Mangu: Tanzania sio kisiwa, hata Kenya matukio ya namna hii yametokea, huu ni ujumbe kuwa tusibweteke, tunapanga mipango ya kukabiliana nayo.
Polisi jamii wakati wanatubambikia kesi kila kukicha? Au anafukiri hao wanao wapeleka kivukoni kwa mambo ya kisiasa hawana ndugu?Mangu:Sehemu kubwa ya polisi ni kufanya kazi kwa kujitolea, kwa sasa tuna mpango wa polisi jamii ili tupate ushirikishwaji mkubwa.