IGP Kamanda Sirro, Usiruhusu Vifo Vya Uzembe Kama Huu Kuchafua Jeshi Letu Safi la Polisi!.

Tanzanja bhna. Et kisa baba yake alikuwa polisi basi analijua jeshi la polisi. Anajua taratibu ta interrogation. Duhh

‍♂️naenda zimbobo.
 
Wanabodi,

Declaration of Interest.
Mimi ni mtoto wa polisi, Mzee wangu Andrew Mayalla (RIP) ndiye aliyekuwa RSO wa Mwanza wakati wa Kesi ya Mauaji Mwanza, hivyo ninaelewa mbinu za kipolisi za interrogations za watuhumiwa wa mauji!, hivyo nalijua jeshi la polisi.

Jeshi Letu la Polisi Safi.
Baada ya utambulisho wa mtoto wa polisi, kwa kuzingatia taarifa za mahojiano ya polisi kwenye kesi ya Uhani ya 1984, then nikisema jeshi letu safi la polisi, naomba mnielewe!, ni Nyerere alilisafisha, labda kama limechafuka tena!. Kwa vile kauli huumba, kila siku ukimwita mtoto kuwa ni mtoto mbaya, kauli hiyo ya mtoto mbaya inaumba, hivyo huyo mtoto anakuwa mbaya kweli!. Hivyo kuliita jeshi letu la polisi safi, ni kutumia kauli za affirmatives, kwa kutumia affirmations kuliumbia usafi jeshi letu la polisi ambalo kiukweli limechafuka tena!, ingekuwa ni enzi za Nyerere, yule kamanda aliyetangaza uzembe huo saa hizi saa nyingi...debe!.

Pongezi Kwa IGP, Kamanda Simon Sirro.
Naomba kuanza kwa kutoa pongezi kwa Kamanda Simon Siro kuteuliwa kuwa IGP, na pia kutoa pongezi kwa jeshi letu la polisi kwa kazi nzuri inayofanya kulinda rais na mali zao. Mimi binafsi nina imani sana na Kamanda Siro kwa good track record yake ndani ya jeshi hilo, na sura ya kipolisi tofauti na mtangulizi wake aliyekuwa na sura laini laini, matokeo yake jeshi letu nalo lilifanana nae!.

Huu uzi ni wa wito kwa IGP, Kamanda Simon Siro, asiruhusu uzembe kama huu ulioelezewa hapa, kwa mtuhumiwa wa mauaji, kufa akiwa mikononi mwa polisi, kizembe zembe namna hii kama ilivyoelezwa hapa ambako kunachafua jeshi letu safi la polisi!.

Shuhudia Kamanda Polisi Akithibitisha Kifo cha Mtuhumiwa Kwa Uzembe Bila Hata Blink of an Eye, As if ni Jambo la Kawaida!.


Japo aliyeuliwa ni muuaji, kwa maelezo yaliyotolewa hapo, nakuomba sana, IGP Kamanda Sirro, kamwe usiukubali blanket statements za uzembe kama huu, unless kifo cha mahabusu huyu ni utekelezaji wa lile agizo la Amiri Jeshi Mkuu, Hili la Polisi kuruhusiwa 'kuwanyanganya' silaha majambazi na ...

Nijuavyo mimi, mtuhumiwa yoyote mikononi mwa polisi, anapopelekwa popote ispokuwa mahakamani, anasindikizwa na ulinzi madhubuti wa askari wenye silaha za moto, na wakati wote anakuwa na pingu mikononi, anawezaje kutoroka hadi kupelekea kuuwawa mikononi mwa polisi?!.

Mazingira ya Polisi Kutumia Silaha Za Moto Kwenye Arrest
Nakiri kuyafahamu mazingira ambayo jeshi letu la polisi wanaruhusiwa kutumia silaha za moto katika arrest na kuzuia mtuhumiwa kutoroka akiwa mikononi mwa polisi, mazingira hayo nimeyazungumza katika bandiko hili.
Hivi polisi wameruhusiwa kuua wakihisi fulani ni mhalifu ...
nimesema


