IGP, Bangi ni zao Biashara katika Vijiji hivi.

Ambiente Guru

JF-Expert Member
May 21, 2012
2,596
1,071

Marekani walimkamata Raisi Noriaga wa Nicaragua baada ya kuwa kidedea wa mihadarati na kumfungulia mashtaka kwani aliharibu jamii ya wamarekani.

Nami, nilisononeshwa sana majambazi walivyompiga mapanga ya kichwani Dr. Mvungi, nikaamini bangi ilitumika.

IGP tupia macho na peleka helikopta au askari kanzu kutazama mashamba kwenye vijiji hivi;
1 Tangeni Morogoro Mjini ( Kijiji mlimani juu ya Kiwanda cha Mazao/ Mzinga cooporation)
2 Kising'a – Wilaya ya Kilolo (mashamba Ndani ya msitu wa serikali)
3 Ruvuma (Morogoro Mjini)
4 Iditima Njombe
5 Tarime (vijiji mpakani na Kenya )
6 Lumbiji wilaya ya Kilosa

7 Endelea
8
9
10
11
12
13
14
15
 
Hizo ndizi ishu zao na mitaji hao washika mihimili wakifunga mashamba ya Bangi watakula nini!
Mbona huko Tarime magunia kwa matani yanavushwa kwenda kwa jirani Uhuru Kenyatta!chini ya ulinzi wao.
Wanaokamatwa ni wauzaji wa vikete.
 
Hizo ndizi ishu zao na mitaji hao washika mihimili wakifunga mashamba ya Bangi watakula nini!
.


Mkuu! Kwa mantiki hii serikali/ Bunge lihalalishe watu wapate leseni walime kama mazao mengne a biashara. Kuna nchi Amerika ya Kusini, Colombia?? juzi juzi imehalalisha kilimo hiki. Ni ikiwa Jeshi la polisi halina rasilimali ya kupambana na walimaji. Hata hivyo Itapenya mitaani tu na uhalifu utazidi na maisha yetu na mali kuwa hatarini.
 
Hiyo ni halali kwa wenye vitega uchumi fukara huna haki!
Kwani ukithubutu utaozea jela na utakuwa mfano kwa wengine!..!
Ila kwa mabepari ni mitaji ya vigogo!
Mbona wakikamata vidhibiti mahakamani haviletwi utasikia tumeteketeza ni ukiletewa ni sample ya mihadalati hiyo na si idadi ya kidhibiti ulichokamatwa nacho!
Mkuu! Tembelea wilayani Tarime na utashuhudia hayo.
 
Back
Top Bottom