tarehe 07/01/2011/ taasisi ya haki za binadam ya aford , ilipeleka malalamiko kwa igp said mwema ikimutaka achukue hatua dhidi ya kikao cha umafia kilichofanyika kwa mch. Rwakatare lakini mpaka leo hajafanya jitihada za kumuhoji rwakatare.
Pale polisi , aliye pewa fail hilo ni polisi mwenye namba 0713 485135.
Tetesi ni kwamba baada ya kubaini kuwa mpango huo uliandaliwa na ccm, kumuhujumu kakobe kwa sababu za kisiasa , wakaamua kunyamaza kimya.
Polisi ni tawi la ccm , hawawezi kutenda haki, kazi yao kuhujumu maaskofu wanaopinga ccm
Pale polisi , aliye pewa fail hilo ni polisi mwenye namba 0713 485135.
Tetesi ni kwamba baada ya kubaini kuwa mpango huo uliandaliwa na ccm, kumuhujumu kakobe kwa sababu za kisiasa , wakaamua kunyamaza kimya.
Polisi ni tawi la ccm , hawawezi kutenda haki, kazi yao kuhujumu maaskofu wanaopinga ccm