Hoja Mbalimbali Katika Mauaji ya Mahabusu Huyu
  1. Ni kweli mtuhumiwa alijaribu kutoroka akiwa chini ya ulinzi kwa kukimbia huku akiwa na pingu mikononi.
  2. Baada ya kupigwa risasi moja ya mguu, lazima alianguka chini. Mahabusu mwenye pingu mikoni, amepigwa risasi moja ya mguu, ameanguka chini, je ni nini kilimfanya apigwe risasi nyingine ya miguu, yaani miguu yote?!.
  3. Jee alipigwa hizo risasi mbili tuu miguuni ndizo zilizopekekea kifo kweli, au alimiminiwa risasi kadhaa na kuachwa a bleed to death?. Risasi mbili za mguu zinawezaje kusabisha kifo?.
  4. Nakijua kinachowapata watuhumiwa wanaojaribu kuroka mikononi mwa polisi, jee ni kweli baada ya kupigwa hizo risasi mbili, mtuhumiwa huyo, jee alipatiwa huduma yoyote ya kwanza kumzua as bleed to death na kumuwahisha hospitali?, au baada ya kumiminiwa risasi za kutosha, mtuhumiwa huyo pia 'alishughulikiwa' ipasavyo kama walivyoshughulikiwa watuhumiwa hawa kwenye kisa hiki, na kilichopelekwa Mt. Meru Hospital ni mwili tuu kwa ajili ya kupata taarifa ya dakitari?!. Vifo vya Mahabusu Mwanza, IGP Mangu, Usikubali Kudanganywa ...
  5. Vifo vyote vya mahabusu wowote mikononi mwa polisi, lazima vifuatiwe na independent inquiry, ili kujiridhisha, kufuatia huko nyuma jeshi la polisi kuwahi kuhusishwa kwa utesaji na mauji ya mahabusu kama ilivyotokea hapa katika kisa hiki, TISS ni Watekaji, Watesaji na Wauaji!. Wasijadiliwe na Bunge bali ...
  6. Huu nauta ni uzembe, kwa sababu nguvu iliyotumika kumdhibiti mahabusu huyo ni kubwa kuliko, mtuana pingu, amepigwa risasi mguu moja, ameanguka chini, kwa niniafie mikononi mwa polisi badala ya kulinda maisha yake, apone awaonyeshe polisi washirika wake?.
  7. IGP, Kamanda Siro, wewe ni mtu wa kuaminika sana, kwa uadilifu na ushupavu usiotia shaka, nakuomba usikubali kirahisi rahisi taarifa za watendaji wako zenye makando kando kama haya, yanayoweza kupelekea karma repercussions za damu za watu zinazomwagika chini yako, zikaja kuwa juu yako!.
Hitimisho.
Lengo la bandiko hili, sio kulitaka jeshi la polisi kujibu chochote katika hoja hizi, bali ni angalizo tuu kutoka kwa raia mwema, anayekutakia mafanikio mema katika kazi yako, na weledi wa hali ya juu kwa jeshi letu la polisi haswa katika kipindi kipindi hiki ambacho Jeshi la Polisi linakabiliwa na changamoto nyingi za uhalifu wa kutumia silaha za moto, na silaha za kivita, na mauaji, japo matukio mengine yana possibilities za friendly fires lakini polisi ndio mkanyooshewa vidole, hivyo jeshi lako la polisi ni lazima liwe na undendaji makini kwa uadilifu wa hali ya juu kabisa usio tia shaka, na haswa katika kuwabaini watu wasiojulikana, kama wale waliomtishia Mhe. Nape bastola, ambao nao walikuja pale St. Peters kwa kutumia gari aina ya Nissan nyeupe, hadi picha zao zilitapakaa kwenye magazeti yote na video kwenye TV zote na mitandao ya kijamii, lakini ni watu wasiojulikana!, lakini mko bize kufuatilia mitandao ya kijamii nani kasema nini, huku watu wanaojulikana, wakifanya uzembe wa wazi kabisa, mchana kweupe, lakini hakuna lolote linalofanyika!.

Wasalaam

Paskali.

Rejea

IGP Mwema, Please, Please, Please, Stop This Police Brutality ...
Vifo vya Mahabusu Mwanza, IGP Mangu, Usikubali Kudanganywa .
Hili la Polisi kuruhusiwa 'kuwanyanganya' silaha majambazi na ...
Waziri Nchimbi na IGP Mwema, Mnasubiri Nini Kujiuzulu ...
Police Brutality in Tanzania: The World has a Right to know ...
Unyama wa polisi Tanzania- walazimisha mtu kukubali video kwa ...

