Mshangai
JF-Expert Member
- Feb 16, 2008
- 468
- 1,086
Jeshi huwa na nidhamu yake, lakini kumuona kamanda ana simama hadharani anakatakatà mauno hovyo ni fedheha kubwa.
Tunakumbuka ulipoongea na ma RPC wote miezi michache iliyopita tunakumbuka ulitoa onyo kwa tabia za namna hii kwa makamanda.
Sasa jee Shana anakudharau kuwa humuwezi? Huyu si ndiye alisindikiza zile dhahabu kule Mwanza kilicho muokoa ni ukada wa chama tawala?
Je, haya anafanya kwa vile ni kada?
Tunakumbuka ulipoongea na ma RPC wote miezi michache iliyopita tunakumbuka ulitoa onyo kwa tabia za namna hii kwa makamanda.
Sasa jee Shana anakudharau kuwa humuwezi? Huyu si ndiye alisindikiza zile dhahabu kule Mwanza kilicho muokoa ni ukada wa chama tawala?
Je, haya anafanya kwa vile ni kada?