IGP Mangu ni heri akakaa kimya kuliko kutoa matamko yanayoashiria upendeleo wa chama fulani cha siasa.

Ni dhahiri shahiri kwamba kwenye uchaguzi wa Zanzibar mwaka 2015 jana KILA MTU ANAFAHAMU NANI ALIESHINDA.
WEWE BINAFSI UNAMJUA ALIESHINDA KURA KIHALALI NA CCM WANAMJUA ALIESHINDA.

HATA MTOTO MDOGO UKIMWULIZA NANI ALISHINDA ZANZIBAR 2015 ATAKWAMBIA.

kauli unazozitoa za kutaka kumkamkamata yule kiongozi wa chama cha siasa kule pemba zinaweza kuzidi kutonesha vidonda vya wazanzibari na kuzidisha chuki za wazanzibar kwa serikali yao pamoja na jeshi la polisi.
Polisi mna bunduki, "walaze" suspects!
 
Kutokana na vuguvugu la siasa linaloendelea hapa nchi linalotokana hasa na kukatazwa kwa mikutano ya kisisasa na yale ya kule Zanzibar,

Napenda kumshauri IGP Mangu ni heri akakaa kimya kuliko kutoa matamko yanayoashiria upendeleo wa chama fulani cha siasa.

Ni dhahiri shahiri kwamba kwenye uchaguzi wa Zanzibar mwaka 2015 jana KILA MTU ANAFAHAMU NANI ALIESHINDA.
WEWE BINAFSI UNAMJUA ALIESHINDA KURA KIHALALI NA CCM WANAMJUA ALIESHINDA.

HATA MTOTO MDOGO UKIMWULIZA NANI ALISHINDA ZANZIBAR 2015 ATAKWAMBIA.

kauli unazozitoa za kutaka kumkamata yule kiongozi wa chama cha siasa kule pemba zinaweza kuzidi kutonesha vidonda vya wazanzibari na kuzidisha chuki za wazanzibar kwa serikali yao pamoja na jeshi la polisi.


Taratibu anataka kuvaa viatu vya Mahita.
 
Mtu ambaye kutwa kucha yuko kwenye TV akitoa matamshi ya kichochezi dhidi ya serikali halali baada ya uchaguzi halali anafaa afanywe vipi?
 
Kutokana na vuguvugu la siasa linaloendelea hapa nchi linalotokana hasa na kukatazwa kwa mikutano ya kisisasa na yale ya kule Zanzibar,

Napenda kumshauri IGP Mangu ni heri akakaa kimya kuliko kutoa matamko yanayoashiria upendeleo wa chama fulani cha siasa.

Ni dhahiri shahiri kwamba kwenye uchaguzi wa Zanzibar mwaka 2015 jana KILA MTU ANAFAHAMU NANI ALIESHINDA.
WEWE BINAFSI UNAMJUA ALIESHINDA KURA KIHALALI NA CCM WANAMJUA ALIESHINDA.

HATA MTOTO MDOGO UKIMWULIZA NANI ALISHINDA ZANZIBAR 2015 ATAKWAMBIA.

kauli unazozitoa za kutaka kumkamata yule kiongozi wa chama cha siasa kule pemba zinaweza kuzidi kutonesha vidonda vya wazanzibari na kuzidisha chuki za wazanzibar kwa serikali yao pamoja na jeshi la polisi.
Acha IGP afanye kazi yake wewe, usilete porojo mfu hapa. Eti imani kwa jeshi, lini walionyesha imani wakati majambazi wanawapokea, wanalala nao majumbani na hawawasemi!
 
Maalim Seif lazima ashtakiwe. Ukichanganya siasa na kazi ya polisi hakika hutafanya kazi. Vyombo vya Dola vipo chini ya Amir Jeshi Mkuu aliyepatikana kwa njia ya kidemokrasia
 
inasikitisha sana maana siku hizi jeshi linatumiwa na wenye mamlaka tena wanalitumia vibaya sana
 
Back
Top Bottom