Paskali babako pia alisha kuwa RCO wa Kilimanjaro au nimefananisha na je wewe ulishasoma Mawenzi Sec
 
Hata baba yangu alikuwa RPC kwa miaka tofauti mikoa mikubwa mitatu na alistaafu kama kamishna wa polisi.

Hili jeshi limeoza na linatumika kisiasa zaidi mfano mdogo tu je ni kwanini plate number aliyotoa Lissu mpaka leo hawajasema lolote. Hii inasababisha watu wasiamini jeshi la polisi na hata kama ni wewe huwezi kuliamini kama hauko bias

Wanabodi,

Declaration of Interest.
Mimi ni mtoto wa polisi, Mzee wangu Andrew Mayalla (RIP) ndiye aliyekuwa RSO wa Mwanza wakati wa Kesi ya Mauaji Mwanza, hivyo ninaelewa mbinu za kipolisi za interrogations za watuhumiwa wa mauji!, hivyo nalijua jeshi la polisi.

Jeshi Letu la Polisi Safi.
Baada ya utambulisho wa mtoto wa polisi, kwa kuzingatia taarifa za mahojiano ya polisi kwenye kesi ya Uhani ya 1984, then nikisema jeshi letu safi la polisi, naomba mnielewe!, ni Nyerere alilisafisha, labda kama limechafuka tena!. Kwa vile kauli huumba, kila siku ukimwita mtoto kuwa ni mtoto mbaya, kauli hiyo ya mtoto mbaya inaumba, hivyo huyo mtoto anakuwa mbaya kweli!. Hivyo kuliita jeshi letu la polisi safi, ni kutumia kauli za affirmatives, kwa kutumia affirmations kuliumbia usafi jeshi letu la polisi ambalo kiukweli limechafuka tena!, ingekuwa ni enzi za Nyerere, yule kamanda aliyetangaza uzembe huo saa hizi saa nyingi...debe!.

Pongezi Kwa IGP, Kamanda Simon Sirro.
Naomba kuanza kwa kutoa pongezi kwa Kamanda Simon Siro kuteuliwa kuwa IGP, na pia kutoa pongezi kwa jeshi letu la polisi kwa kazi nzuri inayofanya kulinda rais na mali zao. Mimi binafsi nina imani sana na Kamanda Siro kwa good track record yake ndani ya jeshi hilo, na sura ya kipolisi tofauti na mtangulizi wake aliyekuwa na sura laini laini, matokeo yake jeshi letu nalo lilifanana nae!.

Huu uzi ni wa wito kwa IGP, Kamanda Simon Siro, asiruhusu uzembe kama huu ulioelezewa hapa, kwa mtuhumiwa wa mauaji, kufa akiwa mikononi mwa polisi, kizembe zembe namna hii kama ilivyoelezwa hapa ambako kunachafua jeshi letu safi la polisi!.

Shuhudia Kamanda Polisi Akithibitisha Kifo cha Mtuhumiwa Kwa Uzembe Bila Hata Blink of an Eye, As if ni Jambo la Kawaida!.


Japo aliyeuliwa ni muuaji, kwa maelezo yaliyotolewa hapo, nakuomba sana, IGP Kamanda Sirro, kamwe usiukubali blanket statements za uzembe kama huu, unless kifo cha mahabusu huyu ni utekelezaji wa lile agizo la Amiri Jeshi Mkuu, Hili la Polisi kuruhusiwa 'kuwanyanganya' silaha majambazi na ...

Nijuavyo mimi, mtuhumiwa yoyote mikononi mwa polisi, anapopelekwa popote ispokuwa mahakamani, anasindikizwa na ulinzi madhubuti wa askari wenye silaha za moto, na wakati wote anakuwa na pingu mikononi, anawezaje kutoroka hadi kupelekea kuuwawa mikononi mwa polisi?!.

