fdizzle
JF-Expert Member
- Jul 29, 2015
- 1,891
- 2,367
Taranta =kipajiHaya Bwana! taranta , shekeli umeniacha kwenye mataa
Shekeli=pesa
Taranta =kipajiHaya Bwana! taranta , shekeli umeniacha kwenye mataa
UKUTA mumeuona huo misuli ya mkononi ya huyo kijana kakamavu PC Prosper Yenda Yenda aliyeshikana mkono na mkuu wa polisi? Msijifanye hamjaona.Jina lake tu laweza fanya UKUTA ajisaidie haja kubwa UKUTANI akisikia YENDA YENDA Huyo anakuja.
HAPA KAZI TU
Hapo watapata shekeli, talanta inawezekana isiwe iliyokusudiwa!Taranta =kipaji
Shekeli=pesa
Kama ni uzalendo basi wote wangelipwa mshahara sawa na Mangu hapo..Anaepokea mshahara mkubwa hana hivyo vi misuli njaaUzalendo wa kweli sio mshahara Bali kuipenda nchi yako. Machadema nyie mnawaza kipato tu na ufisadi mnaoutetea.
akili za matopeUmenena vyema sana mkuu
unajua nini kuhusu Jordan wewe....Jordan utaalamu waliupata wapi? Of all the police training on earth kweli Jordan!
si mchelemchele kama weweSizani kama kulikuwa na haja ya kukakamaza mkono namna hiyo
unachojua ni kula, kunya na kulala haya sasa nenda kalaleHawa vijana watumie akili, kisa cha kukomaza mikono kiasi hicho halafu unalipwa mshahara laki 4? Mbona IGP hajakomaa hivyo
post nzima wewe umereply kisomi zaidi na kwa busara well done broNi jambo zuri askari wetu wanapopatiwa mafunzo kazini kama hayo...hongera kwa jeshi la polisi endeleeni na utaratibu huo maana sasa hivi uhalifu unafanyika kisasa tunahitaji mbinu za kisasa kuudhibiti.
Kuna mambo mengi yanayotishia usalama wa nchi kuliko ukuta,ukawa na sijui ukuda...ccm fanyeni recall kwa JPM otherwise utakuwa unaua mbu ndani kwako kwa bunduki na kujigamba kumbe umesahau kuna watoto wako ambao wanacheza mdako humo ndani.watch out nyie nusu mshahara....
Mkuu hivi wale jamaa walioua polisi wanne juzi mpaka sahivi wameshikwa wangapi??maana lile tukio la polisi wetu kuuwawa limenisikitisha sanaUKUTA mumeuona huo misuli ya mkononi ya huyo kijana kakamavu PC Prosper Yenda Yenda aliyeshikana mkono na mkuu wa polisi? Msijifanye hamjaona.Jina lake tu laweza fanya UKUTA ajisaidie haja kubwa UKUTANI akisikia YENDA YENDA Huyo anakuja.
HAPA KAZI TU