simplemind
JF-Expert Member
- Apr 10, 2009
- 16,409
- 9,183
nchi ya twisted justice hii -aliye na haki ndio mhalifu. Mhalifu anatukuzwa na kupewa nafasi kwenye jukwaa la rais na watu mashuhuri.Hivi ni kweli Mangu hakumuona Jecha kama ndo mchochezi wa kwanza kwa kuwawekea raia uongozi walioukataa?Hivi ni kutudharau watanzania na kutuona hatuna tulijualo?Ni mtanzania yupi kipofu atakayeamini eti Maalimu Seif ndo mchochezi?Hivi mtu kudai haki yako ndo uchochezi?