Mazingira ya Polisi Kutumia Silaha Za Moto Kwenye Arrest
Nakiri kuyafahamu mazingira ambayo jeshi letu la polisi wanaruhusiwa kutumia silaha za moto katika arrest na kuzuia mtuhumiwa kutoroka akiwa mikononi mwa polisi, mazingira hayo nimeyazungumza katika bandiko hili.
Hivi polisi wameruhusiwa kuua wakihisi fulani ni mhalifu ...
nimesema


Hoja Mbalimbali Katika Mauaji ya Mahabusu Huyu
  1. Ni kweli mtuhumiwa alijaribu kutoroka akiwa chini ya ulinzi kwa kukimbia huku akiwa na pingu mikononi.
  2. Baada ya kupigwa risasi moja ya mguu, lazima alianguka chini. Mahabusu mwenye pingu mikoni, amepigwa risasi moja ya mguu, ameanguka chini, je ni nini kilimfanya apigwe risasi nyingine ya miguu, yaani miguu yote?!.
  3. Jee alipigwa hizo risasi mbili tuu miguuni ndizo zilizopekekea kifo kweli, au alimiminiwa risasi kadhaa na kuachwa a bleed to death?. Risasi mbili za mguu zinawezaje kusabisha kifo?.
  4. Nakijua kinachowapata watuhumiwa wanaojaribu kuroka mikononi mwa polisi, jee ni kweli baada ya kupigwa hizo risasi mbili, mtuhumiwa huyo, jee alipatiwa huduma yoyote ya kwanza kumzua as bleed to death na kumuwahisha hospitali?, au baada ya kumiminiwa risasi za kutosha, mtuhumiwa huyo pia 'alishughulikiwa' ipasavyo kama walivyoshughulikiwa watuhumiwa hawa kwenye kisa hiki, na kilichopelekwa Mt. Meru Hospital ni mwili tuu kwa ajili ya kupata taarifa ya dakitari?!. Vifo vya Mahabusu Mwanza, IGP Mangu, Usikubali Kudanganywa ...
  5. Vifo vyote vya mahabusu wowote mikononi mwa polisi, lazima vifuatiwe na independent inquiry, ili kujiridhisha, kufuatia huko nyuma jeshi la polisi kuwahi kuhusishwa kwa utesaji na mauji ya mahabusu kama ilivyotokea hapa katika kisa hiki, TISS ni Watekaji, Watesaji na Wauaji!. Wasijadiliwe na Bunge bali ...
  6. Huu nauta ni uzembe, kwa sababu nguvu iliyotumika kumdhibiti mahabusu huyo ni kubwa kuliko, mtuana pingu, amepigwa risasi mguu moja, ameanguka chini, kwa niniafie mikononi mwa polisi badala ya kulinda maisha yake, apone awaonyeshe polisi washirika wake?.
  7. IGP, Kamanda Siro, wewe ni mtu wa kuaminika sana, kwa uadilifu na ushupavu usiotia shaka, nakuomba usikubali kirahisi rahisi taarifa za watendaji wako zenye makando kando kama haya, yanayoweza kupelekea karma repercussions za damu za watu zinazomwagika chini yako, zikaja kuwa juu yako!.
Hitimisho.
Lengo la bandiko hili, sio kulitaka jeshi la polisi kujibu chochote katika hoja hizi, bali ni angalizo tuu kutoka kwa raia mwema, anayekutakia mafanikio mema katika kazi yako, na weledi wa hali ya juu kwa jeshi letu la polisi haswa katika kipindi kipindi hiki ambacho Jeshi la Polisi linakabiliwa na changamoto nyingi za uhalifu wa kutumia silaha za moto, na silaha za kivita, na mauaji, japo matukio mengine yana possibilities za friendly fires lakini polisi ndio mkanyooshewa vidole, hivyo jeshi lako la polisi ni lazima liwe na undendaji makini kwa uadilifu wa hali ya juu kabisa usio tia shaka, na haswa katika kuwabaini watu wasiojulikana, kama wale waliomtishia Mhe. Nape bastola, ambao nao walikuja pale St. Peters kwa kutumia gari aina ya Nissan nyeupe, hadi picha zao zilitapakaa kwenye magazeti yote na video kwenye TV zote na mitandao ya kijamii, lakini ni watu wasiojulikana!, lakini mko bize kufuatilia mitandao ya kijamii nani kasema nini, huku watu wanaojulikana, wakifanya uzembe wa wazi kabisa, mchana kweupe, lakini hakuna lolote linalofanyika!.

