maonomakuu
JF-Expert Member
- Jul 24, 2015
- 2,516
- 1,198
Mkuu naona IGP yuko sahihi nchi inaendeshwa kwa document, nilitegemea katibu mkuu kiongozi aandikie mamlaka ya jeshi la Polisi kumpandisha cheo then jeshi hilo lifuate taratibu za kumpandisha mtu cheo.Kwa mbali naona siku za Mangu zikizidi kupungua siku hadi siku kukalia hicho kiti.!