Wasalaam

Paskali.

Rejea

IGP Mwema, Please, Please, Please, Stop This Police Brutality ...
Vifo vya Mahabusu Mwanza, IGP Mangu, Usikubali Kudanganywa .
Hili la Polisi kuruhusiwa 'kuwanyanganya' silaha majambazi na ...
Waziri Nchimbi na IGP Mwema, Mnasubiri Nini Kujiuzulu ...
Police Brutality in Tanzania: The World has a Right to know ...
Unyama wa polisi Tanzania- walazimisha mtu kukubali video kwa ...
 
ila TL mbishii! katandikwa tano lkn ka survive, wakati huyu kagongwa moja tu ya mguu na kakufa hapohapo!!!

"Five shots couldn't stop me, I took it in stride" - 2Pac "Hit 'em Up"

Huyu Tundu Lissu jina lake jipya ni 2 Pac Lissu.

Wote wamepigwa risasi September 7.

Wote majina tao yanaanza na Tu.

Wote wamepigwa risasi tano na ku survive.

Wote ni watu waliokosoa watawala kwa maneno makali.

Wote ni watu waliopendwa na jamii licha ya kuwa watukutu mara nyingine.

2Pac Lissu is only right.

"Five shots couldn't stop me, I took it in stride" - 2Pac "Hit 'em Up"
 
"Five shots couldn't stop me, I took it in stride" - 2Pac "Hit 'em Up"

Huyu Tundu Lissu jina lake jipya ni 2 Pac Lissu.

Wote wamepigwa risasi September 7.

Wote majina tao yanaanza na Tu.

Wote wamepigwa risasi tano na ku survive.

Wote ni watu waliokosoa watawala kwa maneno makali.

Wote ni watu waliopendwa na jamii licha ya kuwa watukutu mara nyingine.

2Pac Lissu is only right.

"Five shots couldn't stop me, I took it in stride" - 2Pac "Hit 'em Up"

Eventually Pac haku survive ile assault ya Vegas...just sayin'.
 
Kiongozi wetu wa jeshi la Polisi lazima ajue kuwa ile falsafa ya kiingereza na kijerumani ya miaka ya 1884-1960s ya jeshi lolote dunani imebadilika sana,Marekani ambako uharifu nimkubwa polisi hawaruhusiwi kutuia risasi za moto,nchi zingine ukimkwida mharifu askari anapoteza ajira.Tatizo letu Waafrika tumejikita katika kujenga jeshi ambalo falsafa yake nikuwashuku wananchi kama maadui wa nchi,pili kuwakamata kwa chuki kubwa .Mharifu huyo asingeadhibiwa hivyo bali angekamatwa nakuhojiwa kwa kwa manufaa ya ummma na tungechukua nafasi hiyo kujua kingine kilichojifika
 
Pascal Mayalla ya kawaida haya....kule kurasini walimuua imamu na mwanafunzi wa chuo kikuu bila ya sababu.
Na huyu huyu siro akatisha na kujibu kijeuri na kifedhuli wazee na jamaa akahalalisha mauaji yale. Hawa walataka independent enquiry.
Mikono ikishaonja damu basi nafsi inakuwa ya kupenda hio kitu ...kweli sura yake tofauti na wengine
siro kwa lile la kurasini alionesha wazi yu wa aina gami.
unajua igp wanatakiwa watoke kwa makamishna waliopo wizarani ambao ni wasomi wazuri. Sio hawa ambao uadilifu wao ni wa mashaka.
angalia Said Mwema alivo kuwa proffesional....

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wanabodi,

Declaration of Interest.
Mimi ni mtoto wa polisi, Mzee wangu Andrew Mayalla (RIP) ndiye aliyekuwa RSO wa Mwanza wakati wa Kesi ya Mauaji Mwanza, hivyo ninaelewa mbinu za kipolisi za interrogations za watuhumiwa wa mauji!, hivyo nalijua jeshi la polisi.

Jeshi Letu la Polisi Safi.
Baada ya utambulisho wa mtoto wa polisi, kwa kuzingatia taarifa za mahojiano ya polisi kwenye kesi ya Uhani ya 1984, then nikisema jeshi letu safi la polisi, naomba mnielewe!, ni Nyerere alilisafisha, labda kama limechafuka tena!. Kwa vile kauli huumba, kila siku ukimwita mtoto kuwa ni mtoto mbaya, kauli hiyo ya mtoto mbaya inaumba, hivyo huyo mtoto anakuwa mbaya kweli!. Hivyo kuliita jeshi letu la polisi safi, ni kutumia kauli za affirmatives, kwa kutumia affirmations kuliumbia usafi jeshi letu la polisi ambalo kiukweli limechafuka tena!, ingekuwa ni enzi za Nyerere, yule kamanda aliyetangaza uzembe huo saa hizi saa nyingi...debe!.

Pongezi Kwa IGP, Kamanda Simon Sirro.
Naomba kuanza kwa kutoa pongezi kwa Kamanda Simon Siro kuteuliwa kuwa IGP, na pia kutoa pongezi kwa jeshi letu la polisi kwa kazi nzuri inayofanya kulinda rais na mali zao. Mimi binafsi nina imani sana na Kamanda Siro kwa good track record yake ndani ya jeshi hilo, na sura ya kipolisi tofauti na mtangulizi wake aliyekuwa na sura laini laini, matokeo yake jeshi letu nalo lilifanana nae!.

Huu uzi ni wa wito kwa IGP, Kamanda Simon Siro, asiruhusu uzembe kama huu ulioelezewa hapa, kwa mtuhumiwa wa mauaji, kufa akiwa mikononi mwa polisi, kizembe zembe namna hii kama ilivyoelezwa hapa ambako kunachafua jeshi letu safi la polisi!.

Shuhudia Kamanda Polisi Akithibitisha Kifo cha Mtuhumiwa Kwa Uzembe Bila Hata Blink of an Eye, As if ni Jambo la Kawaida!.


Japo aliyeuliwa ni muuaji, kwa maelezo yaliyotolewa hapo, nakuomba sana, IGP Kamanda Sirro, kamwe usiukubali blanket statements za uzembe kama huu, unless kifo cha mahabusu huyu ni utekelezaji wa lile agizo la Amiri Jeshi Mkuu, Hili la Polisi kuruhusiwa 'kuwanyanganya' silaha majambazi na ...

Nijuavyo mimi, mtuhumiwa yoyote mikononi mwa polisi, anapopelekwa popote ispokuwa mahakamani, anasindikizwa na ulinzi madhubuti wa askari wenye silaha za moto, na wakati wote anakuwa na pingu mikononi, anawezaje kutoroka hadi kupelekea kuuwawa mikononi mwa polisi?!.

Mazingira ya Polisi Kutumia Silaha Za Moto Kwenye Arrest
Nakiri kuyafahamu mazingira ambayo jeshi letu la polisi wanaruhusiwa kutumia silaha za moto katika arrest na kuzuia mtuhumiwa kutoroka akiwa mikononi mwa polisi, mazingira hayo nimeyazungumza katika bandiko hili.
Hivi polisi wameruhusiwa kuua wakihisi fulani ni mhalifu ...
nimesema


Hoja Mbalimbali Katika Mauaji ya Mahabusu Huyu
  1. Ni kweli mtuhumiwa alijaribu kutoroka akiwa chini ya ulinzi kwa kukimbia huku akiwa na pingu mikononi.
  2. Baada ya kupigwa risasi moja ya mguu, lazima alianguka chini. Mahabusu mwenye pingu mikoni, amepigwa risasi moja ya mguu, ameanguka chini, je ni nini kilimfanya apigwe risasi nyingine ya miguu, yaani miguu yote?!.
  3. Jee alipigwa hizo risasi mbili tuu miguuni ndizo zilizopekekea kifo kweli, au alimiminiwa risasi kadhaa na kuachwa a bleed to death?. Risasi mbili za mguu zinawezaje kusabisha kifo?.
  4. Nakijua kinachowapata watuhumiwa wanaojaribu kuroka mikononi mwa polisi, jee ni kweli baada ya kupigwa hizo risasi mbili, mtuhumiwa huyo, jee alipatiwa huduma yoyote ya kwanza kumzua as bleed to death na kumuwahisha hospitali?, au baada ya kumiminiwa risasi za kutosha, mtuhumiwa huyo pia 'alishughulikiwa' ipasavyo kama walivyoshughulikiwa watuhumiwa hawa kwenye kisa hiki, na kilichopelekwa Mt. Meru Hospital ni mwili tuu kwa ajili ya kupata taarifa ya dakitari?!. Vifo vya Mahabusu Mwanza, IGP Mangu, Usikubali Kudanganywa ...
  5. Vifo vyote vya mahabusu wowote mikononi mwa polisi, lazima vifuatiwe na independent inquiry, ili kujiridhisha, kufuatia huko nyuma jeshi la polisi kuwahi kuhusishwa kwa utesaji na mauji ya mahabusu kama ilivyotokea hapa katika kisa hiki, TISS ni Watekaji, Watesaji na Wauaji!. Wasijadiliwe na Bunge bali ...
  6. Huu nauta ni uzembe, kwa sababu nguvu iliyotumika kumdhibiti mahabusu huyo ni kubwa kuliko, mtuana pingu, amepigwa risasi mguu moja, ameanguka chini, kwa niniafie mikononi mwa polisi badala ya kulinda maisha yake, apone awaonyeshe polisi washirika wake?.
  7. IGP, Kamanda Siro, wewe ni mtu wa kuaminika sana, kwa uadilifu na ushupavu usiotia shaka, nakuomba usikubali kirahisi rahisi taarifa za watendaji wako zenye makando kando kama haya, yanayoweza kupelekea karma repercussions za damu za watu zinazomwagika chini yako, zikaja kuwa juu yako!.
Hitimisho.
Lengo la bandiko hili, sio kulitaka jeshi la polisi kujibu chochote katika hoja hizi, bali ni angalizo tuu kutoka kwa raia mwema, anayekutakia mafanikio mema katika kazi yako, na weledi wa hali ya juu kwa jeshi letu la polisi haswa katika kipindi kipindi hiki ambacho Jeshi la Polisi linakabiliwa na changamoto nyingi za uhalifu wa kutumia silaha za moto, na silaha za kivita, na mauaji, japo matukio mengine yana possibilities za friendly fires lakini polisi ndio mkanyooshewa vidole, hivyo jeshi lako la polisi ni lazima liwe na undendaji makini kwa uadilifu wa hali ya juu kabisa usio tia shaka, na haswa katika kuwabaini watu wasiojulikana, kama wale waliomtishia Mhe. Nape bastola, ambao nao walikuja pale St. Peters kwa kutumia gari aina ya Nissan nyeupe, hadi picha zao zilitapakaa kwenye magazeti yote na video kwenye TV zote na mitandao ya kijamii, lakini ni watu wasiojulikana!, lakini mko bize kufuatilia mitandao ya kijamii nani kasema nini, huku watu wanaojulikana, wakifanya uzembe wa wazi kabisa, mchana kweupe, lakini hakuna lolote linalofanyika!.

Wasalaam

Paskali.

Rejea

IGP Mwema, Please, Please, Please, Stop This Police Brutality ...
Vifo vya Mahabusu Mwanza, IGP Mangu, Usikubali Kudanganywa .
Hili la Polisi kuruhusiwa 'kuwanyanganya' silaha majambazi na ...
Waziri Nchimbi na IGP Mwema, Mnasubiri Nini Kujiuzulu ...
Police Brutality in Tanzania: The World has a Right to know ...
Unyama wa polisi Tanzania- walazimisha mtu kukubali video kwa ...

Wakili msomi una hoja nzuri lkn nadhan umeileta kipindi kisichofaa kwa maana wengi tunajadili ugaidi uliofanyika dhidi ya TL walichofanya polisi ni sahihi kbs kwa mstakbali wa watoto wetu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Baada ya kifo cha Akwilina, nimenote watu wengi wanalijia juu jeshi letu safi kutaka kulichafua kwa kifo hiki.

Taarifa rasmi ya polisi ni kuwa ile risasi ilipigwa juu, ila ikapinda na kuingia kwenye daladala na kumpata Akwilina kwa bahati mbaya tuu. Hivyo kifo hicho kimetokea kwa bahati mbaya, hakikudhamiriwa wala kukusudiwa, hivyo tusililalamikie sana jeshi letu safi la polisi.

P
 
Paskali usafi wa jeshi la polisi tanzania ulikuwepo mwaka gani? Umeshawahi kuwepo? Najua unajua ila unaogopa kupimwa mkoj! Labda kwa vile ni homeboy utakuwa spared!
Huyu Pascall ni mpaka siku yeye mwenyewe atandikwe risasi , halafu ripoti iandikwe amepigwa na kitu chenye ncha kali ndio atakapotia akili , anatumia muda mwingi kudanganya wajinga as if yeye yuko salama ! Amesahau kwamba anayekula nyama ya mtu haachi

Pascall Mayalla na Nape Nnauye ni yupi anaijua ccm vizuri ?
 
Ndugu Paschal haya ya asiruhusu sio muafaka kwa wakati huu. Ameprove Huge failure na anapaswa ajiondoshe mwenyewe pamoja na mwenza wa kanda maalum. Toka hawa wameingia ni kutekana na kutesana, why sasa hivi alipoingia yeye kwenye nafasi hiiu. Alikuwepo mtangulizi wake hapakuwa na mambo haya ya hovyo na yaliokosa ubinadamu.
AONDOKE TU NA AFIKISHWE KWENYE MAHAKAMA ZA DUNIA IKIWEZEKANA YEYE NA MKUU WAKE.
 
Baada ya kifo cha Akwilina, nimenote watu wengi wanalijia juu jeshi letu safi kutaka kulichafua kwa kifo hiki.

Taarifa rasmi ya polisi ni kuwa ile risasi ilipigwa juu, ila ikapinda na kuingia kwenye daladala na kumpata Akwilina kwa bahati mbaya tuu. Hivyo kifo hicho kimetokea kwa bahati mbaya, hakikudhamiriwa wala kukusudiwa, hivyo tusililalamikie sana jeshi letu safi la polisi.

P
Naungana na wewe maana Jeshi letu la Polisi lina silaha ambazo hazipo mahali popote duniani. Risasi zake huwa zinatembea kama nyoka. Zinaweza kupinda kwenda pembeni, kupanda juu, kushuka na kuifikia target bila kukosa.
 
Pascal tofautisha between Rso na Polisi. Wewe ni mtoto wa Afisa Usalama aliyebobea kwenye masuala ya Kikachero.
Wakati wa baba yako Rso walikuwa ni watu wenye ueledi mkubwa sana. Nakumbuka ulikuwa hauombi kazi kwenye Idara hiyo. Kilichokuwa kikifanyika serikali ilikuwa inamfatilia mtu toka Primary school mpaka High School kwa tabia na performance yake shuleni and then maofisa kutoka ldara hiyo wana approach familia ya mhusika kwa recruitment.
Kusema wewe ni mtoto polisi ni makosa
 
Baada ya kifo cha Akwilina, nimenote watu wengi wanalijia juu jeshi letu safi kutaka kulichafua kwa kifo hiki. Taarifa rasmi ya polisi ni kuwa ile risasi ilipigwa juu, ila ikapinda na kuingia kwenye daladala na kumpata Akwilina kwa bahati mbaya tuu. Hivyo kifo hicho kimetokea kwa bahati mbaya, hakikudhamiriwa wala kukusudiwa, hivyo tusililalamikie sana jeshi letu safi la polisi. P
Kwenye bold, ndugu Pascal Mayalla, bado wengine tunajiuliza, kulikuwa na haja gani tena na tena kwenda na silaha za moto pale???!!! Mbwa wapo, Farasi wapo, Maji Washa yapa, FFU wapo!
Wakiendelea kubeba silaha kwenye kadamnasi au mikusanyiko ya watu, tena ya kawaida, hizi ajali hazitaisha, bado hatuoni sababu ya silaha za moto kubebwa na polisi wetu kwenye maandamano, mipirani, kudai bills, wakiwa na auctions marts n.k. n.k.
Bado tunaamini wana uwezo wa kututhibiti kwa njia mbadala bila silaha za moto, na wakiendelea, hizi ajali zitaendelea kutokea kukicha, leo kale katoto, kesho wewe au mimi, ndugu zetu, hata watoto wetu watakumbana na hili tu...
 
Back
Top Bottom